Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
Nope....Nope...Nope.... BIG NO hapo kwenye RED hasa kwa game za Chelsea......Kwa game za Arsenal n Man U. U r always Fare....
On your eyes!
Nope....Nope...Nope.... BIG NO hapo kwenye RED hasa kwa game za Chelsea......Kwa game za Arsenal n Man U. U r always Fare....
hahaha! hiyo sio pen kweli?
hawa jamaa wanapiga kiatu si mchezo! na refa anapeta tu penalty laims za chelsea! mbona hizo hamsemi wapinzani? au mko biased?
Vipi Alex Song, amepona kupigwa adhabu kwa ile stamp refa alimwachia jana?
Wacha kulialia chezeni mpira khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nyie sio mmempa ngawira refa? Atawapa goli extra time khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Unaona???? Ushahamia huku tena mazee???? hahahahahaaaa.... Stoke wanakimbiza mbaya.....
Nilikuwa najaribu kukuonyesha tu kwamba kila timu inapata good calls na bad calls....na wewe sijakusikia ukisema chochote kuhusu kubebwa huko kwa Arsenal....au nyie mkibebwa ni haki yenu?!
Hawa mkikutana nao na ile beki yenu ulojo mtakoma. The whole fvkin team is 6+ft except Pennant.
Hakuna mwenye haki ya kubebwa.... Ila nyie mmezidi.....!!!!