Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea leo mmecheza vyema sana
Lkn Liverpool is too much kwenu
Mtapigwa tu
 
Akina ngwaba wamezimia muda huu. Aroon mwenyewe kajificha huko. Hajakatiza hapa tangu mpira umeanza.
Lampard tumpe misimu 3 ajenge timu anayoitaka. Kila mtu atatupenda
Mpaka sasa hao waliokuwa wanaibeza Chelsea na Lampard wameiona
 
Vijana wana Spirit ambayo ilikuwa imepotea kwa miaka ya karibuni. Wanatafuta mpira ulipotea, wana touch nzuri yaani sisi mashabiki ndo tunapata raha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom