The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,433
Unajiridhisha vibaya sana mkuu. Ok haina shida!!Tarehe 29/5/2019 Chelsea itavaana na Arsenal katika finally za Europa league msimu huu nini kitatokea???View attachment 1103328
Unajiridhisha vibaya sana mkuu. Ok haina shida!!Tarehe 29/5/2019 Chelsea itavaana na Arsenal katika finally za Europa league msimu huu nini kitatokea???View attachment 1103328
Kila mtu ana uhuru na haki ya kutoa maoni yake kwa kile anachowaza na kuona ni sahihi. Kwa hiyo tunaheshimu mawazo yenu sana.Kati ya Timu ambayo ni innocuous kweny competetion ya Uefa ni Chelsea!!
Mkuu yani hapo umewatukana Chelsea tusi kubwa sana! innocuous????
Harmless?
Inoffensive?
Toothless tiger?
Headless chicken?
Legless tiger?
Hizo ni baazi ya tafsiri za tusi lako.. Kwa kiswahili tunasema Haina Madhara... Namuona Arsenal akichukuwa kombe kiboyaboya.
Watu wa Liverpool bana, yaani umesahau ya kwako na Tottenham unafata ya Chelsea vs arsenal
Jezi namba ngapi apewe huyu jamaaView attachment 1103330
Mkifungwa mnaanza kumlalamikia klopSitaki tuanze 1980 utasema Nazungumzia Historia, Nataka tuanzie katika Kipindi cha Misimu 5 tu iliyopita Spurs kamfunga Liverpool Mara ngapi? Na yeye Kafungwa Marangapi Home and Away?
Yule ni mteja wetu wa Kudumu sasa wasiwasi nimtilie kwa kitu gani?
Sasa sifa gani nimempa, kusema tu apewe jezi namba ngapi ni sifaa?Endeleeni Kumpa misifa tu lakini subirini Msimu uanze tuone mutakavyobadilisha maneno
Khe khe khe khe khe khe. Ana manyota ya kubeba makombe .Giroud bado anatufaa sana mkuu. Jamaa afungi lakin uwepo wake ni muhimu ..kwanza ana nyota ya kubeba makombe..
Mawazo yako yanafanana na ya kwangu mkuu.Bado magoli 2 kutoka kwako siku ya finally za Europa league au assist ya goal
Baada ya hapo nitakuaga kwa furaha kubwa na nitaendelea kuwa shabiki wako popote ulipo View attachment 1098171
Usiof mkuu...sitokuangushaBado magoli 2 kutoka kwako siku ya finally za Europa league au assist ya goal
Baada ya hapo nitakuaga kwa furaha kubwa na nitaendelea kuwa shabiki wako popote ulipo View attachment 1098171
Wajina habari ya siku nyingiUsiof mkuu...sitokuangusha
Mkuu yani hapo umewatukana Chelsea tusi kubwa sana! innocuous????
Harmless?
Inoffensive?
Toothless tiger?
Headless chicken?
Legless tiger?
Hizo ni baazi ya tafsiri za tusi lako.. Kwa kiswahili tunasema Haina Madhara... Namuona Arsenal akichukuwa kombe kiboyaboya.
Exactly!! Hii team Arsenal hana presha hata kidogo!!
Nani anayevunjiwa heshima hapa hebu kuwa wazi,ili tukupe heko au tukuzodoeNiamini Mimi kumfananisha Pulisic na asensio ni kumkosea heshima
Sarri aende wapi wewe, tulizana tuko nae msimu ujao haendi kokoteSari out, Conte back
Kwa kiwango unamvunjia heshima pulisicNani anayevunjiwa heshima hapa hebu kuwa wazi,ili tukupe heko au tukuzodoe