lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,201
- 28,087
Hata wakicheza buku,jamaa kaongelea goli alizo concede kipa wenu keppa sjui
Walimsema sana De Gea kipindi kile anacheza na Ashley na kina Jones,leo wanajitoa akili. |
Hata wakicheza buku,jamaa kaongelea goli alizo concede kipa wenu keppa sjui
Walimsema sana De Gea kipindi kile anacheza na Ashley na kina Jones,leo wanajitoa akili. |
Shida ni beki,wala hata sio kipaHata wakicheza buku,jamaa kaongelea goli alizo concede kipa wenu keppa sjui
Uwe unaangalia mechi ili ujue sababu ya magoliMechi 3 Kepa Azubaaga ameshaconcede magoli 7
Sijui nipo sahihi?
Tatizo la msingi halipo kwa mabeki midfield wanaacha kukata umeme. Ukosefu wa Kante ni wazi. Jourginho yuko kwenye form mbaya sana
We jamaa kipindi cha nyuma nilijua ni mtu smart sana.Nimeshajipanga Kisaikolojia leo kupokea Kelele za Tammy Abraham kutoka kwa Mashabiki wa Chelsea.
Utawasikia tu! Mrithi wa Drogba, Mrithi wa Zola, Mrithi wa Lampard, Mrithi wa Tore-Andre Flor, Mrithi wa Husslebank n.k.
Uwe unaangalia mechi ili ujue sababu ya magoli
Msimu uliopita De gea ali concede magoli zaidi ya 50 premier league peke yake. Mabeki walikua Smalling na Lindelof lakin angalia msimu huu Degea atakavyosifiwa. Tatizo sisi binadamu ni tunajisahau sana kumpa lawama Kepa na wakati beki ni mbovu ni kumkosea heshima. Uwezo keshauthibitisha kitambo lakin mpaka leo watu wanajikuta hawauoni uwezo wake.Hata wakicheza buku,jamaa kaongelea goli alizo concede kipa wenu keppa sjui
We jamaa kipindi cha nyuma nilijua ni mtu smart sana.
We jamaa kipindi cha nyuma nilijua ni mtu smart sana.
Kila goli lina sababu! Kwahiyo hakuna Kipa Mbovu bali Makipa wote ni bora
Kipa unamu-evaluate kwa kuangalia statistics nyingi siyo tu magoli pekee. Kuna magoli ni poor marking and defender's errors
Bado nasema Norwich ni vibonde, pale ni Pukki tu mchezaji. Wamekutana na Chelsea inayopitia transitionTulipomfunga Norwich goli 4 kuna watu walisema sana kuwa tumecheza na Kibonde!! Nadhani leo wamejionea kuwa si kila anayefungwa na Liverpool ni Kibonde.