Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Katika hayo 16 basi 10+ ni Mickey Mouse Cup ambazo kwa Bongo tunaita Makombe ya Mbuzi.
Endelea kujisifia.
Mimi kwenye Miaka 15 nimebeba Makombe Mawili tu ambayo ni la Wababe wa Ulaya UCL mwaka 2005 na 2019.
Lakini ni bora kuliko 15 vyako out of 16.
Wzungu wana msemo uitwa
"Something is better than nothing"
Chelsea ktk miaka 15 wana
EPL = 5
UCL = 1
Europa = 2
Total = 8 (Very challenging titles)
Mickeymouse cups = 8???
Liverpool nyie mnazo ngapi in 15 yrs
UCL = 2
The rest = 0 including Mickeymouse
 
Hapa ndiyo ujue kama Liverpool mfalme wa Ulaya! Chelsea kacheza CL misimu 15 mfululizo kaangukia CL moja tu.
Liverpool baada ya kusuasua nje ya Top kacheza CL misimu miwili tu mfululizo na yote kacheza Fainali moja kapoteza na moja kabeba Ndoo ya Wanaume.

Hapo ndiyo utajuwa kiwa Liverpool ni mbabe wa Ulaya.

Msimu ujao pia CL inatua Liverpool
Total jealousy at work
 
Acha dharau mkuu hivi kuna kombe linaheshimika kama FA cup hapa duniani? Hii ni michuano ya kwanza kabisa kuanzishwa duniani.

Kama ujuavyo waingereza ndio waliuvumbua mpira wa miguu
Ha ha haa, FA tena?
 
Hapa ndiyo ujue kama Liverpool mfalme wa Ulaya! Chelsea kacheza CL misimu 15 mfululizo kaangukia CL moja tu.
Liverpool baada ya kusuasua nje ya Top kacheza CL misimu miwili tu mfululizo na yote kacheza Fainali moja kapoteza na moja kabeba Ndoo ya Wanaume.

Hapo ndiyo utajuwa kiwa Liverpool ni mbabe wa Ulaya.

Msimu ujao pia CL inatua Liverpool
Mkuu unatakiwa uongee na watu wa real Madrid na ac Milan tu ,hawa sio level ya Liverpool.
 
Wanamtaja sana huyu kwamba ndie chaguo la board ya Chelsea kuchukua nafasi ya Sarri
Javi Gracia - Watford Manager
 
Sasa Kama CL ni ubwete kwanini usibebe japo Mara 2?

Kwanini Velverde mwenye uhakika wa kuchukua La Liga katimuliwa baada ya kusuasua CL?

Haya mawazo ya Baadhi ya washabiki wa Chelsea ya kujifanya eti EPL ni bora kuliko CL ni loser mentality.

Wengi wanaosema CL kichukua ni rahisi kuliko ligi kuu ni wale ambao hawachukui CL.

Sasa kama ni rahisi kwanini musichukue?

Jipangeni basi na nyinyi mwakani muchukue kama munavyochukua Mickey mouse.

Hivi ile kugombania Top Four ilikuwa ina maana gani kama kombe sio bora Duniani?

Sijawahi kuona Chelsea akipumzisha wachezaji CL kwa ajili ya mechi ya EPL, But ni Mara nyingi Chelsea na timi nyengine zinapumzisha wachezaji EPL kwa ajili ya CL! Je hapo bado hujajua thamani na ugumu wa CL?
We usiifananishe laliga na EPL bado sana kwa laliga kuifikia EPL

Laliga inazidiwa hata na bundasligi ya ujerumani!!

Uefa ni Bahati pia ndio maana sisi mwaka 2008 lilituponyoka mbele ya man u baada ya terry kukosa penalty ya mwisho
 
Hapa ndiyo ujue kama Liverpool mfalme wa Ulaya! Chelsea kacheza CL misimu 15 mfululizo kaangukia CL moja tu.
Liverpool baada ya kusuasua nje ya Top kacheza CL misimu miwili tu mfululizo na yote kacheza Fainali moja kapoteza na moja kabeba Ndoo ya Wanaume.

Hapo ndiyo utajuwa kiwa Liverpool ni mbabe wa Ulaya.

Msimu ujao pia CL inatua Liverpool
Liverpool mbabe wa ulaya kwa lipi wewe, kama ni hilo kombe basi heshima kwa real Madrid na sio Liverpool
 
Hapa ndiyo ujue kama Liverpool mfalme wa Ulaya! Chelsea kacheza CL misimu 15 mfululizo kaangukia CL moja tu.
Liverpool baada ya kusuasua nje ya Top kacheza CL misimu miwili tu mfululizo na yote kacheza Fainali moja kapoteza na moja kabeba Ndoo ya Wanaume.

Hapo ndiyo utajuwa kiwa Liverpool ni mbabe wa Ulaya.

Msimu ujao pia CL inatua Liverpool
Msimu ujao Liverpool itawakera sana maana itafanya vibaya kuliko kawaida kama hamtasajili wachezaji wapya.
 
Jose Mourinho’s Championship Team for 2018/19
The currently football pundit for beIN Sports, Jose Mourinho just named his UEFA Champions League Team of the Year. Mourinho’s UCL Team of the Year has several key names missing, including that of Cristiano Ronaldo.

Goalkeeper:
  1. Alisson Becker (Liverpool)
Defenders:
  1. Andrew Robertson (Liverpool),
  2. Matthijs de Ligt (AFC Ajax),
  3. Virgil van Dijk (Liverpool),
  4. Trent Alexander-Arnold (Liverpool)
Midfielders:
  1. Donny van de Beek (AFC Ajax),
  2. Frenkie de Jong (AFC Ajax),
  3. Christian Eriksen (Tottenham Hotspur)
Forwards:
  1. Sadio Mane (Liverpool),
  2. Mohamed Salah (Liverpool),
  3. Lionel Messi (Barcelona)
 
Wzungu wana msemo uitwa
"Something is better than nothing"
Chelsea ktk miaka 15 wana
EPL = 5
UCL = 1
Europa = 2
Total = 8 (Very challenging titles)
Mickeymouse cups = 8???
Liverpool nyie mnazo ngapi in 15 yrs
UCL = 2
The rest = 0 including Mickeymouse
Achana nae mijitu ya Liverpool inajiropokea tu pasipo data kamili
 
Sasa Kama CL ni ubwete kwanini usibebe japo Mara 2?

Kwanini Velverde mwenye uhakika wa kuchukua La Liga katimuliwa baada ya kusuasua CL?

Haya mawazo ya Baadhi ya washabiki wa Chelsea ya kujifanya eti EPL ni bora kuliko CL ni loser mentality.

Wengi wanaosema CL kichukua ni rahisi kuliko ligi kuu ni wale ambao hawachukui CL.

Sasa kama ni rahisi kwanini musichukue?

Jipangeni basi na nyinyi mwakani muchukue kama munavyochukua Mickey mouse.

Hivi ile kugombania Top Four ilikuwa ina maana gani kama kombe sio bora Duniani?

Sijawahi kuona Chelsea akipumzisha wachezaji CL kwa ajili ya mechi ya EPL, But ni Mara nyingi Chelsea na timi nyengine zinapumzisha wachezaji EPL kwa ajili ya CL! Je hapo bado hujajua thamani na ugumu wa CL?
Sizitaki mbichi hizi
Kesho mkichukua EPL mtabadilisha misemo na majigambo,
Liverpool fans are surely cursed for the words of their mouths
 
2018/2019 Europa League squad of the season - Chelsea dominates

Goalkeepers:
  1. Kepa Arrizabalaga (Chelsea)
  2. Kevin Trapp (Eintracht Frankfurt),
Defenders:
  1. David Luiz (Chelsea),
  2. César Azpilicueta (Chelsea),
  3. Danny da Costa (Eintracht Frankfurt)
  4. Alex Grimaldo (Benfica),
  5. Sead Kolašinac (Arsenal),
  6. Laurent Koscielny (Arsenal),
Midfielders:
  1. Jorginho (Chelsea),
  2. N'Golo Kanté (Chelsea)
  3. Makoto Hasebe (Eintracht Frankfurt),
  4. Filip Kostić (Eintracht Frankfurt),
Forwards:
  1. Eden Hazard (Chelsea)
  2. Olivier Giroud (Chelsea),
  3. Luka Jović (Eintracht Frankfurt),
  4. João Félix (Benfica),
  5. Pedro Rodriguez (Chelsea),
  6. Pierre-Emerick Aubameyang (Arsenal),
 
Kama ban itaendelea kuwepo
Squad hiyo ya 2019/20
1117286
 
Acha kujitetea kwa kushindwa mtu anaye fail mara zote hana facts ni kutoa excuses tu,jitoeni kwenye epl, fa, carabao mshiriki uefa tu kama makombe hayana thamani
Hapa ndiyo munapoonesha upopoma wenu!! Sasa kama tunakaa miaka 10 bila ya Ubingwa kwanini musituzidi hizo CL 6 tulizonazo?

Tumebeba 2005 lakini cha kushangaza katika kipindi hicho hamukubeba hata 3 kwa timu zote za England ili mutuzidi sisi tusiojuwa makombe..

LIVERPOOL NDIYE MBABE WA ULAYA NA NDIYE MTETEZI PEKEE WA EPL LINAPOKUJA SUALA LA ULAYA
 
Nafikiri mashabiki sisi ndio tunamfukuza sarri darajani, kwa sababu hatujawahi kumuheshimu.

Ameanza kutakiwa na juve ndio tunataka abaki.

Lakini ni bora akaondoka kuliko kumlazimisha abaki maana msimu ujao anaweza kuboronga maksudi.

Kuhusu pulisic Mimi namwangalia kwa msimu mmoja tu kama nilivyompa hazard, majibu yatajitokeza tu

Anaweza kuwa mzuri mpaka tukamsahau hazard au akawa hovyo mpaka tukamkumbuka hazard.

Ni jambo la kusubiri na kuona
Kama Sarri ataondoka basi itakuwa vigumu sana kumpata tena top manager kuja darajani. Sarri is a top coach na ndani ya msimu mmoja amebadili style of play. Kama angepewe msimu mwingine mmoja basi kandanda ambayo ingepigwa darajani funs wengi wangei-admire Chelsea. Na nakuhakikishia kocha atakaye kuja hata top four Chelsea haitaingia. Kuondoka Sarri ni sawa na kuwaruhusu Tottenham na Man U waingie top four for free. Mashabiki wengi wa Chelsea are still immature. They don't know where to stand. Kazi kufuata upepo tu
 
Sarri Kageuka Wakala Kama Mwinyi Zahera Kaja Kumuuza Hazard ikisha nayeye anasepa.
 
Ku
2018/2019 Europa League squad of the season - Chelsea dominates

Goalkeepers:
  1. Kepa Arrizabalaga (Chelsea)
  2. Kevin Trapp (Eintracht Frankfurt),
Defenders:
  1. David Luiz (Chelsea),
  2. César Azpilicueta (Chelsea),
  3. Danny da Costa (Eintracht Frankfurt)
  4. Alex Grimaldo (Benfica),
  5. Sead Kolašinac (Arsenal),
  6. Laurent Koscielny (Arsenal),
Midfielders:
  1. Jorginho (Chelsea),
  2. N'Golo Kanté (Chelsea)
  3. Makoto Hasebe (Eintracht Frankfurt),
  4. Filip Kostić (Eintracht Frankfurt),
Forwards:
  1. Eden Hazard (Chelsea)
  2. Olivier Giroud (Chelsea),
  3. Luka Jović (Eintracht Frankfurt),
  4. João Félix (Benfica),
  5. Pedro Rodriguez (Chelsea),
  6. Pierre-Emerick Aubameyang (Arsenal),
Kuna wachezaji hapo nimewaona fainali tu .....halafu ndo wanaingia kikosi bora...itakuwa umepanga ww
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom