Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi Victor Moses imekuwaje? Ndo kusema Kocha hajaona umuhimu wake?nakumbuka alitumika sana misimu miwili iliyopita.
 
Sasa hao Watford ni kuhakikisha tunawapiga si chini ya 4. Yan tukidraw tu shughuli yetu imeisha kwa sababu Leicester kwake tunaweza kulamba lolo kule. Brendan Rogers siyo mtu yule.
 
Ashinde kwanza ,EPL, haieleweki ,sasa hiv hata man u ana uhakika na top 3
United sidhani kama tutamaliza hata ndani ya top 4

Ila hata watford sio wanyonge sana...tusubiri
 
Sasa hao Watford ni kuhakikisha tunawapiga si chini ya 4. Yan tukidraw tu shughuli yetu imeisha kwa sababu Leicester kwake tunaweza kulamba lolo kule. Brendan Rogers siyo mtu yule.
Weka akiba ya maneno ,ni rahis kumpiga lei lkn sio Watford ,wana viungo wazuri sana wenye nguvu, rejea mech zao wanavyotawalaga kiungo,
 
United sidhani kama tutamaliza hata ndani ya top 4

Ila hata watford sio wanyonge sana...tusubiri
Kwa maajabu ya EPL, sitashangaa akiingia top 4, kwasababu tot ana 70, na mech ya mwisho yupo na Everton ,na tot ana majeruhi ,na kadi ya Leo ya son , halafu Everton wanahitaji kumpiku Wolves ambaye game ya mwisho anacheza na Liverpool ili waende europa
 
United sidhani kama tutamaliza hata ndani ya top 4

Ila hata watford sio wanyonge sana...tusubiri
Watford ndio timu ninayoamin INA viungo wazuri ,mech yao na man u walimyanyasa kiungo cha pogba matic na Herrera hapo OT,

Mechi na arsenal ,pia walitawala sana coz, wana viungo wenye nguvu ,
 
Kheri kenda shika kuliko kumi nenda rudi. Kwasasa naangalia kilicho mbele yangu kwanza then kinachofata. Mechi ya Watford naipa uzito kwa sababu ndio ninayocheza nyumbani kwa vyovyote nakua na advantage kubwa kuliko nitakayoenda kucheza ugenini.
Weka akiba ya maneno ,ni rahis kumpiga lei lkn sio Watford ,wana viungo wazuri sana wenye nguvu, rejea mech zao wanavyotawalaga kiungo,
 
Sasa hao Watford ni kuhakikisha tunawapiga si chini ya 4. Yan tukidraw tu shughuli yetu imeisha kwa sababu Leicester kwake tunaweza kulamba lolo kule. Brendan Rogers siyo mtu yule.
Mkuu Watford sio warahisi kivile japo tuliwafunga 2-1 huko kwao. Ni timu iliyo juu ya ligi na wanafight pos no. 7 mimi nawaona wao wako hatari kama hao mbweha kwa uzito unaofanana
 
Kwa maajabu ya EPL, sitashangaa akiingia top 4, kwasababu tot ana 70, na mech ya mwisho yupo na Everton ,na tot ana majeruhi ,na kadi ya Leo ya son , halafu Everton wanahitaji kumpiku Wolves ambaye game ya mwisho anacheza na Liverpool ili waende europa
Na. saba wataenda tu Europa kama bingwa wa FA na Karabao cup wako na. 5 au 6 kama wako ndani ya top 4 watakaoenda Europa ni na. 5 na 6. Na pia kama bingwa wa Europa na UEFA atatoka top 4, namba 4 nae anaenda Europa kwa hiyo kuna hatari hata na. 6 asiende Europa
 
Na. saba wataenda tu Europa kama bingwa wa FA na Karabao cup wako na. 5 au 6 kama wako ndani ya top 4 watakaoenda Europa ni na. 5 na 6. Na pia kama bingwa wa Europa na UEFA atatoka top 4, namba 3 nae anaenda Europa kwa hiyo kuna hatari hata na. 6 asiende Europa
Anaenda Europa MTU WA 6 kwa situation iliyopo, maana carabao alibeba city, FA cup yupo city na Watford, hivo kama FA atabeba city tena ,bas mtu wa 7 anaenda , akibeba Watford bas nafas inayoathirika ni ya 7,

Nafas ya 5. & 6 hizo ni constant Europa,

Wolves,Everton ,Watford na Leicester wanakaza wakiwa na uhakika Watford FA atapigwa na city ,hivo nafas ya 7 atakayeipata ataenda Europa ,msimu uliopita alishika Burney ,anaenda Europa akatolowa kwenye play off
 
Sarr fegi asilete ujinga wake nafasi ya tatu hiyo hapo, Mpira wa kurembaremba hauna maana yoyote.
 
Ni Chelsea na Spurs tu ndio wana mechi ngumu za mwisho, only determination to win will make us through. Wachezaji wakileta ule usingiuzi wao uwanjani tutaaibika tena sana. Nashukuru kuwa mentality ya wachezaji kwa sasa iko strong kwa ushindi
 
Bournemouth VS Tottenham hotspurs
2 red card and down to 9 men
Only one short off target since halftime
From 65% possession to 45%
Scores 1-0
Goli dk ya 91
Chelsea washindwe wenyewe nafasi ya tatu kesho
Hii ingetokea hapa bongo team pinzani Vs Simba kuna vyura wangevua nguo Kwa hasiraaa!
 
Anaenda Europa MTU WA 6 kwa situation iliyopo, maana carabao alibeba city, FA cup yupo city na Watford, hivo kama FA atabeba city tena ,bas mtu wa 7 anaenda , akibeba Watford bas nafas inayoathirika ni ya 7,

Nafas ya 5. & 6 hizo ni constant Europa,

Wolves,Everton ,Watford na Leicester wanakaza wakiwa na uhakika Watford FA atapigwa na city ,hivo nafas ya 7 atakayeipata ataenda Europa ,msimu uliopita alishika Burney ,anaenda Europa akatolowa kwenye play off
5 na 6 sio constant, wanaenda tu hizo factor zingine zikiwafavor. Imekuwa mazoea kwenda kwa sababu wanaobeba karabao na FA mara nyingi wanakuwa ndani ya top 4. Kwa hiyo kwa mwaka keshop let say 5 na 6 wanaenda automatically kwenye group stage, namba saba ataanzia kwenye mchujo. Kama Watford watabeba FA, namba saba hataenda
 
Kuna uwezekano mkubwa Spurs asiwepo kwenye top 4
wachezaji wawili muhimu off na wankutana na Everton ambao wako kwenye optimal fitness kama vile wanasaka ubingwa wa EPL
 
Mkuu naelewa jinsi walivyo na hatari yao ilivyo. Ila hii mechi ya kesho ni hakuna namna nyingine ni lazima ushindi. Bila ivyo hatutakua na uhakika wa top four.
Mkuu Watford sio warahisi kivile japo tuliwafunga 2-1 huko kwao. Ni timu iliyo juu ya ligi na wanafight pos no. 7 mimi nawaona wao wako hatari kama hao mbweha kwa uzito unaofanana
 
5 na 6 sio constant, wanaenda tu hizo factor zingine zikiwafavor. Imekuwa mazoea kwenda kwa sababu wanaobeba karabao na FA mara nyingi wanakuwa ndani ya top 4. Kwa hiyo kwa mwaka keshop let say 5 na 6 wanaenda automatically kwenye group stage, namba saba ataanzia kwenye mchujo. Kama Watford watabeba FA, namba saba hataenda
Ndicho nilichomaanisha mkuu
 
It look like the tittle race is becoming over tonight!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom