Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1104592
 
Cristiano Ronaldo anamtaka MOU awe kocha mpya wa Juve kwa sababu yeye ni Serial Winner tofauti na Sarri
1104597
 
Hawezi yule mkuu
Ndugu Radika, hiyo signature yako uiboreshe huwezi kuwa Fan of Man United Fans other wise mimi ndio sikukuelewa. Ni sawasawa na useme Barabara ya Morogoro Road
 
Yaani wachezaji wote wangekuwa kama Kante tungekuwa tunachukua trophy after trophies and back to back EPL titles
N'Golo Kante has handed Chelsea a massive injury boost after returning to trainingahead of their Europa League final. The courageous Kante joined Chelseatraining session on Monday, May 20, ahead of set date as he recuperates from a hamstring strain, with the trip to Baku for the finale of his season.
 
Hii ya Petr Cech kuwa Sport Director naona imepangwa na Chelsea kama mind games ili kuwaconfuse Arsenal tar 29
Hata mimi naanza kuunga mkono kuwa ni mind games kutoka kambi ya Chelsea na inaweza kuwa imetungwa na mashabiki wa Chelsea au waandishi wa habari wa upande wa Chelsea.
Sasa washabiki wa Arsenal wanampa pressure Unai Emery amteme Cech tar 29 badala yake wamuweke Bernd Leno
 
Europa League Final - Injuries updates
Arsenal
  1. Aaron Ramsey (hamstring),
  2. Denis Suarez (groin),
  3. Henrikh Mkhitaryan - The 30-year-old Armenian will miss the showpiece final against Chelsea in Azerbaijan after the club revealed he would not make the trip on safety grounds.
Chelsea
  1. Antonio Rudiger - Knee injury
  2. Callum Hudson-Odoi - Achilles
  3. Ruben Loftus-Cheek - Achilles
 
Sari out, Conte back
Conte hawezi kurudi aliishtaki timu mahakamani madai ya Euro 10.3M na mahakama imeiamuru Chelsea kulipa hiyo pesa kwa hiyo hiyo possibility ondoa. Anayetarajiwa kuingia Stanford Bridge iwapo Sarri ataondoka kwenda Juve ni Massimiliano Alegri au Frank Lampard. Chelsea wanachosubiri ni Juve kununua mktaba wa Sarri uliobaki wa Paundi milioni 5
 
Giroud ni mnufaika mmojawapo wa transfer ban.
Kuna uwezekano mkubwa wa Kovacic na Higuaín kusajiliwa au kuongezewa mkataba kama hii bana itaendelea kuwepo
Pia hii ban ni habari njema kwa youngsters kama akina Reece, Tammy Abraham na wenzake
Na ndio maana Chelsea wamekawia kupeleka appeal yao kwa CAS, nadhani wanapima kama ipi option ina manufaa kwa timu. Option ya kusajili upya au ya kutumia rasilimali iliypopo.
Kama hii ban isingekuwepo, Giroud, Higuaín wasingeongezewa mkataba
 
Rasilimali za Chelsea zilizo tayari hizi hapa
  1. Reece James – Wigan Athletic -20-year-old play as RB
  2. Ola Aina – Torino - 22-year-old play as RB
  3. Kurt Zouma – Everton - The 24-year-old play as CB kama huamini angalia hapa https://www.youtube.com/watch?v=KIq5mVQsEMs
  4. Christian Pulisic – Borussia Dortmund - 20-year-old play as LW
  5. Tammy Abraham – Aston Villa -21-year-old play as striker
  6. Mason Mount – Derby County - 20-year-old play asMidfield
 
Sari sasa mzee wa kutoka kapa kasababisha jirudi atoke kapa na arsenal anawanyuka
Hahahaha hahaha radika mzee babaaaa umefufukaaaa ..kweli Mungu ni wetu sote ..karibu tena mkuu. Naona Ole kafuata kabisa maana ya jina lake ..yani "Ole" ..Ole wenu ninyi fan wa manure, mutapata tabu sana ..yani kawaacha pale pale alipowaacha Mou hahaaha ...
 
Naona fans wengi wa Liverpool na Manure wanaungana kwa kasi kuishabikia Arsenyeto EL final. Tar 29 tujiandae shughuli tunayo hasa kama tutapoteza.

Tuendelee kuipigania timu yetu.
Ni kweli mkuu, unajua Chelsea inachukiwa sana maana kila msimu huwa tunafanya kinyume na matarajio ya wengi. Mfn msimu huu uloisha kwenye top four tulitolewa, nafasi ya kubeba kombe ndo kabisa haikuwepo kwetu...
 
Giroud ni mnufaika mmojawapo wa transfer ban.
Kuna uwezekano mkubwa wa Kovacic na Higuaín kusajiliwa au kuongezewa mkataba kama hii bana itaendelea kuwepo
Pia hii ban ni habari njema kwa youngsters kama akina Reece, Tammy Abraham na wenzake
Na ndio maana Chelsea wamekawia kupeleka appeal yao kwa CAS, nadhani wanapima kama ipi option ina manufaa kwa timu. Option ya kusajili upya au ya kutumia rasilimali iliypopo.
Kama hii ban isingekuwepo, Giroud, Higuaín wasingeongezewa mkataba
Kwani Higuain kaongezwa mkataba.? Pamoja na hivyo nadhani hatufai huyu jamaa. Tuwape nafasi kina Tammy na Batshuayi.
 
Rasilimali za Chelsea zilizo tayari hizi hapa
  1. Reece James – Wigan Athletic -20-year-old play as RB
  2. Ola Aina – Torino - 22-year-old play as RB
  3. Kurt Zouma – Everton - The 24-year-old play as CB kama huamini angalia hapa https://www.youtube.com/watch?v=KIq5mVQsEMs
  4. Christian Pulisic – Borussia Dortmund - 20-year-old play as LW
  5. Tammy Abraham – Aston Villa -21-year-old play as striker
  6. Mason Mount – Derby County - 20-year-old play asMidfield
Haujawataja Batshuayi, Tomori na Bakayoko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom