Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Toka Lin kwao hatari, je watamzuia Arsenal asipate goli ?

Maana kipind cha pili wameomba mpira uishe,halafu Valencia anacheza mpira lain sana

Mgumu ni Napoli na Frankfurt ,kama huna energy huponi,

Unataja Valencia, wanacheza Spanish football,walain sana
We jamaa hebu kuwa na akiba ya maneno. Unakujaga kukimbia jukwaa kwa sababu hizi. Mpira hautafsiriki kiivyo bhana.

We sema utaenda kupambana lakini usijihakikishie ushashinda
 
Good bye 2018/19
Welcome 2019/20

Congratulation Man City kwa EPL
Congratulation Barca/Ajax kwa UCL
Congratulation Arsenal kwa UEROPA LEAGUE


We jamaa unajua inabidi tukuweke meza ya vituko vya JF. Yan unafurahisha na kutia huruma kwa pamoja.
 
Kama kuomboleza inabid muomboleze nyie maana mlipigwa 4-0 then6-0

Tunazungumzia mech ya Jana ambayo tumeshinda 3-1

Kwa akil yako unadhan Valencia atamzuia Arsenal asiingie kamban?
Arsenal is a wonderkid. Washika mtutu sasa ni washiuka manati wasiotabirika. Waombee tu Valencia waweke gameplan isiyowork otherwise Arsenal ni timu ya kushanga dunia siku zote
 
Chelsea has surpassed the record set by Atletico Madrid in Europa League
Chelsea have managed to make history under Maurizio Sarri’s reign, the Blues are now the team with the best unbeaten record in the Europa League
 
Eintracht Frankfurt vs Chelsea Stats

Kuna mamluki mmoja kasema humu Chelsea ilizidiwa, possession haikuwepo, walitushambulia
takwimu hizo na ilikuwa nyumbani kwao je wakija Darajani. Bahati tu ilikuwa upande wao kwa sababu kama uliangalia mpira zile on target 5 nne zingezaa magoli leo hii tungekuwa tumeshinda 4-1
Giroud walikuwa wanamdaka kabisa ili asifunge na refa hakuwa anatilia maanani
1086952
 
We jamaa hebu kuwa na akiba ya maneno. Unakujaga kukimbia jukwaa kwa sababu hizi. Mpira hautafsiriki kiivyo bhana.

We sema utaenda kupambana lakini usijihakikishie ushashinda
Wewe ndio uwe na akiba ya maneno, na sikimbiagi utakuwa umenifananisha na nduguyo

Wewe si ndio uliweka dau napigwa 2-0 na Napoli? Au sio ww
 
Arsenal is a wonderkid. Washika mtutu sasa ni washiuka manati wasiotabirika. Waombee tu Valencia waweke gameplan isiyowork otherwise Arsenal ni timu ya kushanga dunia siku zote
Jifanganye,hao Valencia nadhan hata hukuwaangalia

Ila unaleta ushabiki,

Usije shangaa Jovic akawawasha hapo hapo kwenu
 
Be persemistic itakusaidia kupunguza pressure isiyo na lazima kama leceister anaweza kukufunga 3-0 unawezaje ku question integrity ya Valencia kukufunga 2-0 maneno kama haya yanasababisha watu kukuandama bila sababu matokeo yakiwa negative, hakuna Team ambayo inasema itafungwa lakini kuweka akiba kunamsaidia mshabiki this is football.
Unaona sasa unavyoongea pumba,

Mbona wewe ulikula 4-0 kwa bornamouth kwahiyo , tuseme utampiga Frankfurt ?au tuhitimishe utapigwa

Halafu unasema naandamwa, ni kina nan hao
 
Mimi kukaza lazima. Akisema aje kwangu atafute draw ya 0-0 si nakua nimetoka. Lazima nikaze asipate goli na mimi lazima nitafute goli za kutosha. Mkuu mbona unaogopa sana. Mtu anatoa maoni kulingana na kile anachofikiria yeye. Aya basi ngoja tuseme mshindwe nyie kuchukua ubingwa wa EL.
Unaongea kana kwamba timu yako huijui,

Hiv ni kweli hujui kuwa mkishambuliwa mnakuwa rahis kuruhusu magoli? Au unajisahaulisha kuwa una pazia kepa
 
Arsenal is a wonderkid. Washika mtutu sasa ni washiuka manati wasiotabirika. Waombee tu Valencia waweke gameplan isiyowork otherwise Arsenal ni timu ya kushanga dunia siku zote
Ndio tatizo la kujulia mpira kupitia kubeti

Ndio maana nasema najadiliana na watu wasioangalia mpira,

Valencia aina ya mpira wanaocheza ni soft ,

Mwenzako alidai na akaweka dau Napoli atatufunga 2-0

Valencia je atamzuia arsenal asipate goli?ungejiuliza hilo kabla hujakurupuka

Halafu urudi ujiulize je mtawazuia kina jovic wasiwatie kamba hapo kwenu?
 
Mpira bwana njoo huku stanford bridge muona jamani

siku hizi chelsea na arsenal ndugu wa damu ha ha ha ha


cityzen chairman am here
 
Bournemouth VS Tottenham hotspurs
2 red card and down to 9 men
Only one short off target since halftime
From 65% possession to 45%
Scores 1-0
Goli dk ya 91
Chelsea washindwe wenyewe nafasi ya tatu kesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom