lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,694
- 25,910
Wzungu wana msemo uitwaKatika hayo 16 basi 10+ ni Mickey Mouse Cup ambazo kwa Bongo tunaita Makombe ya Mbuzi.
Endelea kujisifia.
Mimi kwenye Miaka 15 nimebeba Makombe Mawili tu ambayo ni la Wababe wa Ulaya UCL mwaka 2005 na 2019.
Lakini ni bora kuliko 15 vyako out of 16.
"Something is better than nothing"
Chelsea ktk miaka 15 wana
EPL = 5
UCL = 1
Europa = 2
Total = 8 (Very challenging titles)
Mickeymouse cups = 8???
Liverpool nyie mnazo ngapi in 15 yrs
UCL = 2
The rest = 0 including Mickeymouse