Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sarri with his son jognho belive in pass witout attacking
Middle huna assist kila game unapotea unawapa kaz mabeki maana tackle na block ni chache kuliko za kante na cheek walioko mbele
 
Hao bado wana kazi nzito ..Valencia akipata goli mbili apo arsenal ndo kwa heri..
Kazi sis imeisha kama Napoli tu,

Ila Frankfurt ujipange hiyo game 50/50

Maana Leo umewin kuwazuia wasifanye attempt za kutosha,

Kama umeangalia mpira ,bas wale hata kwako wanakuweka vzr,
 
Hii ndoo EUROPA LEAGUE mshindwe wenyewe tu Hamna timu ya kuwazuia tena.
BAADA ya kuona matumain ya kubeba taji lolote yameyeyuka umehamia Chelsea na unawadanganya kabisa

Inaonekana hata Frankfurt hujawaona,

Hiyo game bado ni 50/50
 
Valencia kwao ni hatari mno tusubiri tuone
Toka Lin kwao hatari, je watamzuia Arsenal asipate goli ?

Maana kipind cha pili wameomba mpira uishe,halafu Valencia anacheza mpira lain sana

Mgumu ni Napoli na Frankfurt ,kama huna energy huponi,

Unataja Valencia, wanacheza Spanish football,walain sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom