Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hii game bado kabisa , shukran kwa loftus cheek , ndio MOT, mlikuwa mfe ,Ila Chelsea hii game tulipaswa kushinda
Hii game bado kabisa , shukran kwa loftus cheek , ndio MOT, mlikuwa mfe ,Ila Chelsea hii game tulipaswa kushinda
Wale wakija Darajani wanakufa tatu moja.Kazi sis imeisha kama Napoli tu,
Ila Frankfurt ujipange hiyo game 50/50
Maana Leo umewin kuwazuia wasifanye attempt za kutosha,
Kama umeangalia mpira ,bas wale hata kwako wanakuweka vzr,
Acha kutembea na matokeo mfukoni ,hiyo game bado 50/50Wale wakija Darajani wanakufa tatu moja.
Sisi fainali yeyote atakayekuja tunapiga tu ..haijalishi ni arsenal au Valencia...Mimi kwanzia leo mpaka siku mnachukua hii ndoo nitawasapoti
@Ollachuga Oc njoo mpokee huyu, messi kamuhamisha timu,Mimi kwanzia leo mpaka siku mnachukua hii ndoo nitawasapoti
Kila siku nakwambia huna uwezo WA kumfunga arsenal ,tena linapokuja swala LA kikombe,Sisi fainali yeyote atakayekuja tunapiga tu ..haijalishi ni arsenal au Valencia...
Karibu sana ndugu yangu...
Usijali mkuu wale watakufa nyingi tu ..sisi hatuna budi kubeba europa mkuu..Acha kutembea na matokeo mfukoni ,hiyo game bado 50/50
Wale wanajua kushambulia halafu wana watu hatari,
Subiri mpite kwanza, Arsenal tumeshatanguliza mguu mmoja final,
Dah kwahiyo hata ligi haijaisha ,ushaona nyau nyau ,bora uhame looserpool uhamie darajanMimi kwanzia leo mpaka siku mnachukua hii ndoo nitawasapoti
Unapenda kujifariji,Usijali mkuu wale watakufa nyingi tu ..sisi hatuna budi kubeba europa mkuu..
Nimeshakwambia na Narudia tena wewe huna timu na hilo unalijua vizuri tu Europa huchukui na Top 4 huingii ...........SAVE HII.Dah kwahiyo hata ligi haijaisha ,ushaona nyau nyau ,bora uhame looserpool uhamie darajan
Hahaaaaaaaaaaa
Hata juzi ulisema mtaifunga barca ,matokeo yake ukabaki unalia tu,Nimeshakwambia na Narudia tena wewe huna timu na hilo unalijua vizuri tu Europa huchukui na Top 4 huingii ...........SAVE HII.
Kisa messi umeikimbia liverNimeshakwambia na Narudia tena wewe huna timu na hilo unalijua vizuri tu Europa huchukui na Top 4 huingii ...........SAVE HII.
Sawa mimi natoka kapa ila wewe utatoka na madumu ya gongo kama unapigia hesabu Europa hayo mawazo futa Hazard atalala na wewe mbele.Hata juzi ulisema mtaifunga barca ,matokeo yake ukabaki unalia tu,
Kwahiyo mm nishakuzoea,
Sasa hivi umekuja na ngonjera nyingine
30yrs loading.........
Msimu huu unatoka kapa ,
Hahaaaaa eti hazard ,kwanza wamemalizana na wajeruman?au unaota ...Sawa mimi natoka kapa ila wewe utatoka na madumu ya gongo kama unapigia hesabu Europa hayo mawazo futa Hazard atalala na wewe mbele.
Chelsea hawez kubeba kombe ana kocha kama kloppSawa mimi natoka kapa ila wewe utatoka na madumu ya gongo kama unapigia hesabu Europa hayo mawazo futa Hazard atalala na wewe mbele.
Kwakuwa umehama Liverpool na umejitangaza BAADA ya kuona mess kafanya yake na pep hana utan na EPL,Sawa mimi natoka kapa ila wewe utatoka na madumu ya gongo kama unapigia hesabu Europa hayo mawazo futa Hazard atalala na wewe mbele.
Nimejikuta natamani tu ningekuwa Europa ili nikunyooshe vizuri maana zile 5 star hazikukutosha basi tu.Hahaaaaa eti hazard ,kwanza wamemalizana na wajeruman?au unaota ...
Unajifanya mtabiri mbona kwa barca ulifeli, kapindue meza ya nyanya jumanne
Na msimu huu utahama had jf, kama sasa hivi umehamia Chelsea kisa messi
Kamnyooshe BarcelonaNimejikuta natamani tu ningekuwa Europa ili nikunyooshe vizuri maana zile 5 star hazikukutosha basi tu.
Unahamia Chelsea unataka uwatie wenzako gundu tu,Nimejikuta natamani tu ningekuwa Europa ili nikunyooshe vizuri maana zile 5 star hazikukutosha basi tu.
Good bye 2018/19Nimejikuta natamani tu ningekuwa Europa ili nikunyooshe vizuri maana zile 5 star hazikukutosha basi tu.