Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,191
- 21,524
Baku
Tutastruggle sana tunaenda kuanza tena upyaMaurizio Sarri Agrees To £6.1m Contract At Juventus
Kama ni kweli basi timu inarudi zero tena. No Hazard, No striker, wingers butu lazima shida iwe kubwa darajaniMaurizio Sarri Agrees To £6.1m Contract At Juventus
Haijalishi giroud yupo MTU na bahat zake huyuPoleni mashabiki wa Chelsea nasikia Kante kaumia tena mazoezin kuna possibility asicheze kwenye fainali ya europa
Anastahili kuliko woteEden hazard win "PFA Fan award" amewagaragaza kina Raheem Sterling, sadio mane ,Van diyk na bernado silvaView attachment 1109498
Hii weka kwenye dastibiniMaurizio Sarri Agrees To £6.1m Contract At Juventus
Tutamuona msimu wake wa kwanza EPL akifanikiwa tutamrudisha rasmi kuitumikia teamAbastahili kucheza EPLView attachment 1110145
Sarri mwenyewe kakiri kuwa last week alikutana na uongozi wa Juve, nimetoka kuangalia SkySport News sasa hiviHii weka kwenye dastibini
Chelsea haina mpango wa kumuachia aendelee na mkopo, aliyoyafanya yanatosha kumuweka XI hasa wakati huu hatutaweza kusajiliTutamuona msimu wake wa kwanza EPL akifanikiwa tutamrudisha rasmi kuitumikia team
Kukiri sio shida, shida ni kwamba Chelsea haina mpango wa kubadilisha mwalimu msimu huuSarri mwenyewe kakiri kuwa last week alikutana na uongozi wa Juve, nimetoka kuangalia SkySport News sasa hivi
Leta hapa hiyo newsSarri mwenyewe kakiri kuwa last week alikutana na uongozi wa Juve, nimetoka kuangalia SkySport News sasa hivi
Umeongea kama mjingaazpi hana sifa za kuwa RB ,luiz hana sifa za kuwa CB ,jorginho hana sifa za kuwa holding mf ,kante kwa position anayocheza saivi hana effect ,front 3 wale wawili wa pembeni ni mvurugano tu.. wote wanatka kuonesha wanajua kufunga n kupiga chenga.. hakun link up nzur kama front 3 ya liverpool ama MSN ile ya barca.
kwa upande wangu mimi sioni kosa la higuain lipo wapi pale yeye alimwambia tu kwa maoni yake kuwa hii game tunaenda kupigwa kipigo cha aibu na arsenal bora tusiingize timu uwanjani maana wale kina lacazette wewe huwezi kuwazuia,ndipo luiz akawakaLuiz na Higuain wametibuana kwenye mazoezi, na Sarri nae kakasirika na kuondoka uwanjani.
Jamani hii sasa kitu gani tena na siku imebaki moja tuu kucheza fainali...
Ndugu ulichokiandika hapo hata sio ushabiki bali ni kupoteza muda maana hicho kitu hata watoto wa chekechea hawawezi kufanya na kumsingizia Higuaín kasema utumbo wa namna hiyo.kwa upande wangu mimi sioni kosa la higuain lipo wapi pale yeye alimwambia tu kwa maoni yake kuwa hii game tunaenda kupigwa kipigo cha aibu na arsenal bora tusiingize timu uwanjani maana wale kina lacazette wewe huwezi kuwazuia,ndipo luiz akawaka
kwa upande wangu mimi sioni kosa la higuain lipo wapi pale yeye alimwambia tu kwa maoni yake kuwa hii game tunaenda kupigwa kipigo cha aibu na arsenal bora tusiingize timu uwanjani maana wale kina lacazette wewe huwezi kuwazuia,ndipo luiz akawaka