Kwani discussions za Ronaldo na Messi tokea Fanboys wao walipoanzisha Vita vya nani ni Real GOAT zilishawahi kusita?

Au umeshahu kuwa last season waliendesha Mjadala mzito kwenye Media kuwa Ronaldo katumia jitihada binafsi vs Juve, Bayern na PSG kuipa Real CL then Ballon D'or ikaishia kupewa Modric?

Nakuhakikishia kwa FIFA hii as long as Rinaldo na Messi wana washabiki wao binafsi ambao wanawapenda zaidi wao kuliko mpira wanaoucheza basi kati ya hawa wawili hata Siku moja hawezi kuchukuwa Ballon D'or nje ya Timu ya Real & Barca.

Na ndiyomana last season wakahofia kuzisplit kura zao kwa Ronaldo na Modric jambo ambalo lingepelekea Messi apate kura nyingi na kubeba Ballon D'or mbele ya Ronaldo! Basi kura zao zote wakazipeleka kwa Modric.

Na sezon hii watakapozisplit kura zao kwa Ronaldo na VVD ni wazi kuwa Messi ndiye mshindi wa Ballon D'or

Kwahiyo either Messi, au Wasacrify kura zao zote wazitupie kwa VVD.
Hayo yote ni Mawazo yangu tu Mkuu usije ukaanza kufukua Makaburi.[!B]
Kama hujasahau ngoja nikukumbushe Modric alipata kura nyingi kuliko wengine kwa sababu ya Croatia kufika fainali ya Worldcup na Madrid Kushinda UEFA, kilichomuangusha Ronaldo ni Portugal kuyaaga mashindano ya WC mapema. Point kubwa hapo achana na discussions maana sio habari njema kwenu. Point kubwa hapa ni kwamba Ballon d'Or haitolewi kwa individual popularity nazungumza kuweza kutawaa trophy kubwa kwenye Ligue tofauti na timu tofauti
Mwaka huu labda Messi aweze kuiwezesha Agentina kuchukua Copa America ndipo anaweza kuweka ushindani wa point kwa Ronaldo, apart from that, noway, Ballon d'or haitolewi kindugu inatolewa kwa point ulizo score. Zama kwenye criteria za kutwa hiyo nishani na wacha kuja na porojo za kishabiki
 
Kama hujasahau ngoja nikukumbushe Modric alipata kura nyingi kuliko wengine kwa sababu ya Croatia kufika fainali ya Worldcup na Madrid Kushinda UEFA, kilichomuangusha Ronaldo ni Portugal kuyaaga mashindano ya WC mapema. Point kubwa hapo achana na discussions maana sio habari njema kwenu. Point kubwa hapa ni kwamba Ballon d'Or haitolewi kwa individual popularity nazungumza kuweza kutawaa trophy kubwa kwenye Ligue tofauti na timu tofauti
Mwaka huu labda Messi aweze kuiwezesha Agentina kuchukua Copa America ndipo anaweza kuweka ushindani wa point kwa Ronaldo, apart from that, noway, Ballon d'or haitolewi kindugu inatolewa kwa point ulizo score. Zama kwenye criteria za kutwa hiyo nishani na wacha kuja na porojo za kishabiki

Kwahiyo WC aliyoshinda Modric ndiyo sawa na hilo kombe la timu 4 aliloshinda Ronaldo?

Je hayo Makombe makubwa ni unamaanisha Serie A???? UNL????
Hayo yote ni madogo kuliko UCL na Laliga! Ni sawa na kuilinganisha Dar na Dodoma ukiamini kuwa Dom ni bora kuliko Dar.

Hivi hizo points zinakuwa electronic calculated au ni kura za watu?

Je hao Macaptain wanaopiga kura unadhani hawana mahaba binafsi na hao wachezaji (Messi & Ronaldo)?

Kama sio mahaba binafsi kwanini Iniesta alipostahili tunzo bado iliishia kupigiwa kura Messi?

Kwanini Beckham alishika nafasi ya 2 ya uchezaji bora wakati tulikuwa tukijuwa wazi kuwa hakuwa hata kwenye group la 30 bora bali alikuwa ni Celebrity tu na mwenye Fans wengi?

Kubali kataa lakini wapiga kura wa tunzo wamejaa ushabiki na corrupted kila idara.
 
Kwahiyo WC aliyoshinda Modric ndiyo sawa na hilo kombe la timu 4 aliloshinda Ronaldo?

Je hayo Makombe makubwa ni unamaanisha Serie A???? UNL????
Hayo yote ni madogo kuliko UCL na Laliga! Ni sawa na kuilinganisha Dar na Dodoma ukiamini kuwa Dom ni bora kuliko Dar.

Hivi hizo points zinakuwa electronic calculated au ni kura za watu?

Je hao Macaptain wanaopiga kura unadhani hawana mahaba binafsi na hao wachezaji (Messi & Ronaldo)?

Kama sio mahaba binafsi kwanini Iniesta alipostahili tunzo bado iliishia kupigiwa kura Messi?

Kwanini Beckham alishika nafasi ya 2 ya uchezaji bora wakati tulikuwa tukijuwa wazi kuwa hakuwa hata kwenye group la 30 bora bali alikuwa ni Celebrity tu na mwenye Fans wengi?

Kubali kataa lakini wapiga kura wa tunzo wamejaa ushabiki na corrupted kila idara.
UCL na UNL zina ukubwa unaolingana, Zote ni International Legue zinazogomabniwa na timu bora. Tofauti yake ni moja inahusisha vilabu na nyingine timu ya Taifa. UNL inahusisha mataifa 55 yaliyo chini ya UEFA. Hizo za award kutolewa kindugu I totally do not believe. Hizo ni propaganda zinazoendelea kwenye mitandao tangu zamani kutoka kwa wapinzani wa Ballon d'or
 
UCL na UNL zina ukubwa unaolingana, Zote ni International Legue zinazogomabniwa na timu bora. Tofauti yake ni moja inahusisha vilabu na nyingine timu ya Taifa. UNL inahusisha mataifa 55 yaliyo chini ya UEFA. Hizo za award kutolewa kindugu I totally do not believe. Hizo ni propaganda zinazoendelea kwenye mitandao tangu zamani kutoka kwa wapinzani wa Ballon d'or

I'm not here for endless discussion! I rest my case
 
UCL na UNL zina ukubwa unaolingana, Zote ni International Legue zinazogomabniwa na timu bora. Tofauti yake ni moja inahusisha vilabu na nyingine timu ya Taifa. UNL inahusisha mataifa 55 yaliyo chini ya UEFA. Hizo za award kutolewa kindugu I totally do not believe. Hizo ni propaganda zinazoendelea kwenye mitandao tangu zamani kutoka kwa wapinzani wa Ballon d'or

UNL ni kombe la mbuzi tu, halina uzito wowote,na ndio mana mataifa kama Italia walikua wanalitumia kujaribia wachezaji, kila mechi wakibadilisha kikosi.
 
UCL na UNL zina ukubwa unaolingana, Zote ni International Legue zinazogomabniwa na timu bora. Tofauti yake ni moja inahusisha vilabu na nyingine timu ya Taifa. UNL inahusisha mataifa 55 yaliyo chini ya UEFA. Hizo za award kutolewa kindugu I totally do not believe. Hizo ni propaganda zinazoendelea kwenye mitandao tangu zamani kutoka kwa wapinzani wa Ballon d'or

I'm not here for endless discussion! I rest my case

Kumhusisha Ronaldo na tunzo ya uchezaji bora wa mwaka huu ni vichekesho tu. Hana sifa hata ya kuingia top 5.
 
Makombe makubwa duniani

1 World Cup
2 Champions league
3 Europa league
4 Euro
5 Copa America

1,2, 4 & 5 nakubaliana na Wewe kuwa ni Makombe Makubwa.
Lakini 3 ni Mickey mouse cup kama FA na Carabao tu ndiyomana Washindi wa 4 wa mwanzo wa EPL hawapelekwi wakashindanie unless washindwe huku kwa Wakubwa.
 
UCL na UNL zina ukubwa unaolingana, Zote ni International Legue zinazogomabniwa na timu bora. Tofauti yake ni moja inahusisha vilabu na nyingine timu ya Taifa. UNL inahusisha mataifa 55 yaliyo chini ya UEFA. Hizo za award kutolewa kindugu I totally do not believe. Hizo ni propaganda zinazoendelea kwenye mitandao tangu zamani kutoka kwa wapinzani wa Ballon d'or
UNL haina credit yoyote kweny balloon dor Yan naweza fananisha na Carabao cup
 
1,2, 4 & 5 nakubaliana na Wewe kuwa ni Makombe Makubwa.
Lakini 3 ni Mickey mouse cup kama FA na Carabao tu ndiyomana Washindi wa 4 wa mwanzo wa EPL hawapelekwi wakashindanie unless washindwe huku kwa Wakubwa.
Na kwa nini mshindi wa EUROPA anacheza na wa UCL na mshindi ndo anapewa "super cup"
 
Watu wengi wanamtaja VVD kwa sababu tu kachukua UCL na player of the year lakini anasahaulika Barnardo Silva ndani ya msimu tu makombe aliyochukua plus individual awards km zingekua ni points basi angemuacha mbali huyo VVD.

>Community Shield
>League Cup (Carling)
>FA cup
>EPL
>UEFA Nations League
^Man City player of the season
^UEFA Nation League player of the tournament

Anastahili kuwepo hata top 3. Mtakaosema hizo ni Micky Mouse Cup someni upya nilicho andika mwanzo.
IMG_20190611_062300_426.jpeg
 
Watu wengi wanamtaja VVD kwa sababu tu kachukua UCL na player of the year lakini anasahaulika Barnardo Silva ndani ya msimu tu makombe aliyochukua plus individual awards km zingekua ni points basi angemuacha mbali huyo VVD.

>Community Shield
>League Cup (Carling)
>FA cup
>EPL
>UEFA Nations League
^Man City player of the season
^UEFA Nation League player of the tournament

Anastahili kuwepo hata top 3. Mtakaosema hizo ni Micky Mouse Cup someni upya nilicho andika mwanzo.View attachment 1124217
VVD

UEFA CUP

UEFA BEST PLAYER

ENGLAND BEST PLAYER

LIVERPOOL BEST PLAYER..


..Alafu ukumbuke balon dor inatolewa mwishoni mwa mwaka

Mwezi wa 8 kuna super cup na community shield..

Na kabla ya hapo Ukiaangalia mafanikio. Ya mchezaji binafsi Van dijk ana mafanikio makubwa maana yeye ni mchezaji bora wa ligi bora na ni mchezaji bora wa mabingwa wa ulaya
 
Watu wengi wanamtaja VVD kwa sababu tu kachukua UCL na player of the year lakini anasahaulika Barnardo Silva ndani ya msimu tu makombe aliyochukua plus individual awards km zingekua ni points basi angemuacha mbali huyo VVD.

>Community Shield
>League Cup (Carling)
>FA cup
>EPL
>UEFA Nations League
^Man City player of the season
^UEFA Nation League player of the tournament

Anastahili kuwepo hata top 3. Mtakaosema hizo ni Micky Mouse Cup someni upya nilicho andika mwanzo.View attachment 1124217

Ungelisema ni MEDIA nyingi ndiyo zinampa Promo VVD hapo ingelipendeza zaidi.

Kuna mshabiki mwenzako wa Chelsea nilimwambia kuwa huu mchakato wa kuchagua mchezaji bora umejaa mazonge akanibishia.

Mfano Laporte alichokifanya kwenye ukuta wa Man City ni Zaidi ya alichokifanya VVD kwenye ukuta wa Liverpool (VVD yeye kaongezeka kwenye kufunga tu ana magoli 7).
Lakini Media hazijawahi hata kugusia kuwa kuna Mtu anaitwa Laporte.

Na Bernardo Silva ndiyo kabisa Media hazitaki kuutaja uwezo/mchango wake wakati jamaa ndiye talented Midfielder pekee aliyebakia EPL kwasasa.

Na huu mchakato wa Ballon D'or umevurugika zaidi walipoibuka hawa washabiki wa GOAT.

Media last season walitaka kuwapindua GOAT kwa ajili ya kiwasimika Mbappe na Neymar, lakini Timu (PSG) wanayochezea inacheza ligi ya Wakulima na imeboronga CL.

Media Wakaamua waisacrifice Bllon D'or kwa Modric tu lakini isiende kwa GOAT.

Waliamua kivipi? Waliamua kwa kuanza kumpigia debe/Kumtangaza kwenye kila Pembe ya Dunia kupita MaTV, Radio, Magazeti na Social Network ili tunzo isijeanguka kwa GOAT Ronaldo kwani hilo ni kashfa kwa Fans wa GOAT Messi ambaye last season hakuwa na Nafasi.

Sasa season hii Mashabiki (Media) wa GOAT Messi wamehisi Messi anayo nafasi ya Ballon D'or, na Mbappe & Neymar (Ambao walitegemewa kuwarithi) hawana Nafasi.

Na ukiangalia Bernardo Silva hajawa Popular wa kuweza kuwaconvince wapiga kura wamchague yeye ahead of Messi!
Kwahiyo Mashabiki (Media) wa GOAT Ronaldo wakaangalia mchezaji gani ambaye ni Popular na mwenye influence katika Ligi ya kwao (5 Top Leagues).Wakagundua kuwa ni VVD baada ya kubeba CL kuwa ndiye anayeweza kusimama na Messi.
Wakaamu kutumia Slogan ya "B'D'O wanaangaliwa washambuliaji tu, marahii waangaliwe na mabeki".

Hapo ndiyo Media zinapompigia Promo VVD ili tu GOAT Messi asije kumpita kwa tunzo za Ballon GOAT Ronaldo.

Kiufupi B. Silva ni mchezaji mzuri anauestahiki kupata kila Tunzo
 
Kombe la dunia ndilo lilileta utofauti wa balon d'or 2 ya canavaro na Mondrick , kama hakuna kombe hilo mshindi ni Lapulga au CR7 upepo tu ukivuma vizuri mambo ni yente yente kwa sasa unavuma kwa CR7 mpaka baba la baba Messi abadilishe upepo wote tutamfuata kwa hawa Two GOATS kila goti litapigwa
 
Back
Top Bottom