Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Naangalia upangaji wa kikosi wa Lampard katika mechi ya kirafiki na Bohemian naona anajaza viungo wengi katikati. Nahisi anaweza kutengeneza timu yenye viungo wengi na wazuri.
Kocha mkuu alikua midfield mzuri tu na pia kocha msaidizi alikua midfield mzuri pia. Hapo unategemea timu itakayotoka hapo itakuaje?View attachment 1150873
Hawa ndiyo vijana munaopiga kelele kuwa watumiwe katika kipindi hichi cha Transfer Ban?