Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nina uhakika hizo ni habari za uongo hazikuoriginate Chelsea
Ni Daily mail tu ndio walioandika wengine wakaquote
Najua ni habari za uongo ila vyombo vya habari vina exagerate kwakua dogo ni mweusi ila angekua mzungu habari isingekua hivyo.
 
Hivi CHO akirudi atacheza namba gani au atamweka benchi nani?
Kama right wing, pedro yuko kwenye form nzuri
Kama ni attacking midfield, yuko Mason Mount na Lampard kamwamini 1000% na sub yake ni Ross!
RLC akija atacheza wapi au atamweka nani benchi, Mount ndio huyo kawahi
Ross itabidi acheze kulia na Kante
Kovacic na Jourginho
RLC na Mount
CHO itabidi apambane na kumzidi Pedro ndio option pekee
Huku kushoto Pulisic atapambana na Willian
Mbele
Giroud, Tammy na Batshuayi watapambana kweli kweli Kwani Batshuayi kakataa msimu huu kutolewa mkopo kasema tutabanana mjini
Kule left back Emerson kashamweka benchi Alonso
Kule kulia kuna kila dalili Reece James atamweka benchi kapten Azpi
Rudiger ni wazi atamweka benchi Christiansen
Zouma na Tomori watapambana kweli kweli at least nyuma hakuna vita vikubwa kama za midfields
Kenedy naye yupo winger au midfield na sijui atawekwa wapi huyu kijana
Hii ndio maana ya kuwa na kikosi kipana, akitoka mtu anaingia mtu. Kwenye midfield ndio tumaweza kutawala zaidi ni wazi Mount kwa sasa ni regular starter hakuna wa kumuweka benchna sub yake ni Barkley. Ila RLC anaweza kuwa anacheza na Kante pembeni then Jorginho anabaki chini, kwa maana ya kwamba midfield wanakua wanne. Jorginho anacheza DM, kante anacheza RAM, RLC anacheza LCM, halafu Mount anacheza namba 10 CAM. Hapo siyo lazima waanze wote so kunaweza kuwa na ku switch formation yaani kutoka 4-4-2 kwenda 4-3-3 kutokana na aina ya mechi husika na mpinzani.

Pale mbele hawa wazee watachoka tu yana CHO atakuja kuchukua namba ya Pedro. Huku kulia nauona mwisho wa Willian hana zaidi ya misimu miwili. So ushindani ukiwepo lazima wote wajitume.
 
Jan, 19, 2014 Chelsea ilikua inacheza na Man Utd Etoo alipiga Hat trick hiyo siku lakini katika kusherehekea akaenda kumfata ball boy ambaye kwa sasa anavisumbua vichwa vya Bayern Munich. Collum Hudson Odoi were destined to be the best and I see that soon or later.
 
Jana ilikua mazoezi ya wazi na fan wanalipia tickets kwenda kyangalia jinsi wachezaji wanavyofanya mazoezi. Sasa ikaibuka ule mchezo kibongo tunaita safa bwege yaan mchezaji anatafuta mpira akiupata anakaa pembeni anaingia bwege aliyeupoteza kuutafuta. Sasa kuna muda bwege alikua Lampard katika kuhangaika kuutafuta si akaupata kwa Bakayoko

Wadau wanasema anaweza asianze hata kwenye mechi za FA na EFL.
IMG_20190822_070136.jpeg
IMG_20190822_070504.jpeg
IMG_20190822_070451.jpeg
IMG_20190822_070142.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20190822_070504.jpeg
    IMG_20190822_070504.jpeg
    70 KB · Views: 25
Jan, 19, 2014 Chelsea ilikua inacheza na Man Utd Etoo alipiga Hat trick hiyo siku lakini katika kusherehekea akaenda kumfata ball boy ambaye kwa sasa anavisumbua vichwa vya Bayern Munich. Collum Hudson Odoi were destined to be the best and I see that soon or later.
IMG_20190822_070533.jpeg
 
Najua ni habari za uongo ila vyombo vya habari vina exagerate kwakua dogo ni mweusi ila angekua mzungu habari isingekua hivyo.
- The Sun asked whether Callum Hudson Odoi deserves a £200k/week salary.

- A guy replied that if Willian can wear the #10 shirt, then why not? anything is possible at Chelsea.

My chest
 
Our next 6 PL games. Sijui tutakusanya points ngapi katika 18 may be 15-17 ninavyohisi mimi.View attachment 1187244

15 - 17 ? 😂😂😂

Bila shaka katika mashabiki vituko zaidi kuwahi kutokea duniani ni wa Chelsea

Yani umfunge Norwich (Away) ?
Umfunge Wolverhampton (Away) ?
Umfunge Liverpool (Home) ?
Umfunge Southampton (Away) ?

Hapo hapana hata timu moja utakayoondoka na points zote 3.
 
15 - 17 ?

Bila shaka katika mashabiki vituko zaidi kuwahi kutokea duniani ni wa Chelsea

Yani umfunge Norwich (Away) ?
Umfunge Wolverhampton (Away) ?
Umfunge Liverpool (Home) ?
Umfunge Southampton (Away) ?

Hapo hapana hata timu moja utakayoondoka na points zote 3.
Naiona draw kwa Wolves na Norwich may be. Sema sishangai hayo ni maoni yako kama mimi ninavyotoa maoni yangu.

Panua akili yako ufikiri zaidi wewe. Hamjafanya usajili umeshafikiri endapo mmoja kati ya VVD, Salah au Mane wakipata majeraha mtaishi vipi? Kazi kuiponda Chelsea kila siku. Smh
 
- The Sun asked whether Callum Hudson Odoi deserves a £200k/week salary.

- A guy replied that if Willian can wear the #10 shirt, then why not? anything is possible at Chelsea.

My chest
Niliikuta Twitter nikaiacha nikajua yupo mtu maalumu ataileta huku. Yametimia.
 
Mimi bado nina imani angebakia yule Mzee wetu Sarri alikuwa anakwenda vizuri...lakini mashabiki wamemfanya akose imani nao katimka.

Hata Lampard asiposhinda game walau 2 kati ya 5 atakuwa kwenye matatizo makubwa. Mchezo wa Pressing high wakati huna mabeki na mido wenye control kubwa ya ku hold mpira na mbio ni kazi kubwa maana ukipoteza mpira kwenye mstari wa kati umekwisha... Vady na yule jamaa number 10 jana walitaka kutuua mengi tu
Umeongea point ya msingi sana hapo chini

Pressing high ni hatari sana kwa timu yenye beki dhaifu

Tena mkikutana na timu yenye vibelenge ndio mnaaibishwa kabisa
 
kutana na mchezaji Joseph Minala, aliyezaliwa tarehe 24 August 1996 (miaka 22 ), pale Yaounde nchini Cameroon.
-
Italian football association ilithibitisha umri wake kupitia klabu ya vijana ya Lazio akiwa na miaka 17 mwaka 2014.

#TunaopigwaSioChelseaTu
FB_IMG_1566472822319.jpeg
 
Breaking News
Lampard ana mpango wa kuwapiga chini mastrikers woote, from Giroud, Tammy na Batshuayi ambaye kwanza hakupewa nafasi ya first team
Badala yake Lampard anampango wa kumuweka hapo mbele RLC

@#chelsea
loftus-cheek-chelsea.jpg
 
Breaking News
Lampard ana mpango wa kuwapiga chini mastrikers woote, from Giroud, Tammy na Batshuayi ambaye kwanza hakupewa nafasi ya first team
Badala yake Lampard anampango wa kumuweka hapo mbele RLC

@#chelsea
loftus-cheek-chelsea.jpg
Sidhani kama ni habri ya ukweli hii.
 
Breaking News
Lampard ana mpango wa kuwapiga chini mastrikers woote, from Giroud, Tammy na Batshuayi ambaye kwanza hakupewa nafasi ya first team
Badala yake Lampard anampango wa kumuweka hapo mbele RLC

@#chelsea
loftus-cheek-chelsea.jpg
Mm naona wamwamini batshuayi tu
 
kutana na mchezaji Joseph Minala, aliyezaliwa tarehe 24 August 1996 (miaka 22 ), pale Yaounde nchini Cameroon.
-
Italian football association ilithibitisha umri wake kupitia klabu ya vijana ya Lazio akiwa na miaka 17 mwaka 2014.

#TunaopigwaSioChelseaTuView attachment 1187545
Ngoja Liverpool awatekenye ndio mtaanza kupiteana hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom