Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Cheki twitter mashabiki walivyokasirishwa na Keylor Navas kuhamia PSG
Wanasema Zinedine Zidane hawamuelewi kumchagua Courtois dhidi ya Navas


Heisenberg

@ThatBoyDack

·
51m

Replying to
@DeadlineDayLive
and
@NicolasHortus
They should have kept him Courtois is trash
wayne

@Vinowayne08

·
47m

Replying to
@DeadlineDayLive
and
@NicolasHortus
Seriously zidane!! Choosing courtois over Navas is so pathetic. I love you as a manager but navas was a show stopper. He is much better thn courtois. Hate to see this


 
Beki bora Italia na possible one of the best CB duniani Koulibally jana kajifunga tena goli zuri kuliko hilo la Zouma tena goli la kuua jitihada za timu yake kurudisha magoli matatu
Ilikuwa hivi mpaka dakika ya 66 Juventus walikuwa wanaongoza kwa goli 3 -0
Napoli wakaja juu wakasawazisha dakika ya 82 ikawa 3-3
Koulibaly akajifunga goli zuri sana dk ya 92
Hii ya Zouma ni cha mtoto na zaidi ya hayo tumetoka na point
Zouma ana shortcoming zake lakini jana mtizamo wa timu ulibadilika baada ya HT
Chelsea bado iko kwenye translon, ikiisha pita mtakoma

Huyo mtu hajawi karibia kuwa beki Bora Popote, Si Italy wala Duniani.

Amewafungisha wenzie magoli mawili ya wazi Juzi. Kageuzwa na Higuain utafikiri kageuzwa na Messi
 
CESAR AZPILICEUTA will reportedly be axed by Frank Lampard when Reece James returns to full fitness after the international break.

The Daily Star claims Chelsea fans’ prayers will be answered in September following a poor start to the new season.

Lampard’s new-look side have won just one Premier League game out of four, while also losing the European Super Cup final to Liverpool on penalties.

And Azpilicueta has been named as one of the main culprits for Chelsea’s suspect defensive work, with the Blues already shipping eight goals in the league.

Incredible stats also prove that opponents are actively targeting the Spain international down his right-hand flank, causing major concern for Super Frank.

Man Utd focused 49 per cent of their attacks down their left towards Azpilicueta, and ended up putting four goals past the Blues at Old Trafford.
 
Huyo mtu hajawi karibia kuwa beki Bora Popote, Si Italy wala Duniani.

Amewafungisha wenzie magoli mawili ya wazi Juzi. Kageuzwa na Higuain utafikiri kageuzwa na Messi
Wewe ndio beki bora,
Sats zinamtetea wala sio wewe dos
 
Chelsea mnashuka daraja ***** msimu huuu hamna ujanjaaaaa....Bangi gani mnakula inawatuma kuuza watu na mnajua mmefungiwa usajili!?? Sasa nawaambia hv kufika mwezi wa 12 mtakuwa mtaa 15 au 16 *****
 
Wewe ndio beki bora,
Sats zinamtetea wala sio wewe dos

Huwa unatizama Serie A au unatizama Data kiganjani tu?
Wiki iliyopita alifanywa uchochoro Na Chiesa kwenye mechi na Fiorentina.

Huwezi fananisha mpuuzi kama huyu na Chielini na Bonnuci kabisa.
 
On his full debut Fikayo Tomori was the most accurate Chelsea passer, completing 93 of his 98 passes at a 95 per cent success rate.
Huyu dogo ndiye atakayeweza kuziba pengo la Luiz
 
Tomori ametulia hana papara kama zouma kuna sehem nilizan atachoma baada ya kurudishiwa mpira na kepa but dogo alitulia
On his full debut Fikayo Tomori was the most accurate Chelsea passer, completing 93 of his 98 passes at a 95 per cent success rate.
Huyu dogo ndiye atakayeweza kuziba pengo la Luiz
 
Huwa unatizama Serie A au unatizama Data kiganjani tu?
Wiki iliyopita alifanywa uchochoro Na Chiesa kwenye mechi na Fiorentina.

Huwezi fananisha mpuuzi kama huyu na Chielini na Bonnuci kabisa.
Mkuu ni bora kukaa kimya siyo lazima kila mtu ajue hujui mpira. We jaribu kuwa mtazamaji tu na kupitia comments itakutosha.
 
Mwenye update za MAJERUHI WETU wakina Ngolo, Rudger, cheek, odoi wanaendeleaje? Kuna matumaini yeyote?

• Ngolo amekatwa Mguu baada ya kupata infection kwenye Bone marrow

• Rudigar amepelekwa Marekani kwa John Shaw (Physiotherapist) anatengenezewa Mguu wa Bandia

• Loftus Cheek amepatikana na Maambukizi ya Hepatitis B kwahiyo atarudi uwanjani baada ya mwaka mmoja baada ya kumaliza dozi ya ARV

• Odoi yupo Mental Hospital baada ya kuugua Kichaa kutokana na kukimbiwa na Demu wake.
 
• Ngolo amekatwa Mguu baada ya kupata infection kwenye Bone marrow

• Rudigar amepelekwa Marekani kwa John Shaw (Physiotherapist) anatengenezewa Mguu wa Bandia

• Loftus Cheek amepatikana na Maambukizi ya Hepatitis B kwahiyo atarudi uwanjani baada ya mwaka mmoja baada ya kumaliza dozi ya ARV

• Odoi yupo Mental Hospital baada ya kuugua Kichaa kutokana na kukimbiwa na Demu wake.
Hivi huu ndio ushabiki, basi sisi wengine hatufai kuwa mashabiki kwa mtindo huu
 
Kuna watu humu wanadhani Chelsea hii ni timu mbaya. Lakini ukweli Chelsea hii so mbaya kama watu wanavyoidhani. Tunaenda international break tukiwa sawa points na Man U ambao wametumia £ 148 million kwenye usajili na Tottenham ambao wametumia £ 101.5 Million kusajili.
Timu imeanza msimu na kocha mpya, wachezaji wengi ni vijana na wapya ktk mfumo, some key player ni majeruhi na transfer ban.

Mimi nawakikishia wachezaji wakishaingia kwenye mfumo, key players wakapona, na kocha akaendelea kuadapt EPL tutawashangaza wengi. Wanaomponda Lampard kwa sasa hivi ni wajinga wasiojua kibarua chake kilivyo kigumu ktk mazingira ya sasa. Guadiola msimu wake wa kwanza EPL hakuwa na chellenge kama hizi alizonazo Lampard, lkn alikula vichapo akamaliza nafasi ya nne. Mazingira ya EPL kwa sasa si kama yale ya Guadiola wakati anaingia EPL. Liverpool, Man City, Tottenham, Arsenal wameimarika sana na hata makocha wa hizo timu wana uzoefu na EPL. Bado tupo ktk mkondo sahihi. Tutulie, tuivumilie timu na kocha. Tumepata raha mingi, tuipe muda timu msimu huu mmoja angalau
Umeongea ukweli kamanda
 
Giroud ambaye ni suplus kwa Chelsea kachaguliwa kama striker wa Ufaransa over Lacazette

DIDIER DESCHAMPS explains why he picked Giroud over Lacazette for the French Euro 2020 qualifiers squad.

“However with us he has always given a good showing, the statistics will show you that.”

Hii ndio tofauti ya Chelsea na Arsenal, wakiambiwa wanabisha
 
Maumivu mengine kwa Kovacic
CHELSEA in midfield injury crisis as Mateo Kovacic withdraws from Croatia squad with Achilles problem.
 
PAUL MERSON says

If Mourinho was 2-0 up against Sheffield United, he'd bring off a striker and put on another defensive midfield player. That was the end of the game, end of, and the other team knew that as well.
 
Michy Batshuayi ruled out a move to Anderlecht in the way only Michy Batshuayi can!
Jamaa anabaki na kwa hiyo sasa tuna mastrikers watatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom