Mimi nilichokiona na kama wataalamu wachambuzi wengine wanavyosema, high pressing ya Lampard ndiyo yenye shida, jana walicheza very ordinary game na wachezaji walimudu mpira tofauti na zile mechi zenye high pressing has ile ya Man U na Leister city, vijana wanapwaya na kuchoka kipindi cha pili. Jana ilikuwa tofauti, kipindi cha pili vijana waligain energy badala ya kupungua. Lampard awazoeshe high pressing taratibu sio kwa haraka, wawe wanafanya high pressing ya kushtukiza halafu wanatulia kuhifadhi nguvu.
Reece, RLC, Kante, Rudiger wakirudi hawa hawatakuwa na namba, Azpi, Kova, Barkley**, Zouma
Barkley itabidi apambane sana kwa sababu ameanza kuwa on and off