Wachezaji wasiohitajika sasa hivi Chelsea squad ya mwaka huu unaoisha niToa hawa luiz, azpillicueta, joginho, giroud maana sioni mchango wao hapo stanford kwa sasa
Goodluck mkuu tukutane 14augustWachezaji wasiohitajika sasa hivi Chelsea squad ya mwaka huu unaoisha ni
Zapacosta
Drinkwater
Hao uliowataja ndio wamerudi kwenye form huwezi kuwaacha
Baada ya kutoa nuksi ya kutofunga Europa, nategemea Giroud atafunga magoli msimu ujao akishirikiana na Tammy wetu
Kwani sasa na nyie mnawania Mickey Mouse Cup au ndio mna mpango wa kutuachiaGoodluck mkuu tukutane 14august
Mkililia san tunawaachia tu km vpKwani sasa na nyie mnawania Mickey Mouse Cup au ndio mna mpango wa kutuachia
Hii ligi asipochukua Man City basi atachukua Chelsea. Believe me
Unapaswa kujua kuwa Pulisic hawezi kuvaa viatu vya Hazard kwa sasa ila anakuja kuunda timu ya Chelsea
Unapaswa kujua kuwa Pulisic hawezi kuvaa viatu vya Hazard kwa sasa ila anakuja kuunda timu ya Chelsea
Huo ndo ukweliMuundo, mfumo mzuri wa kuwatumia wachezaji walioko tu ndio utakaoiwezesha Chelsea kuingia top 4 mwakani na kubeba silverware
Kama kocha akifikiri kuna mchezaji ataziba nafasi ya hazard, ni kujidanganya na itatucost. Pulisic mambo yake yakienda vizuri ni mpaka misimu miwili au mitatu ijayo ndio inawezekana akamfanania Hazard lakini sio mwaka huu au mwaka kesho
Huwa unaangalia mechi Chelsea inapocheza kweli? Luiz na Georginho hujaona michango yao? Azipilicueta ameisaidia timu tokea msimu wa 2014/2015 mpaka sasa na amecheza mechi nyingi sana EPL. So amekuwa overused ila kiukweli ni mchezaji muhimu sanaToa hawa luiz, azpillicueta, joginho, giroud maana sioni mchango wao hapo stanford kwa sasa
Done deal: Real Madrid na Chelsea wamekubaliana kufika hitimisho la Eden Hazard kwa dau la €100 million (£88m/$112m). Hazard atalazimika kusafiri kwenda jijini Madrid kufanya vipimo vya afya. Sasa Hazard ni mali ya Madrid rasmi
:
Fair price?[emoji383]
Huyu pulisic mwenyewe nadhan itakuwa kamari tu hii mmechezewa
Chelsea? [emoji23] [emoji23][emoji23]
Kwa kikosi ulichonacho nakuhakikishia utakuja kugombania Nafasi ya 4 na Arsenal.
Kwahiyo baada ya kuwa mulisema Sarri anaunda Timu around Joginho, Sasa imekuwa anaunda Timu around Pulisic?
Mulimsifia Joginho baadae muakishia Kumlaumu!
Na huyu Pulisic mutamkataa kabla ya hata mechi 10.