Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea wana makombe 16 ikiwemo UCL na EPL za kutosha na Europa Ligue trophies in 15 years na bado kuna watu wasiofikiria wana mock na ksuiema better 1 UCL in 100 years than 10 Mickey Mouse cups in 5 yrs. Liverpool wana laana kwa sababu ya midomo ya mashabiki wao
Unajua watu wakimkufuru Mungu, mji wao umelaaniwa siku zote mpaka watubu
Hao watu wa Liverpool wanaomkufuru Mungu, Liverpool yao itaendelea kulaaniwa mpaka watubu
 
Maurizio Sarri won 39 matches in all competitions for Chelsea this season - the only manager to ever win more in his first season in charge of Chelsea was José Mourinho in the 2004-05 (42 wins).
 
Chelsea wana makombe 16 ikiwemo UCL na EPL za kutosha na Europa Ligue trophies in 15 years na bado kuna watu wasiofikiria wana mock na ksuiema better 1 UCL in 100 years than 10 Mickey Mouse cups in 5 yrs. Liverpool wana laana kwa sababu ya midomo ya mashabiki wao
Unajua watu wakimkufuru Mungu, mji wao umelaaniwa siku zote mpaka watubu
Hao watu wa Liverpool wanaomkufuru Mungu, Liverpool yao itaendelea kulaaniwa mpaka watubu

Katika hayo 16 basi 10+ ni Mickey Mouse Cup ambazo kwa Bongo tunaita Makombe ya Mbuzi.
Endelea kujisifia.
Mimi kwenye Miaka 15 nimebeba Makombe Mawili tu ambayo ni la Wababe wa Ulaya UCL mwaka 2005 na 2019.
Lakini ni bora kuliko 15 vyako out of 16.
 
Beba EPL ndo ubingwa wa heshima zaidi uefa ni game of chance tu ..

Kama EPL ndiyo kombe la Heshima zaidi kuliko UCL nadhani Man City ndiyo ingekuwa Timu yenye Heshima Zaidi Duniani!

Lakini cha ajabu Nje ya Uengereza Man City hakuna anayeijuwa kuwa ni timu Bali inaonekana sawa na Everton tu.

Ancelotti hakuwa na Ubavu kwenye Serie A, Zidane hakuwa na Ubavu kwenye Laliga lakini walijijengea Heshima kwa UCL.

Leo hii someone from Mbagala Kibondemaji anasema UCL haina Heshima mbele ya EPL! teh teh teh teh teh teh
 
Ukishapitwa na wakati utajitetea sana na team yenu yenye mafanikio ya youtube,mkisheherekea ubingwa leo mtarudi baada ya miaka 10 si ajabu EPL itabadilishwa jina mtatoka patupu

Hapa ndiyo munapoonesha upopoma wenu!! Sasa kama tunakaa miaka 10 bila ya Ubingwa kwanini musituzidi hizo CL 6 tulizonazo?

Tumebeba 2005 lakini cha kushangaza katika kipindi hicho hamukubeba hata 3 kwa timu zote za England ili mutuzidi sisi tusiojuwa makombe..

LIVERPOOL NDIYE MBABE WA ULAYA NA NDIYE MTETEZI PEKEE WA EPL LINAPOKUJA SUALA LA ULAYA
 
Maurizio Sarri won 39 matches in all competitions for Chelsea this season - the only manager to ever win more in his first season in charge of Chelsea was José Mourinho in the 2004-05 (42 wins).
Alafu mashabiki eti wanataka Sari aondoke.
 
Hatutegemei makubwa mwakani, tukifight tukabaki top 4 na kushinda vikombe vidogo vidogo itasaidia kutupitisha kwenye ban hadi msimu wa 2020/21

"Loss of Hazard, Maurizio Sarri, together with a transfer ban, means any new coach may need more time than the club have previously been willing to grant their head coaches"

Kama eden kimario alivyosema, ni Messi tu anaweza kuziba immediately nafasi atakayoiacha Hazard, Pulisic anaweza akaiziba nafasi hiyo baada ya misimu mitatu hadi minne kama career yake itafanikiwa Chelsea na kama atakuwa chini ya kocha mzuri
Nafikiri mashabiki sisi ndio tunamfukuza sarri darajani, kwa sababu hatujawahi kumuheshimu.

Ameanza kutakiwa na juve ndio tunataka abaki.

Lakini ni bora akaondoka kuliko kumlazimisha abaki maana msimu ujao anaweza kuboronga maksudi.

Kuhusu pulisic Mimi namwangalia kwa msimu mmoja tu kama nilivyompa hazard, majibu yatajitokeza tu

Anaweza kuwa mzuri mpaka tukamsahau hazard au akawa hovyo mpaka tukamkumbuka hazard.

Ni jambo la kusubiri na kuona
 
Chelsea wana makombe 16 ikiwemo UCL na EPL za kutosha na Europa Ligue trophies in 15 years na bado kuna watu wasiofikiria wana mock na ksuiema better 1 UCL in 100 years than 10 Mickey Mouse cups in 5 yrs. Liverpool wana laana kwa sababu ya midomo ya mashabiki wao
Unajua watu wakimkufuru Mungu, mji wao umelaaniwa siku zote mpaka watubu
Hao watu wa Liverpool wanaomkufuru Mungu, Liverpool yao itaendelea kulaaniwa mpaka watubu
Ni 17 mkuu sio 16 toka mwaka 2000 tu mpaka leo, ikiwa ni mengi zaidi kuliko team yoyote EPL
globalcfc___ByK4O1zB6p3___.jpg
 
Katika hayo 16 basi 10+ ni Mickey Mouse Cup ambazo kwa Bongo tunaita Makombe ya Mbuzi.
Endelea kujisifia.
Mimi kwenye Miaka 15 nimebeba Makombe Mawili tu ambayo ni la Wababe wa Ulaya UCL mwaka 2005 na 2019.
Lakini ni bora kuliko 15 vyako out of 16.
Acha dharau mkuu hivi kuna kombe linaheshimika kama FA cup hapa duniani? Hii ni michuano ya kwanza kabisa kuanzishwa duniani.

Kama ujuavyo waingereza ndio waliuvumbua mpira wa miguu
 
Kama EPL ndiyo kombe la Heshima zaidi kuliko UCL nadhani Man City ndiyo ingekuwa Timu yenye Heshima Zaidi Duniani!

Lakini cha ajabu Nje ya Uengereza Man City hakuna anayeijuwa kuwa ni timu Bali inaonekana sawa na Everton tu.

Ancelotti hakuwa na Ubavu kwenye Serie A, Zidane hakuwa na Ubavu kwenye Laliga lakini walijijengea Heshima kwa UCL.

Leo hii someone from Mbagala Kibondemaji anasema UCL haina Heshima mbele ya EPL! teh teh teh teh teh teh
EPL ndio league ngumu duniani

So ukibeba EPL unaonekana shujaa.

Uefa ni match saba tu ukijipanga vizuri unabeba, ndio maana mpaka Nottingham Forest yuko katika orodha ya team zilizowahi kutwaa uefa
 
Hapa ndiyo munapoonesha upopoma wenu!! Sasa kama tunakaa miaka 10 bila ya Ubingwa kwanini musituzidi hizo CL 6 tulizonazo?

Tumebeba 2005 lakini cha kushangaza katika kipindi hicho hamukubeba hata 3 kwa timu zote za England ili mutuzidi sisi tusiojuwa makombe..

LIVERPOOL NDIYE MBABE WA ULAYA NA NDIYE MTETEZI PEKEE WA EPL LINAPOKUJA SUALA LA ULAYA
Wewe ulikuwa wapi kwa nini usibebe, ndio maana top 4 tu ilikuwa inawapa tabu mnaishia Europa league tu na mkifika huko mnaishia kupigwa na sevila tu na kombe mnalisikia tu
 
Alafu mashabiki eti wanataka Sari aondoke.
Mashabiki ni watu wa kusahau wanachohitaji, sema naona sarri mwenyewe ndiye anaforce kuondoka

Na ni bora wamwachie maana wakimlazimisha kubaki msimu ujao ataboronga kwa maksudi
 
EPL ndio league ngumu duniani

So ukibeba EPL unaonekana shujaa.

Uefa ni match saba tu ukijipanga vizuri unabeba, ndio maana mpaka Nottingham Forest yuko katika orodha ya team zilizowahi kutwaa uefa

Sasa Kama CL ni ubwete kwanini usibebe japo Mara 2?

Kwanini Velverde mwenye uhakika wa kuchukua La Liga katimuliwa baada ya kusuasua CL?

Haya mawazo ya Baadhi ya washabiki wa Chelsea ya kujifanya eti EPL ni bora kuliko CL ni loser mentality.

Wengi wanaosema CL kichukua ni rahisi kuliko ligi kuu ni wale ambao hawachukui CL.

Sasa kama ni rahisi kwanini musichukue?

Jipangeni basi na nyinyi mwakani muchukue kama munavyochukua Mickey mouse.

Hivi ile kugombania Top Four ilikuwa ina maana gani kama kombe sio bora Duniani?

Sijawahi kuona Chelsea akipumzisha wachezaji CL kwa ajili ya mechi ya EPL, But ni Mara nyingi Chelsea na timi nyengine zinapumzisha wachezaji EPL kwa ajili ya CL! Je hapo bado hujajua thamani na ugumu wa CL?
 
Mashabiki ni watu wa kusahau wanachohitaji, sema naona sarri mwenyewe ndiye anaforce kuondoka

Na ni bora wamwachie maana wakimlazimisha kubaki msimu ujao ataboronga kwa maksudi

Lazima aondoke. Mana tayari kashaona anadili na watu wasio nashukurani kabisa.
 
Wewe ulikuwa wapi kwa nini usibebe, ndio maana top 4 tu ilikuwa inawapa tabu mnaishia Europa league tu na mkifika huko mnaishia kupigwa na sevila tu na kombe mnalisikia tu

Hapa ndiyo ujue kama Liverpool mfalme wa Ulaya! Chelsea kacheza CL misimu 15 mfululizo kaangukia CL moja tu.
Liverpool baada ya kusuasua nje ya Top kacheza CL misimu miwili tu mfululizo na yote kacheza Fainali moja kapoteza na moja kabeba Ndoo ya Wanaume.

Hapo ndiyo utajuwa kiwa Liverpool ni mbabe wa Ulaya.

Msimu ujao pia CL inatua Liverpool
 
Hapa ndiyo ujue kama Liverpool mfalme wa Ulaya! Chelsea kacheza CL misimu 15 mfululizo kaangukia CL moja tu.
Liverpool baada ya kusuasua nje ya Top kacheza CL misimu miwili tu mfululizo na yote kacheza Fainali moja kapoteza na moja kabeba Ndoo ya Wanaume.

Hapo ndiyo utajuwa kiwa Liverpool ni mbabe wa Ulaya.

Msimu ujao pia CL inatua Liverpool
Ha ha haaa,wameshiriki misimu 15? daah kweli Uefa ni ya wanaume tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom