Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata sasa namuona Jo akiwa on and off form, tofauti na Sarri, sidhani kama Lampard atamvumilia kwa hiyo inabidi tu akaze buti. Ofcourse najua kila mchezaji ana good na bad form, ila kwa Jo ile nafasi akidrop form tumekwisha
Ni lazima akaze bila hivyo hakuna nafasi nyingine anaweza kupata kucheza. Jorginho ana improve sana zile mistakes kadri siku zinaenda zinazidi kupungua. Siku hizi anapiga long balls/pass kama utakumbuka mechi Liver na Man alitengeneza nafasi kwa pass ndefu lakini hazikutumika ipasavyo.
 
Timu pekee ambayo haikudondosha point mechi tatu mfululizo ni Liverpool
Top 6 zote zimepoteza mechi isipokuwa Man City na Liverpool
Hii ndio picha ya ushindani wa EPL mwaka huu
Bingwa hatafikisha point 90, huu ndio utabiri wangu wa kwanza
Gap ya point kwa top 6 hazitakuwa mbali sana kama ilivyokuwa mwaka jana
 
We jamaa ujui tu kovacic ni jembe ila anachokosea lampard kumtaka afanye kama kante kovacic ana kaba lakini sio kwa kiwango km Cha kante jamaa ana offer vitu vingi anajua kuhold mpira kuisaidia team kushambulia na kutuliza mashambulizi ya opponents by pressing na hii ndio iliyofanya kipindi cha pili Chelsea iwe tofauti na hii ndio reason ya kuzidiwa na Leicester kipindi cha pili cos tulikosa mtu Kama kovacic wakutuliza mashambulizi kwa ability yake ya kuhold mpira lampard amekuja kumwingiza katika kipindi kibaya ambacho team ilikuwa imechoka kwangu me naona midfielder wanaostahili kuanza ni kovacic,kante na jorginho katikati ukipanga hiv team inakuwa balance na inakuwa tishio ndo maana tuliisumbua Sana Liverpool.
Ningekuwa mimi Lampard, Ningekuwa nam-rotate Jo na Kova kwa sababu nafasi inayopwaya saa nyingine ni hii ya Jorginho
 
Timu ya wiki ya 3
Tammy na Kova wamo
  1. Goalkeeper: Martin Dubravka (Newcastle United)
  2. Centre-back: Paul Dummett (Newcastle United
  3. Centre-back: Tyrone Mings (Aston Villa)
  4. Centre-back: Joel Matip (Liverpool)
  5. Centre-midfield: Mateo Kovacic (Chelsea)
  6. Centre midfield: James Maddison (Leicester City)
  7. Left-wing: Moussa Djenepo (Southampton)
  8. Right-wing: Harvey Barnes (Leicester City)
  9. Forward: Tammy Abraham (Chelsea)
  10. Forward: Mohamed Salah (Liverpool)
  11. Forward: Sebastien Haller (West Ham United)
 
Joginho kwa mechi za Man U, Liverpool, Norwich alifanya kazi nzuri. Mpaka mechi ya Norwich mashabiki walikuwa wakiimba jina lake. Sioni kama Joginho unamtendea haki. Labda kama ni Joginho mwingne
Ningekuwa mimi Lampard, Ningekuwa nam-rotate Jo na Kova kwa sababu nafasi inayopwaya saa nyingine ni hii ya Jorginho
 
Joginho kwa mechi za Man U, Liverpool, Norwich alifanya kazi nzuri. Mpaka mechi ya Norwich mashabiki walikuwa wakiimba jina lake. Sioni kama Joginho unamtendea haki. Labda kama ni Joginho mwingne
Washabiki hawawezi kutoa picha halisi ya mchezaji kwa sababu wao wanaendeshwa na emotions
Mechi na Man u kipindi cha pili Jorginho hakucheza vizuri kama kipindi cha kwanza
Mechi an Norwich alikuwa ndio uchochoro wa Norwich kuanzisha mashambulizi, kama huamini nenda YouTube kama sio goli la kwanza ni lapilli mashambulizi yalianzia kwa Jo
Kwa mechi tatu zilizokwisha chezwa, Kovacic is much better kwenye ball passion, holding na recovery including forward passing tofauti na Jo. Na wazo langu kwa vile Jo si kama ni mbaya sana lakini hatuwezi acha huduma ya Kovacic na kwa hiyo rotation ya hao wawili inaweza ikaibenefit team kwa sababu rotation ya Kante na Kovacic sio realistic, huku kushoto Mount na RLC wanatosha Barkely anaweza kuwa backup
Yeah, nimeverify ni goli la kwanza la Norwich baada ya Tammy kupoteza mpira Jorgninho alikuwa kwenye position nzuri ya kuwin tena lakini kazembea akaanguka na zile pasi fupi fupi za Norwich zikaanza mpaka ikazaa goli la kusawazisha
 
Timu ya wiki ya 3
Tammy na Kova wamo
  1. Goalkeeper: Martin Dubravka (Newcastle United)
  2. Centre-back: Paul Dummett (Newcastle United
  3. Centre-back: Tyrone Mings (Aston Villa)
  4. Centre-back: Joel Matip (Liverpool)
  5. Centre-midfield: Mateo Kovacic (Chelsea)
  6. Centre midfield: James Maddison (Leicester City)
  7. Left-wing: Moussa Djenepo (Southampton)
  8. Right-wing: Harvey Barnes (Leicester City)
  9. Forward: Tammy Abraham (Chelsea)
  10. Forward: Mohamed Salah (Liverpool)
  11. Forward: Sebastien Haller (West Ham United)

Kuna majamaa humu yalikuwa yanamdharau kovacic,yule jamaa Barkley ajipange labda tu uingereza wake umbebe..
 
Kuna majamaa humu yalikuwa yanamdharau kovacic,yule jamaa Barkley ajipange labda tu uingereza wake umbebe..
Kova alicheza vuzir sana against Norwich. Ndio aliongoza kwa kudisposses na kupasi na kucreate chances. Hata goli la pili la Tammy, assist ilikuwa ni yake
 
Washabiki hawawezi kutoa picha halisi ya mchezaji kwa sababu wao wanaendeshwa na emotions
Mechi na Man u kipindi cha pili Jorginho hakucheza vizuri kama kipindi cha kwanza
Mechi an Norwich alikuwa ndio uchochoro wa Norwich kuanzisha mashambulizi, kama huamini nenda YouTube kama sio goli la kwanza ni lapilli mashambulizi yalianzia kwa Jo
Kwa mechi tatu zilizokwisha chezwa, Kovacic is much better kwenye ball passion, holding na recovery including forward passing tofauti na Jo. Na wazo langu kwa vile Jo si kama ni mbaya sana lakini hatuwezi acha huduma ya Kovacic na kwa hiyo rotation ya hao wawili inaweza ikaibenefit team kwa sababu rotation ya Kante na Kovacic sio realistic, huku kushoto Mount na RLC wanatosha Barkely anaweza kuwa backup
Yeah, nimeverify ni goli la kwanza la Norwich baada ya Tammy kupoteza mpira Jorgninho alikuwa kwenye position nzuri ya kuwin tena lakini kazembea akaanguka na zile pasi fupi fupi za Norwich zikaanza mpaka ikazaa goli la kusawazisha
Ushawahi jiuliza kwa nn Joginho anaanza kila mechi na kuwaacha Barkley na Kovacic nje?
 
Ushawahi jiuliza kwa nn Joginho anaanza kila mechi na kuwaacha Barkley na Kovacic nje?
Nilishawahi kujiuliza pia kwanini Alonso na Jorgninho wakiwa kwenye poor form walikuwa wakicheza kila mechi wakati Emerson yuko bench na Kante akicheza nafasi ambayo haikuwa na impact sana kwenye timu. Jorginho akiwa kwenye form ni mzuri sana, akiwa off ni mbaya sana kwa sababu ya role yake ni vital. Kila kocha huwa anajenga Imani na mahaba kwa mchezaji akitarajia atarudi kwenye formu huku form yake mbaya ikiendelea kuiumiza timu. Nilishawahi kusema hivyo kwa Luiz. Conte alimgundua akamfanya suplus, Sarri akaja akajenga Imani kubwa kwake kama alivyofanya kwa Alonso na Jorgninho ambapo mistakes zao ziliigharimu timu. halafu Lampard kwenye pre season akamgundua akamfanya suplus akachukia akahama timu.
Wewe ulishawahi kujiuliza pamoja na Luiz kutokuwepo ni kwa nini Chelsea bado inafungwa kirahisi, utakimbilia defense. Mimi nasema no. Attack huwa inatengenezwa na kuanzishwa katikati. Jorgninho ndie wa aidha kuiponya timu au kuiuwa. Mashambulizi yakishatengenezwa katikati na washambuliaji makini wakashusha mvua golini hata beki mzuri kama VVD hawataweza kuzuia goli lisifungwe. Na mashambulizi ya kijinga kama hayo ndizo zinazoforce mabeki kufanya mistakes halafu wanalaumiwa wao wakati walioruhusu mashambulizi ni Midfields. Na ndio maan Kante akiwa Lestercity na baadaye Chelsea alihakikisha anakata umeme na mawasiliano ili mabeki wacheze kwa uhuru. Hii kwa Jorgninho haipo, mabeki wanacheza under pressure na kufanya silly mistakes kwa sababu adui anakuja anavyotaka. Na ndio maana wataalamu wengi wanamtaka Kante arudi katikati. Uzuri wa Jo ni passing za haraka haraka, kwenye kucreate chances anajaribu ila bado, Kovacic is much better to that area than Jo
Conclusion
Kante wakicheza na Kovacic au Jo katikati ni much better kuliko kumtegemea tu Jo au Kova.
Wazo langu la kurotate ilikuwa ni ili wapate muda wa kupumzika na kuregain energy maana wote ni wazuri pamoja na shortcoming ndogo ndogo za kila mmoja
 
Nilishawahi kujiuliza pia kwanini Alonso na Jorgninho wakiwa kwenye poor form walikuwa wakicheza kila mechi wakati Emerson yuko bench na Kante akicheza nafasi ambayo haikuwa na impact sana kwenye timu. Jorginho akiwa kwenye form ni mzuri sana, akiwa off ni mbaya sana kwa sababu ya role yake ni vital. Kila kocha huwa anajenga Imani na mahaba kwa mchezaji akitarajia atarudi kwenye formu huku form yake mbaya ikiendelea kuiumiza timu. Nilishawahi kusema hivyo kwa Luiz. Conte alimgundua akamfanya suplus, Sarri akaja akajenga Imani kubwa kwake kama alivyofanya kwa Alonso na Jorgninho ambapo mistakes zao ziliigharimu timu. halafu Lampard kwenye pre season akamgundua akamfanya suplus akachukia akahama timu.
Wewe ulishawahi kujiuliza pamoja na Luiz kutokuwepo ni kwa nini Chelsea bado inafungwa kirahisi, utakimbilia defense. Mimi nasema no. Attack huwa inatengenezwa na kuanzishwa katikati. Jorgninho ndie wa aidha kuiponya timu au kuiuwa. Mashambulizi yakishatengenezwa katikati na washambuliaji makini wakashusha mvua golini hata beki mzuri kama VVD hawataweza kuzuia goli lisifungwe. Na mashambulizi ya kijinga kama hayo ndizo zinazoforce mabeki kufanya mistakes halafu wanalaumiwa wao wakati walioruhusu mashambulizi ni Midfields. Na ndio maan Kante akiwa Lestercity na baadaye Chelsea alihakikisha anakata umeme na mawasiliano ili mabeki wacheze kwa uhuru. Hii kwa Jorgninho haipo, mabeki wanacheza under pressure na kufanya silly mistakes kwa sababu adui anakuja anavyotaka. Na ndio maana wataalamu wengi wanamtaka Kante arudi katikati. Uzuri wa Jo ni passing za haraka haraka, kwenye kucreate chances anajaribu ila bado, Kovacic is much better to that area than Jo
Conclusion
Kante wakicheza na Kovacic au Jo katikati ni much better kuliko kumtegemea tu Jo au Kova.
Wazo langu la kurotate ilikuwa ni ili wapate muda wa kupumzika na kuregain energy maana wote ni wazuri pamoja na shortcoming ndogo ndogo za kila mmoja
Je bado unadhani Kante kabadilishwa majukumu tofauti na alivyokuwa akicheza kipindi cha Sarri? Uliiangalia mechi ya Leicester na Liverpool? Alonso amekuwa kwenye form nzuri kwa misimu mitatu iliyopita. Kumbuka idadi ya magoli yake na assists. Kuna kocha mwenye akili angemwacha benchi ila kuanzia msimu jana katikati amepoteza form kiasi cha Sarri kuacha kumtumia kwenye mechi za mwisho wa msimu na hata BAKU alicheza Emerson.

Alafu hiyo ya kwamba kila tukifungwa ni Joginho uifute. Kama ungekuwa umetazama mechi na Norwich ningekwambia kosa lilifanywa na poor marking ya Zouma wala huwezi mlaumu Joginho. Kama wewe ni mtu wa takwimu tafuta stats za Joginho za msimu uliopita alafu uzilinganishe na holding MF wa Liverpool, Man U, Arsenal, Tott alafu uje hapa kuelezea ubora wa Joginho kwa kutumia stats hizo.
 
Je bado unadhani Kante kabadilishwa majukumu tofauti na alivyokuwa akicheza kipindi cha Sarri? Uliiangalia mechi ya Leicester na Liverpool? Alonso amekuwa kwenye form nzuri kwa misimu mitatu iliyopita. Kumbuka idadi ya magoli yake na assists. Kuna kocha mwenye akili angemwacha benchi ila kuanzia msimu jana katikati amepoteza form kiasi cha Sarri kuacha kumtumia kwenye mechi za mwisho wa msimu na hata BAKU alicheza Emerson.

Alafu hiyo ya kwamba kila tukifungwa ni Joginho uifute. Kama ungekuwa umetazama mechi na Norwich ningekwambia kosa lilifanywa na poor marking ya Zouma wala huwezi mlaumu Joginho. Kama wewe ni mtu wa takwimu tafuta stats za Joginho za msimu uliopita alafu uzilinganishe na holding MF wa Liverpool, Man U, Arsenal, Tott alafu uje hapa kuelezea ubora wa Joginho kwa kutumia stats hizo.
Ndugu, Zouma kufanya poor marking goli la pili, goli la kwanza ni la Jorginho baad ya Tammy kupoteza huo mpira Norwich walipeleka Jo akajaribu kukaba akaanguka, wewe sijui uliangalia mpira upi
Na ninavyo-hilight hiyo error ya Jo simaanishi Jo ni mchezaji mbovu maana naona wewe unaenda huko. Kova na Jorgninho wote ni wazuri na Midfield wote ni wazuri na njia pekee ya kubenefit kutoka huo uzuri ni kufanya rotation kwa baadhi yao

Kwa mfano some ya attributes kwa midfields wetu ni hizi hapa
  1. Jorginho ni mzuri zaidi kwa passing fupi fupi na za haraka
  2. Kova ni mzuri kwenye kurecover mipira na kuanzisha mashambulizi na kutengeneza nafasi
  3. Barkley ni mzuri kwenye kushambulia kutengeneza nafasi na kufunga
  4. Mount ni mzuri kwenye kushambulia na kufunga na ni attacking midfield pekee ambaye mimi namuona akishambulia kwa akili Zaidi na ndio maana accuracy yake ni kubwa
  5. Kante ni mzuri kwenye kusoma mpira, ku-itercept, ku-recover, ku-retain mpira na kutengeneza nafasi
  6. RLC ni mzuri akija kwenye kushambulia, kurtain mpira na kufunga
 
Tammy Abraham kupewa mkataba mpya wenye kumuongezea mshahara mara mbili zaidi na kuzidi paundi laki moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom