Wewe mkenya umeelewaje hapo.? Unadhani nafasi gani nazungumzia
Chelsea hawataweza kamwe kuingia kwenye race za ubingwa ikiwa na foward kama Batshuayi
Wewe mkenya umeelewaje hapo.? Unadhani nafasi gani nazungumzia
Chelsea hawataweza kamwe kuingia kwenye race za ubingwa ikiwa na foward kama Batshuayi
Kama ungepewa wewe nafasi ungetuletea striker gan pale?
Chelsea walifanya kosa kubwa pale walipoacha kumsajili Piatek wakenda kujitwisha mzigo Higuain. Piatek ni wold class striker, Hivi sasa kumtoa pale Milan utahitaji sichini ya 70m.
Piatek, Ciro Immobile, Belotti, Milik. Na hata Cavani bado risk nzuri unayoweza kufanya.
Ila kwa Batshuayi ni garasa ambalo litaendelea kutia machungu ya pesa walizopigwa kipindi cha walipouziwa.
Kumbe huelewi hata nilichokua naongelea. Hao wachezaji ulowaja ni wachezaji wa Chelsea walio kwa mkopo.? Unawasajili vip na kifungo chetu hiki.? Mistake ishafanyika sa ivi tunaangalia mbele mkuu.
Tofauti ni kwamba batshuay ni mzoefu, ila Tammy bado hana uzoefu kwenye team kubwaEden kwa Tammy Abraham umekosea, mimi Nampa credits Tammy over Batshuayi
Chelsea haina muda wa kujenga team, wachezaji waliopo ni kuwaunganisha tu na kuchukua makombe.board ya Chelsea inakosa uvumilivu wenyewe wanawaza tu kushinda makombe, hawajui kocha na yeye anatakiwa apewe muda wa kujenga timu
Anarudi kushindana na waliopo mkuuChelsea hawataweza kamwe kuingia kwenye race za ubingwa ikiwa na foward kama Batshuayi
Anarudi kushindana na waliopo mkuu
Maana mpaka sasa strikers wote siwaelewi sio higuain, wala giroud
Chelsea haina muda wa kujenga team, wachezaji waliopo ni kuwaunganisha tu na kuchukua makombe.
Kutimua makocha ni sawa kwa sababu tuna wachezaji wa viwango vya dunia Ila msimu huu tumwache sarri kwanza tutamfukuza msimu ujao kama akiboronga.
Kwa sasa tutamuonea bure Sari ball
Mkuu usajili wowote ni kamari hujui kama utatick au la.Mimi nimejibu swali lako tu mkuu kwa ulivyouliza.
Ila kwa hali ya mazingira ilvyo, ikiwa option ya kuendelea na Higuain itawezekana basi itakua ni bora zaidi mara 10 kuliko kwa Batshuayi.
Ila kwa Batshuayi basi waanze kujiandaa na nafasi ya sita.
Mkuu usajili wowote ni kamari hujui kama utatick au la.
Batshuayi ana uzoefu wa kutofunga, kjwa umri alionao Batshuayi hana tena bars za kukua ni mchezaji wa kaliba ya goli 6-8 per 38 appearances akizidi sana goli 10. ANgekwua winger ingekuwa afadhali kwa sababu tutamcredit kwa crosi anazotoa kama akina Willian. Lakini yeye ni pure striker kama Higuani na Giroud. of course ningeulizwa Batshuayi over Higuaín au Giroud ningeenda for Batshuayi, ila Batshuayi over Tammy Abrahama no no, youngster na rekodi ya magoli 26, muwe mnaangalia na YouTube skills na uwezo wa huyo dogo. Chelsea ni afadhali wamuachie Odoi aende maana tuna winger wengi kuliko kumuachia Tammy. Chelsea wasipomchukua ataomba kusepa na tutakuja kujuta kama akina MO SalahTofauti ni kwamba batshuay ni mzoefu, ila Tammy bado hana uzoefu kwenye team kubwa
Mkuu amini kuna watu mpira wanaangalia vijiweni na highlights YouTube. Vitu vingine vipo wazi vinajieleza sijui hawaoni.Batshuayi ana uzoefu wa kutofunga, kjwa umri alionao Batshuayi hana tena bars za kukua ni mchezaji wa kaliba ya goli 6-8 per 38 appearances akizidi sana goli 10. ANgekwua winger ingekuwa afadhali kwa sababu tutamcredit kwa crosi anazotoa kama akina Willian. Lakini yeye ni pure striker kama Higuani na Giroud. of course ningeulizwa Batshuayi over Higuaín au Giroud ningeenda for Batshuayi, ila Batshuayi over Tammy Abrahama no no, youngster na rekodi ya magoli 26, muwe mnaangalia na YouTube skills na uwezo wa huyo dogo. Chelsea ni afadhali wamuachie Odoi aende maana tuna winger wengi kuliko kumuachia Tammy. Chelsea wasipomchukua ataomba kusepa na tutakuja kujuta kama akina MO Salah
Tammy ana sifa zote za ustriker
Open chances goals
Lose balls goals
Header goals
Available to place when needed - anakuwepo kwenye position ya kufunga anapohitajika tofauti na hawa wazee akina Higuaín na Giroud hata Batshuyai hana hizi sifa zote, nimeweka link ya magoli yote 26 alizofunga Aston Villa
Nashukuru mungu nafuatilia mpira kwa upana sana. Labda Bakayoko we umemjua aliposajiliwa Chelsea. Halafu umesema Atl Madrid na Borrusia ni timu gani.?Nakubaliana naweye Lakini na utaalamu pia upo ndani yake, na kukurupuka pia kupo ndani yake. Man City walipomsajili Bernad Silva huku Chelsea wakimrukia Bakayoko ule ndio uhalisia wa kua Nani anajielewa nani hajielewa. Timu nyingi zinafeli kwenye usajili wa kukurupuka. Infact timu za Kiingereza kinachowaweka active kwenye mapambano Ulaya ni fedha tu hakuna jengine, Lakini kiusajili always wanakua failure.
Usajili makini ni jambo muhimu sana kwenye timu na ndio mana timu kama Atletico Madrid na Borrusia Dortmand licha ya kua na uwezo wa chini wa kifedha kuliko timu nyingi Ulya waliweza pata mafanikio mazuri tu kimpira miaka ya karibuni kwa sababu ya usajili makini.
Umekurupuka sanaaaaaaPep tusahau, Pochettino 50/50 kwa Conte nahisi ndio haiwezekani kwa sababu ya kisanga kilichotokea wakati wake. Hapo wanaotajwa sana ni Tuchel na Lamps ambapo kwa Lampard naona bado ni mapema sana.
Kama Sarri ataamua kuondoka japo keshasema ana mapenzi na London basi naona Tuchel ndio atafaa.
Hata mimi nili overlook case ya Bakayoko na nilibase na taarifa za zamani.Mkuu Milan haimuhitaji Bakayoko, tayari kasharuhusiwa kuondoka kwa amani tu
Kipaji kipo aisei..Batshuayi ana uzoefu wa kutofunga, kjwa umri alionao Batshuayi hana tena bars za kukua ni mchezaji wa kaliba ya goli 6-8 per 38 appearances akizidi sana goli 10. ANgekwua winger ingekuwa afadhali kwa sababu tutamcredit kwa crosi anazotoa kama akina Willian. Lakini yeye ni pure striker kama Higuani na Giroud. of course ningeulizwa Batshuayi over Higuaín au Giroud ningeenda for Batshuayi, ila Batshuayi over Tammy Abrahama no no, youngster na rekodi ya magoli 26, muwe mnaangalia na YouTube skills na uwezo wa huyo dogo. Chelsea ni afadhali wamuachie Odoi aende maana tuna winger wengi kuliko kumuachia Tammy. Chelsea wasipomchukua ataomba kusepa na tutakuja kujuta kama akina MO Salah
Tammy ana sifa zote za ustriker
Open chances goals
Lose balls goals
Header goals
Available to place when needed - anakuwepo kwenye position ya kufunga anapohitajika tofauti na hawa wazee akina Higuaín na Giroud hata Batshuyai hana hizi sifa zote, nimeweka link ya magoli yote 26 alizofunga Aston Villa
Umekurupuka sanaaaaaa