Mkuu wewe hunaga point ya maana. Kwani unaposema tumeanza mwaka 2000 labda ni dhambi kuanza mwaka huo? Kama kuna timu zimeichoka tayari kwanini bado zinashiriki mpaka sasa.Eti Uefa where you belong!
Wakati kushiriki hiyo CL yenyewe Chelsea imeanza mwaka 2000?
Kabla ya Hapo Chelsea ilikuwa sawa na Bolton haijui hata CL ni nini wakati wengine walishaichoka.
Hawa washabiki wa Chelsea bhana! Kwakutaka ugiant wa lazima wala wasiokuanao!!!
Changamoto labda kwa Valencia huyo Ajax wa msimu huu hamna changamoto ataleta.Wanazi wa Chelsea hilo kundi nikiangalia kwa kweli hamtoboi
Valencia anategemea sana hela za UEFA and the same to Ajax.
Valencia wamesajili vizuri hili dirisha , Ajax najua mnawafahamu
Uyo Valencia ndo msumbf ila Ajax nae Moto upo japokuw haitkuwa Kama msimu uliopitaChangamoto labda kwa Valencia huyo Ajax wa msimu huu hamna changamoto ataleta.
Mkuu wewe hunaga point ya maana. Kwani unaposema tumeanza mwaka 2000 labda ni dhambi kuanza mwaka huo? Kama kuna timu zimeichoka tayari kwanini bado zinashiriki mpaka sasa.
Ama kweli chuki ni chuki hata ufanye nini
England wana talented youngsters wengi. Kuna watu kwa ajili ya kuprovide leadership and experience.Sishangai hao kuitwa! Timu ambayo hata Henderson anacheza panga pangua...
Changamoto labda kwa Valencia huyo Ajax wa msimu huu hamna changamoto ataleta.
Eti Uefa where you belong!
Wakati kushiriki hiyo CL yenyewe Chelsea imeanza mwaka 2000?
Kabla ya Hapo Chelsea ilikuwa sawa na Bolton haijui hata CL ni nini wakati wengine walishaichoka.
Hawa washabiki wa Chelsea bhana! Kwakutaka ugiant wa lazima wala wasiokuanao!!!
Eti Uefa where you belong!
Wakati kushiriki hiyo CL yenyewe Chelsea imeanza mwaka 2000?
Kabla ya Hapo Chelsea ilikuwa sawa na Bolton haijui hata CL ni nini wakati wengine walishaichoka.
Hawa washabiki wa Chelsea bhana! Kwakutaka ugiant wa lazima wala wasiokuanao!!!
Wanazi wa Chelsea hilo kundi nikiangalia kwa kweli hamtoboi
Valencia anategemea sana hela za UEFA and the same to Ajax.
Valencia wamesajili vizuri hili dirisha , Ajax najua mnawafahamu
Nimetumia neno "where we belong" ni kwa sababu mara 17 katika karne hii ya 21 tumeshiriki 15. Tatizo lako kubwa huwezi kusoma comprehension.Ndiyo wambie hao Fanboys wenzako warekebishe kauli zao kujifanya kuwa eti Chelsean ni Magiant wa Uefa wakati Magiant wenyewe wamenyamaza.
Norwich tu anawatoa kinyesi Ajax ndio mtamuweza eti Ajax ya msimu huu nyie msimu huu ndio mna timu sasa.Changamoto labda kwa Valencia huyo Ajax wa msimu huu hamna changamoto ataleta.
Hujalazimishwa kunyamaza. Kama unajiona na wewe ni moja kati ya magiant nyanyuka uongee. Huoni Arsenal kakaa kimya huko? Kwa sababu anajua siyo level zake hiziNdiyo wambie hao Fanboys wenzako warekebishe kauli zao kujifanya kuwa eti Chelsean ni Magiant wa Uefa wakati Magiant wenyewe wamenyamaza.
Sawa mtabiri Tambitambi.Kwenye hilo group lenu hamutoboi usijipe False hope... Yani jipange kurudi Europa ukaungane na Manure
Yan katika watu wa kukaa kimya nadhani ni Liverpool. Nyie ni suala la muda tu mnaanza kuchechemea. Huu ndio meanzo wa msimu ushaanza kujudge hivi naomba tukutane mwisho wa msimu wakati kila mtu mtu anapiga mahesabu yake ndio tutaelewana vizuri.Norwich tu anawatoa kinyesi Ajax ndio mtamuweza eti Ajax ya msimu huu nyie msimu huu ndio mna timu sasa.
SAWA.Yan katika watu wa kukaa kimya nadhani ni Liverpool. Nyie ni suala la muda tu mnaanza kuchechemea. Huu ndio meanzo wa msimu ushaanza kujudge hivi naomba tukutane mwisho wa msimu wakati kila mtu mtu anapiga mahesabu yake ndio tutaelewana vizuri.
Kourt Zouma na Oliver Giroud pia wameitwa UfaransaMason Mount na Barkley wameitwa kikosi cha England kitakacho cheza na Cossovo na Bulgaria