Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,191
- 21,524
Daah ni hatari hiyo. Akikosekana msimu mzima ni hatari kwa kiwango chake.Taarifa rasmi badonafikiri na wanasema anaweza kwenda msimu mzima, 12 months akitibu majeraha
Daah ni hatari hiyo. Akikosekana msimu mzima ni hatari kwa kiwango chake.Taarifa rasmi badonafikiri na wanasema anaweza kwenda msimu mzima, 12 months akitibu majeraha
Yaqezekana hata baadhi ya mashabiki wa Madrid waliamini Asensio, Mariano au Vinicius wanaweza kuziba pengo la Ronaldo lakini ni nini kilichotokea. Wamejitahidi lakini kazi sana kuziba pengo la mtu.Chelsea haitaangaika kuondoka kwa hazard, namwamini sana Pulisic
Niamini Mimi kumfananisha Pulisic na asensio ni kumkosea heshimaYaqezekana hata baadhi ya mashabiki wa Madrid waliamini Asensio, Mariano au Vinicius wanaweza kuziba pengo la Ronaldo lakini ni nini kilichotokea. Wamejitahidi lakini kazi sana kuziba pengo la mtu.
Pulisic bado anakua lazima kuna vitu anakosa hawezi kuingia moja kwa moja kuziba pengo. Anahitaji muda kuprove what he can do to give his best for the club. He is 20 now lets expect at least after the ban has expired. Yaan baada ya msimu ujao ndio tunaweza kupata matunda yake. Otherwise tutatoa lawama kama tulizompa Jorginho.
Niamini Mimi kumfananisha Pulisic na asensio ni kumkosea heshima
Pulisic ni winger wa kawaida bado hajafikia kiwango cha kum-replace Hazard kwa wakati huu, Njia nzuri ya luziba pengo la Hazard ni kuiunda timu iwe na chemistry nzuri. Ila kama approach ni kuziba pengo la Hazard haitawezekana. Ndio maana Zinedine Zidane kaamua kuunda timu upya ili kufukia pengo al CR7Niamini Mimi kumfananisha Pulisic na asensio ni kumkosea heshima
Jamani tusiwe kama hatujui mpira, hata mbuyu ulianza kama mchicha.Pulisic ni winger wa kawaida bado hajafikia kiwango cha kum-replace Hazard kwa wakati huu, Njia nzuri ya luziba pengo la Hazard ni kuiunda timu iwe na chemistry nzuri. Ila kama approach ni kuziba pengo la Hazard haitawezekana. Ndio maana Zinedine Zidane kaamua kuunda timu upya ili kufukia pengo al CR7
Na ndio maana nikaserma kwa wakati huu badoJamani tusiwe kama hatujui mpira, hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Hata hazard alipokuwa anaingia Chelsea hakuwa kama alivyo Leo
Ila nilimwamini mapema kutokana na style yake ya kucheza
Hata Pulisic Nina imani naye ataingia kwenye team na kuanza kuonyesha kile alichonacho
Kwani huko Baku hakuna fans wa Chelsea na Arsenal? Wataujaza uwanja tuChangamoto za Fainali ya Europa Legue 29 May 2019, Baku
Arsenal VS Chelsea
Nusu ya tiketi 12,000 walizopewa Arsenal an Chelsea zarudishwa kwa sababu ya ugumu wa mashabiki kufika Baku. Kocha wa Arsenal alilalamikia uamuzi mbaya wa kupanga fainali za Europa kufanyikia Baku na matokeo yake ndio haya.
Kwanza mwanzoni walilalamikia tiketi ni chache, uwanja una uwezo wa kubeba watu 69,000, Arsenal walipewa 6,000 na Chelsea 6,000. Sasa wamerudisha tiketi 6,000 kwa kukosa wateja, na sababu kuu watu wanaona ni ngumu kufika Baku. Kwa ndege inachukua masaa mawili kufika huko na unaweza ukakosa ndege kwa sababu ni Baku ni mji usio maarufu
Sio kila mchezaji anayefanya vizuri sehemu anafiti kuchezea Chelsea mkuu, mfumo wetu ni tofauti kabisaKama tungekua tunafanya usajili kwangu ningependekeza huyu dogo awe wa kwanza kusajiliwa maana siyo kwa moto wake. Ni attacking midfield mostly no 10 anacheza Beyern Leverkusen japo kwa mfumo wa Sarri unaweza kumpa shida ila anakua anasaidia kwenye kuswitch mfumo pale inapohitajika. Atasaidia sana hasa kipindi ambacho RLC kaumia.
Stats zake ndani ya msimu huu 18/19 amecheza michezo 41 mpaka leo hii amefunga magoli 19 katoa assist 7 kala kadi 2 za njano hana umeme. Hayo ni katika umri wa miaka 19.
Mpaka nawaonea wivu wanaosajiliView attachment 1101319View attachment 1101328
Sio kila mchezaji anayefanya vizuri sehemu anafiti kuchezea Chelsea mkuu, mfumo wetu ni tofauti kabisa
Mkuu kuna tofauti kubwa Sana nashabikia wa Chelsea wa Baku na wale royal fans kutokea London,Kwani huko Baku hakuna fans wa Chelsea na Arsenal? Wataujaza uwanja tu
Signing is gambling, kigezo cha kwanza cha kujua mchezaji ni mzuri ni takwimu zake, hayo mengine majaliwaSio kila mchezaji anayefanya vizuri sehemu anafiti kuchezea Chelsea mkuu, mfumo wetu ni tofauti kabisa
Stats Category | Keylor Navas | Thibaut Courtois |
Fixtures played | 21 | 35 |
Goals Conceded | 21 | 48 |
Saves | 50 | 94 |
Minutes Played | 1920 | 3150 |
Mimi nina mapenzi na Chelsea,Eden kimaro mshangiliaji wa chelsea au shabiki?