Mkuu Southern hizo ni offensive stats, vip kwa upande wa defensive, maana mabeki huwa tunawajude zaidi katika majukumu yao ya kukaba kulilo kushambulia
Nenda youtube ka search video ya Zuma 2018/19, hiyo itatosha kumjua Zuma kwenye defensive aspects
 
Mi napingana na wewe kabisa, Chelsea itagombea ubingwa labda tu ikose Bahati, ila sio kisa tumefungiwa kusajili ndio tushindwe kubeba au kugombania EPL

Tuna wachezaji wanaoweza kuifanya hiyo kazi vizuri tu

Shida ya Chelsea ni mabeki kutoifanya kazi yao vizuri na washambuliaji pia kushindwa kutimiza majukumu yao.

Kama haya matatizo mawili watayarekebisha kwa hawa hawa wachezaji tulio nao ubingwa tutagombea vizuri tu
Keep dreaming, usiku na mchana ndoto saa nyingine zinafariji
 
Madrid huyo.

Unajua kuna washabiki wa timu za EPL walikimbilia Barca na Madrid, sasa hivi baada ya EPL kurudi kuishika EUROPE wanatafuta jinsi ya kurudi.

Ukienda kwenye threads zao kule wamekimbia, ndiyo hawa sasa hivi wanatangatanga.
Warudi man city ndio haina mashabiki wengi
 
Chelsea want Kurt Zouma back
Mashabiki wanashauri acheze na Rudger

Maoni
Zouma’s got a lot going for him – he’s fast AND strong, which is pretty invaluable in a defender – but has also got clear shortcomings, such as an odd difficulty judging the flight of aerial balls, and mediocre technical ability (even if he’s improved). Christensen isn’t especially strong for a centre-back and not especially fast, but he is very perceptive and reads the game fantastically. Zouma’s physical talents are nothing to be sniffed at, but Christensen’s intelligence is a rare and extremely valuable quality. Intelligence can compensate for physical shortcomings – think of Carvalho, or Paolo Maldini’s reputation for being a defender who never needed to tackle – whereas physical strength can never compensate for mental shortcomings. Zouma’s perfectly capable on the mental front, but doesn’t have the natural awareness that Christensen has. I like them both and hope to have them at the Bridge next season, but my preferred starting CBs would be Rudiger and Christensen.
 
Fans proposal if Ban not delayed and Hazard Leaves Chelsea
GK : Kepa Willy Academy
RB : Azpi and Reece
CB : David Luiz, Rudi, Andrease Christiansen, Kurt Zouma
LB : Marco Alonso and Emerson
CM : Jorginho, Kante, Ampadu (?) Barkley
RLC Mount (?)
Wingers : Willian, Pedro,
CHO, Pulisic
Strikers: Giroud Bats Tammy
 
Mashabiki zaidi ya 160,000 walipoulizwa kwenye poll ya AS.com kwamba wanafikiri ni usajili upi muafaka kwa timu msimu huu wa kiangazi matokeo yalikuwa hivi:

1. Eden Hazard - (53,700 votes)
34%
2. Luka Jovic - (34,700)
22%
3. Christian Eriksen - (25,300)
16%
4. Neymar da Silva - (16,900)
11%
5. Tanguy Ndombélé - (16,400)
10%
6. Paul Pogba 11% votes - (13,800)
9%
 
Warudi man city ndio haina mashabiki wengi

Waite Baba City, Mana si kwa makwaju anyorusha.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
We una shida
Wachezaji woote wanaotakiwa nna Man city, Barca, RM ni wazuri pekee yao, ingekuwa hivyo wasingekuwa na pakuwaweka. Toka Enzi za akina Pele, Maradon na hadi leo, wachezaji wazuri wapo tu na wote hawaenei kwenye few rich clubs. Mimi naona hayo ni mawazo na mtizamo finyu juu ya ubora wa wachezaji. Barca, Real na timu nyingine Tajiri zimeishia kuchukua wachezaji wa kawaida au kuwa na interest na wachezaji wa kawaida sana ni wewe tu ndie huoni kwa sababu sijui wewe ni Real Madrid au Juve. Una chuki binafsi na baadhi ya wachezaji wa Chelsea, Sorry mkuu

Mkuu Timu Bora zinasajili wachezaji Bora. Zouma si World Class Player. ni average player wakucheza timu za middle table.
 
Hizo timu unazozidharau zinacheza Europa League final tar 29. Huyo Chelsea kaingia fainal ya Carabao cup pia kamaliza ligi nafasi ya 3. So usichukulie poa.

Hapa chini nimekuwekea takwimu za Zouma na mmoja kati ya mabeki bora msimu huu ulioisha. Zingatia Zouma ametoka majeruhi pia angalia na mechi alizocheza.View attachment 1107267

Huyu Zouma kama angekuepo City angelikua anasaidia kuokota mipira mazoezini. Lakini si kucheza uwanjani.
 
Back
Top Bottom