Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Two of them are Chelsea's rejectors, One relegated from Hull City.
But both they Won CL

View attachment 1116211

Hii ndiyo raha ya kuichezea Liverpool
kitu kingine sturredge hajaona kipya hapo amechukua champions league na Chelsea kiufupi kawazidi wachezaji wengine wote wa Liverpool, maana kaanzia team ya kibabe inayochukua vikombe akiwa Chelsea kachukua epl europa euefa muongezeeni club bingwa dunia mtamuongezea kitu
 
Nyinyi msimu ujao mjiandae na relagation battle! Ukitaka kujua hilo toa goal+assist za hazard msimu huu halafu angalia mtakua wapi
Aliondoka lampard na bado tukadunda, itakuwa hazard?

Hazard ni mchezaji mzuri ila watakuja wazuri pia kama yeye au zaidi ya yeye
 
Uw
Hivi unadhani Pulisic angelikuwa mchezaji wa kiwango hicho Chelsea mungelimkutia Dortmund? Bayern wamuangalie tu?

Hata Klopp kumtaka Kote aliishia kueka dau £16m tu! Na Dortmund walipozikataa basi nayeye hakuongeza dau Bali aliachananae! Sasa mchezaji mwenye kuweza kuziba pengo la Hazard anfikishwa £16m?
Tena anaishia kuchukuliwa na Chelsea bila ya upinzani wowote?
Acha kujidanganya Pulisic ni wa kawaida tu.

Uwe unafikiri wakati mwingine, Hazard tulimkuta Baselona/madrid au Psg??

Neymar alikua ulaya wakati anatua Basa??
 
kitu kingine sturredge hajaona kipya hapo amechukua champions league na Chelsea kiufupi kawazidi wachezaji wengine wote wa Liverpool, maana kaanzia team ya kibabe inayochukua vikombe akiwa Chelsea kachukua epl europa euefa muongezeeni club bingwa dunia mtamuongezea kitu

Je kawazidi wa Chelsea wangapi kwa CL wakiwemo Hazard na Joginho?
 
Aliondoka lampard na bado tukadunda, itakuwa hazard?

Hazard ni mchezaji mzuri ila watakuja wazuri pia kama yeye au zaidi ya yeye

Unanikubusha pale Washabiki wa Real waliposema Kuwa Kuondoka kwa Ronaldo hakutaathiri chochote Bali timu itaboreka.
 
Unanikubusha pale Washabiki wa Real waliposema Kuwa Kuondoka kwa Ronaldo hakutaathiri chochote Bali timu itaboreka.
Madrid kila MTU anajua ilimtegemea sana ronaldo

Chelsea haijajengwa kwenye mfumo wa kumtegemea mtu Bali kila mmoja awajibike.

Ni kama messi akiondoka barca, ni lazima barca iyumbe tu kwa sababu mfumo wao unamtegemea messi zaidi
 
Kubeba Kombe baada ya kila miaka 10 ni bora kuliko kubeba Mickey Mouse cups zenu kila siku
Ukishapitwa na wakati utajitetea sana na team yenu yenye mafanikio ya youtube,mkisheherekea ubingwa leo mtarudi baada ya miaka 10 si ajabu EPL itabadilishwa jina mtatoka patupu
 
Ukishapitwa na wakati utajitetea sana na team yenu yenye mafanikio ya youtube,mkisheherekea ubingwa leo mtarudi baada ya miaka 10 si ajabu EPL itabadilishwa jina mtatoka patupu
haha hili tusi mkuu.
 
Hatutegemei makubwa mwakani, tukifight tukabaki top 4 na kushinda vikombe vidogo vidogo itasaidia kutupitisha kwenye ban hadi msimu wa 2020/21

"Loss of Hazard, Maurizio Sarri, together with a transfer ban, means any new coach may need more time than the club have previously been willing to grant their head coaches"

Kama eden kimario alivyosema, ni Messi tu anaweza kuziba immediately nafasi atakayoiacha Hazard, Pulisic anaweza akaiziba nafasi hiyo baada ya misimu mitatu hadi minne kama career yake itafanikiwa Chelsea na kama atakuwa chini ya kocha mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom