Wachezaji wa Championship kibao wanawaniwa na timu za EPL nyie sijui mna matatizo gani.? Daniel James wa Swansea anawaniwa na Man Utd, Tammy zipo ofa kibao moja ni ya Everton. Wanachokiona kwa hawa wachezaji sijui nyie ni kina nani hamkioni? Championship mnaichukuliaje wazee!!
Hivi hamjui kinachomjenga mchezaji ni pamoja na kupata playing time ya kutosha na ndio maana wanapelekwa kwa mkopo.!! Mnaenelewa hata maana ya Field kwa wanafunzi, faida zake labda?
Mnisamehe najaribu kutafuta namna nzuri kuwaelezea mkanielewa.
Mkuu Everton sio Chelsea, Chelsea wanataka kushindana Ubingwa wa EPL pamoja na Champion League, Kwaiyo ili ucompete Big unahitaji Big Players nasio small fishes. Weye nani unaemjua katokea Championship halafu kawa Super star katika kipindi cha miaka 10 hii? Jimmy Vardy anatengenezewa filamu ujue kama sio jambo lakawaida kabisa.