Lampard anamtaka Billy Gilmour kwenye daftari la wachezaji wa viungo wa Chelsea msimu ujao. Bakayoko atauzwa au kuendelea na mkopo kwa silimia 90
Sasa kuna dogo anacheza midfield anaitwa Mason Mount. Ni hatari sana, huyu lazima abaki msimu huu. Ana prospect nzuri kwenye club.Huyu dg nimzur
Huyu ndie aliyekuwa academy player of the year
Huyo kashapewa kitiki Cha blue mapema ila kwa bakayoko Ana kazi ngumu sanaSasa kuna dogo anacheza midfield anaitwa Mason Mount. Ni hatari sana, huyu lazima abaki msimu huu. Ana prospect nzuri kwenye club.
Gilmour fundi sana huyo dogo. Bakayoko tunampotezea muda tu auzwe. Arsenal wanamtaka nilisikiaLampard anamtaka Billy Gilmour kwenye daftari la wachezaji wa viungo wa Chelsea msimu ujao. Bakayoko atauzwa au kuendelea na mkopo kwa silimia 90
Sure, Bakayoko bado possession inampa shida. Ngoja tusubiri kufikia preseason kuisha labda anaweza kuimproveHuyo kashapewa kitiki Cha blue mapema ila kwa bakayoko Ana kazi ngumu sana
Sasa kuna dogo anacheza midfield anaitwa Mason Mount. Ni hatari sana, huyu lazima abaki msimu huu. Ana prospect nzuri kwenye club.
Wasipoangalia, mzee mzima OG atawapiku nambaYeah mason mount yuko vizur sana
Kuna yule tomori nae naona yuko poa
Abraham n batshuay jana walikuwa wachoyo kila mmoja anataka kufunga ili aonekane
Mkuu yan ni bora Liverpool kidogo ndio naweza msikiliza. Ila hao Arsenal na Man U mimi hata hawanitishi kabisa. Jaribu kufuatilia mwenyewe kwani siku hizi wanakuja hata jukwaani hapa? Liverpool sasa ivi ndio wana vijeuri wanzunguka majukwaa yoteKuna watu wana wivu na Chelsea, waliisha shangilia kwa kupigwa BAN na kuondoka kwa Hazard na sasa wanasubiri Chelsea iangukie pua
Wengi wa hao wanatoka
- Liverpool
- Man U na
- Arsenal





Ni moja ya wahuni wa mpira tulionaio tz wewe hilo kombe tmu yako inelisotea mara ngapi bila mafanikioMickey Mouse cup
Hao waache waendelee kutapatapa, sisi tunaendelea kujenga kikosi kitakacho washangaza msimu ujao..Kuna watu wana wivu na Chelsea, waliisha shangilia kwa kupigwa BAN na kuondoka kwa Hazard na sasa wanasubiri Chelsea iangukie pua
Wengi wa hao wanatoka
- Liverpool
- Man U na
- Arsenal
Naanza na SUPER CUP na wewe sikuachi kudadadadekiHao waache waendelee kutapatapa, sisi tunaendelea kujenga kikosi kitakacho washangaza msimu ujao..
Hahahahahahahahah Tulia tukunyooshe Super cup kwanzaMkuu yan ni bora Liverpool kidogo ndio naweza msikiliza. Ila hao Arsenal na Man U mimi hata hawanitishi kabisa. Jaribu kufuatilia mwenyewe kwani siku hizi wanakuja hata jukwaani hapa? Liverpool sasa ivi ndio wana vijeuri wanzunguka majukwaa yote
Ukiwa unaiongelea LIVERPOOL tambua unawaongelea Mabingwa wa Ulaya na muda sio mrefu watakuwa Mabingwa wa Dunia nzima kwahiyo usiihusishe Liverpool kwenye hilo kundi la timu za kihuni.Kuna watu wana wivu na Chelsea, waliisha shangilia kwa kupigwa BAN na kuondoka kwa Hazard na sasa wanasubiri Chelsea iangukie pua
Wengi wa hao wanatoka
- Liverpool
- Man U na
- Arsenal
Super Cup sisi tayari tunalo mkuu, kwenye ligi una point zetu nne kama sio sita zote..Naanza na SUPER CUP na wewe sikuachi kudadadadeki
Haiitwi Supper cup, inaitwa Mickey Mouse Cup!Hahahahahahahahah Tulia tukunyooshe Super cup kwanza