OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245



Kiongozi tulia, mpira Dakika tisiniChelsea mna cheza vzuri leo
Lkn Liverpool is too much kwenu,mtalala tu


Mkuu isije kuwa kama ya Man u, kipind cha kwanza tulikipiga ila cha pili sasa dah..Hii ndo Chelsea ambayo imewafukuza mamluki wote kwenye jukwaa
HahahhaDaah
3-1 anyway
Hii ndo Chelsea ambayo imewafukuza mamluki wote kwenye jukwaa
Wachezaji waliverpool wametumika sana