Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kelele za akina Aroon dhidi ya Luiz zimeanza mapema tu, hizi hapa:

‘Send him back to Chelsea’ – Some Arsenal fans turn on David Luiz as star concedes sloppy penalty vs Liverpool
david-luiz-arsenal-burnley-640x400.jpg



It was a stupid mistake from Luiz, something fans would’ve become accustom to following his two previous stints at Stamford Bridge.

Following this error, AFC fans took to Twitter to call for the club to send Luiz back to Chelsea.

If he keeps on making mistakes like this, we’d probably want him sent back to the Blues too!

Send Luiz back to Chelsea please. What a liability #LFCARS
— Graham (@CaptivePhotons) August 24, 2019

David Luiz really is a clown.
Sideshow fekking Bob.
Send him back to Chelsea. Dunce.
— Maxie Millian (@MaxieMillian1) August 24, 2019

@ChelseaFC please take David Luiz back.
— Kibby (@EdwardKipsanai) August 24, 2019

Petition to return David Luiz back to Chelsea
— Habiba Shaker (@habibashaker) August 24, 2019

Send Luiz back
— Michael ?? (@MrBameyangV2) August 24, 2019

Send this luiz guy back to Chelsea
— D1 ??? (@dkumi_11) August 24, 2019

David Luiz go back to Chelsea you scum
— Joe Balsamo (@jabalsam) August 24, 2019

David Luiz should go back to Chelsea
— K!M™ ?? (@KimNelson_) August 24, 2019
 
Kelele za akina Aroon dhidi ya Luiz zimeanza mapema tu, hizi hapa:

‘Send him back to Chelsea’ – Some Arsenal fans turn on David Luiz as star concedes sloppy penalty vs Liverpool
david-luiz-arsenal-burnley-640x400.jpg



It was a stupid mistake from Luiz, something fans would’ve become accustom to following his two previous stints at Stamford Bridge.

Following this error, AFC fans took to Twitter to call for the club to send Luiz back to Chelsea.

If he keeps on making mistakes like this, we’d probably want him sent back to the Blues too!
Hahahahahah
 
Huko nyuma nilisha sema Luiz anacheza vizuri sana lakini mistakes chache anazofanya inaigharimu timu kupoteza point ndivyo ilivyotokea leo kwa Arsenal VS Libverpool, kipindi cha kwanza defense ilitulia huku wakijiamini sana japo goli la kwanza la Matip, Luiz angekuwa mwepesi wa kuruka angefanya jitihada Fulani kuzuia goli
Kipindi cha pili yale tuliyoyasema juu ya Luiz kwamba akipewa mgongo na mshambuliaji hawezi kukaba. hawezi kukimbia, kawa mzito sana. Sasa kwa washambuliaji wepesi kama Salah, utategemea msaada gani kutoka kwa Luiz zaidi ya kukaba kwa kuvuta shati?

Hiyo paundi mil 8 ni kama tuliwaibia, Maskini Arsenal
 
Mashabiki wa Chelsea bana, hawakawii!
One fan said: "David Luiz gives a penalty away. Chelsea done well to get rid of him. Thanks for the £8million Arsenal," tweeted on fan.
Another added: "Arsenal fans bantered Chelsea about taking away David Luiz," while a third said: "David Luiz on mission from Chelsea. Thanks Agent Luiz."
 
Hivi kwenye ule mkataba wa kuuza Luiz kwa mil 8 hapakuwepo na buying back clause?
 
Yeah ila vijana wanaimprove sana. Kipindi cha pili wamecheza kandanda safi sana tofauti na mechi ya Leicester ambayo kipindi cha pili timu ilipoteana.
Kuna watu jana wameaniacha na maswali. Kovacic jana kaonyesha kiwango cha dunia, je akipona Kante atacheza wapi na yeye atacheza wapi? Abraham ataanza kugain confidence, wale waliokuwa wanambeza watasubiri sana hasa huyu Ngwaba na Haruna. Mount namtabiria makubwa msimu huu. Emerson is on fire. Christensen anaimarika kila mechi. Barkley jana alikuwa kiwango kingine. Pedro katk mechi alizocheza ameonyesha yeye ni mtu mwingine. Zouma afanyie kazi jinsi ya kumark attackers. Upande wa Azp unapwaya kwa hizo mechi 3. Possibly James Leece atakuwa upgrade ya Azpillicueta. Baada ya round ya kwanza msimu huu hii timu itawashangaza wengi. Na katika msimamo wa ligi tutamaliza juu ya Man U na Arsenal.
Mark my words guys
Ndio maana nikasema tuliboost kutoka 48% HT kwenda 54% FT, kipindi cha pili ni kama possession ilikuwa 56%
 
Tuliwaambia hawakuamini. Sasa ngoja washuhudie kwa macho yao
Kelele za akina Aroon dhidi ya Luiz zimeanza mapema tu, hizi hapa:

‘Send him back to Chelsea’ – Some Arsenal fans turn on David Luiz as star concedes sloppy penalty vs Liverpool
david-luiz-arsenal-burnley-640x400.jpg



It was a stupid mistake from Luiz, something fans would’ve become accustom to following his two previous stints at Stamford Bridge.

Following this error, AFC fans took to Twitter to call for the club to send Luiz back to Chelsea.

If he keeps on making mistakes like this, we’d probably want him sent back to the Blues too!
 
Huko nyuma nilisha sema Luiz anacheza vizuri sana lakini mistakes chache anazofanya inaigharimu timu kupoteza point ndivyo ilivyotokea leo kwa Arsenal VS Libverpool, kipindi cha kwanza defense ilitulia huku wakijiamini sana japo goli la kwanza la Matip, Luiz angekuwa mwepesi wa kuruka angefanya jitihada Fulani kuzuia goli
Kipindi cha pili yale tuliyoyasema juu ya Luiz kwamba akipewa mgongo na mshambuliaji hawezi kukaba. hawezi kukimbia, kawa mzito sana. Sasa kwa washambuliaji wepesi kama Salah, utategemea msaada gani kutoka kwa Luiz zaidi ya kukaba kwa kuvuta shati?

Hiyo paundi mil 8 ni kama tuliwaibia, Maskini Arsenal
Kwa hiyo mkuu tuseme tuliwapiga Arsenal?
 
Wakuu team haswa mabeki na middifield hasipokuwepo General Kante tunacheza kama tupo Championship tunafungwa goli laini kama maziwa ya warabu so sad ,natamani Reece apote Azpiculeta acheze katikati japo mfupi anajiamini akiwa na mpira ,Zouma ni presha tu kakosa kiongozi ,Everton alikuwa na Keane kacheza kwa kiwango cha juu ,naamini akiwa na Azpicu atapata kiongozi atacheza vizuri ,Willian na Batu apewe muda wa kucheza haswa dk 30 za mwisho ,nimependa nguvu anayotumia Timmy inasaidia kuwasumbua mabeki.Blue is the color
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Wakuu team haswa mabeki na middifield hasipokuwepo General Kante tunacheza kama tupo Championship tunafungwa goli laini kama maziwa ya warabu so sad ,natamani Reece apote Azpiculeta acheze katikati japo mfupi anajiamini akiwa na mpira ,Zouma ni presha tu kakosa kiongozi ,Everton alikuwa na Keane kacheza kwa kiwango cha juu ,naamini akiwa na Azpicu atapata kiongozi atacheza vizuri ,Willian na Batu apewe muda wa kucheza haswa dk 30 za mwisho ,nimependa nguvu anayotumia Timmy inasaidia kuwasumbua mabeki.Blue is the color
Jana Kovacic kafanya majukumu yake vzuri sana. Kipindi cha pili sikuliona pengo la Kante
 
Kwa hiyo mkuu unfikiri Christensen atkuwa dropped?
Wakuu team haswa mabeki na middifield hasipokuwepo General Kante tunacheza kama tupo Championship tunafungwa goli laini kama maziwa ya warabu so sad ,natamani Reece apote Azpiculeta acheze katikati japo mfupi anajiamini akiwa na mpira ,Zouma ni presha tu kakosa kiongozi ,Everton alikuwa na Keane kacheza kwa kiwango cha juu ,naamini akiwa na Azpicu atapata kiongozi atacheza vizuri ,Willian na Batu apewe muda wa kucheza haswa dk 30 za mwisho ,nimependa nguvu anayotumia Timmy inasaidia kuwasumbua mabeki.Blue is the color
 
Kabla ya msimu kuanza niliwahi sema nafasi ya Azpi inahitaji mabadiliko watu wakanijia juu na kusema ile nafasi inahitaji backup/msaidizi na siyo mabadiliko. Sasa yanaanza kuonekana.

Azpi keshachoka ametumika sana Chelsea morali inaisha bila ya kupata msaidizi anakua less motivated to give his best. Reece come back.
 
Yeah ila vijana wanaimprove sana. Kipindi cha pili wamecheza kandanda safi sana tofauti na mechi ya Leicester ambayo kipindi cha pili timu ilipoteana.
Kuna watu jana wameaniacha na maswali. Kovacic jana kaonyesha kiwango cha dunia, je akipona Kante atacheza wapi na yeye atacheza wapi? Abraham ataanza kugain confidence, wale waliokuwa wanambeza watasubiri sana hasa huyu Ngwaba na Haruna. Mount namtabiria makubwa msimu huu. Emerson is on fire. Christensen anaimarika kila mechi. Barkley jana alikuwa kiwango kingine. Pedro katk mechi alizocheza ameonyesha yeye ni mtu mwingine. Zouma afanyie kazi jinsi ya kumark attackers. Upande wa Azp unapwaya kwa hizo mechi 3. Possibly James Leece atakuwa upgrade ya Azpillicueta. Baada ya round ya kwanza msimu huu hii timu itawashangaza wengi. Na katika msimamo wa ligi tutamaliza juu ya Man U na Arsenal.
Mark my words guys
Mimi nilichokiona na kama wataalamu wachambuzi wengine wanavyosema, high pressing ya Lampard ndiyo yenye shida, jana walicheza very ordinary game na wachezaji walimudu mpira tofauti na zile mechi zenye high pressing has ile ya Man U na Leister city, vijana wanapwaya na kuchoka kipindi cha pili. Jana ilikuwa tofauti, kipindi cha pili vijana waligain energy badala ya kupungua. Lampard awazoeshe high pressing taratibu sio kwa haraka, wawe wanafanya high pressing ya kushtukiza halafu wanatulia kuhifadhi nguvu.
Reece, RLC, Kante, Rudiger wakirudi hawa hawatakuwa na namba, Azpi, Kova, Barkley**, Zouma
Barkley itabidi apambane sana kwa sababu ameanza kuwa on and off
 
Mimi nawaamini vijana woote ambao Lampard kawachagua kwenye first team kuanzia
Tomori
Pulisic,
Mason Mount
Tammy
na Reece James akija baadaye. Wakizoea ligi watakuwa hatari sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom