OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Zile mbanga za Man united na Arsenal zilisahau kujenga timu zao uko wanabaki kupita pita na kanga moja hapa jukwaani kwa wanaume ..angalia kilichowapata sasa











Tunaomba, matokeo ya arsenalTayari mtakuwa mpo championship na kina portsmouth
Ndio maana nikasema tuliboost kutoka 48% HT kwenda 54% FT, kipindi cha pili ni kama possession ilikuwa 56%Hiyo 54% ni overall ya dk 90
Send Luiz back to Chelsea please. What a liability #LFCARS
— Graham (@CaptivePhotons) August 24, 2019
David Luiz really is a clown.
Sideshow fekking Bob.
Send him back to Chelsea. Dunce.
— Maxie Millian (@MaxieMillian1) August 24, 2019
Petition to return David Luiz back to Chelsea
— Habiba Shaker (@habibashaker) August 24, 2019
Send Luiz back
— Michael ?? (@MrBameyangV2) August 24, 2019
Send this luiz guy back to Chelsea
— D1 ??? (@dkumi_11) August 24, 2019
David Luiz go back to Chelsea you scum
— Joe Balsamo (@jabalsam) August 24, 2019
David Luiz should go back to Chelsea
— K!M™ ?? (@KimNelson_) August 24, 2019
HahahahahahKelele za akina Aroon dhidi ya Luiz zimeanza mapema tu, hizi hapa:
‘Send him back to Chelsea’ – Some Arsenal fans turn on David Luiz as star concedes sloppy penalty vs Liverpool
![]()
It was a stupid mistake from Luiz, something fans would’ve become accustom to following his two previous stints at Stamford Bridge.
Following this error, AFC fans took to Twitter to call for the club to send Luiz back to Chelsea.
If he keeps on making mistakes like this, we’d probably want him sent back to the Blues too!
Ndio maana nikasema tuliboost kutoka 48% HT kwenda 54% FT, kipindi cha pili ni kama possession ilikuwa 56%
Kelele za akina Aroon dhidi ya Luiz zimeanza mapema tu, hizi hapa:
‘Send him back to Chelsea’ – Some Arsenal fans turn on David Luiz as star concedes sloppy penalty vs Liverpool
![]()
It was a stupid mistake from Luiz, something fans would’ve become accustom to following his two previous stints at Stamford Bridge.
Following this error, AFC fans took to Twitter to call for the club to send Luiz back to Chelsea.
If he keeps on making mistakes like this, we’d probably want him sent back to the Blues too!
Kwa hiyo mkuu tuseme tuliwapiga Arsenal?Huko nyuma nilisha sema Luiz anacheza vizuri sana lakini mistakes chache anazofanya inaigharimu timu kupoteza point ndivyo ilivyotokea leo kwa Arsenal VS Libverpool, kipindi cha kwanza defense ilitulia huku wakijiamini sana japo goli la kwanza la Matip, Luiz angekuwa mwepesi wa kuruka angefanya jitihada Fulani kuzuia goli
Kipindi cha pili yale tuliyoyasema juu ya Luiz kwamba akipewa mgongo na mshambuliaji hawezi kukaba. hawezi kukimbia, kawa mzito sana. Sasa kwa washambuliaji wepesi kama Salah, utategemea msaada gani kutoka kwa Luiz zaidi ya kukaba kwa kuvuta shati?
Hiyo paundi mil 8 ni kama tuliwaibia, Maskini Arsenal
Jana Kovacic kafanya majukumu yake vzuri sana. Kipindi cha pili sikuliona pengo la KanteWakuu team haswa mabeki na middifield hasipokuwepo General Kante tunacheza kama tupo Championship tunafungwa goli laini kama maziwa ya warabu so sad ,natamani Reece apote Azpiculeta acheze katikati japo mfupi anajiamini akiwa na mpira ,Zouma ni presha tu kakosa kiongozi ,Everton alikuwa na Keane kacheza kwa kiwango cha juu ,naamini akiwa na Azpicu atapata kiongozi atacheza vizuri ,Willian na Batu apewe muda wa kucheza haswa dk 30 za mwisho ,nimependa nguvu anayotumia Timmy inasaidia kuwasumbua mabeki.Blue is the color
Wakuu team haswa mabeki na middifield hasipokuwepo General Kante tunacheza kama tupo Championship tunafungwa goli laini kama maziwa ya warabu so sad ,natamani Reece apote Azpiculeta acheze katikati japo mfupi anajiamini akiwa na mpira ,Zouma ni presha tu kakosa kiongozi ,Everton alikuwa na Keane kacheza kwa kiwango cha juu ,naamini akiwa na Azpicu atapata kiongozi atacheza vizuri ,Willian na Batu apewe muda wa kucheza haswa dk 30 za mwisho ,nimependa nguvu anayotumia Timmy inasaidia kuwasumbua mabeki.Blue is the color
Tuliwaambia hawakuamini. Sasa ngoja washuhudie kwa macho yao
Mimi nilichokiona na kama wataalamu wachambuzi wengine wanavyosema, high pressing ya Lampard ndiyo yenye shida, jana walicheza very ordinary game na wachezaji walimudu mpira tofauti na zile mechi zenye high pressing has ile ya Man U na Leister city, vijana wanapwaya na kuchoka kipindi cha pili. Jana ilikuwa tofauti, kipindi cha pili vijana waligain energy badala ya kupungua. Lampard awazoeshe high pressing taratibu sio kwa haraka, wawe wanafanya high pressing ya kushtukiza halafu wanatulia kuhifadhi nguvu.Yeah ila vijana wanaimprove sana. Kipindi cha pili wamecheza kandanda safi sana tofauti na mechi ya Leicester ambayo kipindi cha pili timu ilipoteana.
Kuna watu jana wameaniacha na maswali. Kovacic jana kaonyesha kiwango cha dunia, je akipona Kante atacheza wapi na yeye atacheza wapi? Abraham ataanza kugain confidence, wale waliokuwa wanambeza watasubiri sana hasa huyu Ngwaba na Haruna. Mount namtabiria makubwa msimu huu. Emerson is on fire. Christensen anaimarika kila mechi. Barkley jana alikuwa kiwango kingine. Pedro katk mechi alizocheza ameonyesha yeye ni mtu mwingine. Zouma afanyie kazi jinsi ya kumark attackers. Upande wa Azp unapwaya kwa hizo mechi 3. Possibly James Leece atakuwa upgrade ya Azpillicueta. Baada ya round ya kwanza msimu huu hii timu itawashangaza wengi. Na katika msimamo wa ligi tutamaliza juu ya Man U na Arsenal.
Mark my words guys
Tulilamba dume tukawaachia garashaKwa hiyo mkuu tuseme tuliwapiga Arsenal?
Tatizo la Kova sio mzuri kwenye defensive ni kama Luiz, mzito ila mbele ana speed na anajua kuwachezesha wengine. Ningetamani sana apewe attacking roles, Kante ndio apewe kazi ya kuwalinda mabekiJana Kovacic kafanya majukumu yake vzuri sana. Kipindi cha pili sikuliona pengo la Kante