Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Mara ya mwisho kupata Clean Sheet nadhani hata Aroon alikua hajazaliwa.
Na ananyoa watu hukoKuelekea game yetu dhidi ya Norwich city
-
Teem Pukki katika shots on target 6 kafunga goli 4
-
Kepa katika shots on target 8 kafungwa goli 5
-
Hii ina maana gani?, Ina maana kwenye kila mashuti 2 anayopigiwa kepa moja(1) ni goli na kwenye kila mashuti 3 anayopiga Teem Pukki mawili (2) ni magoli..
-
Tujiandae kisaikolojiaView attachment 1185950
Unatetea mkeka sioNdugu zetu mjitahidi bhana ,ile odd mlopewa ilikuwa kubwa sana hatujaiacha leo.
Hahahhaha aiseeeMara ya mwisho kupata Clean Sheet nadhani hata Aroon alikua hajazaliwa.
Tayari mtakuwa mpo championship na kina portsmouthTukimaliza ban tufanye bonge la usajili wa beki za maana.
Lakini tunaupiga mwingi sana.
Zouma anapata namba coz rudiger majeruhi tu.Jorgninho na Zouma mmetuangusha kipindi cha kwanza
Goooooooool Tammy Abraham dk 6
Kuupiga mwingi huku tunafungwa hovyo ina maana gani sasa.
beki yetu mbovu tunatakiwa tufunge magoli mengi kadri inavyowezekana
Nadhani anachezaga peke yake uwanjaniMechi 3 Kepa Azubaaga ameshaconcede magoli 7
Sijui nipo sahihi?
Hata wakicheza buku,jamaa kaongelea goli alizo concede kipa wenu keppa sjuiNadhani anachezaga peke yake uwanjani