OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Endelea kupayuka tu sisi kwa sasa hatuna muda wa kupoteza kama assanal, manure..Ndio unavyojidanganya, wewe hapo nafas ya 3 utakaa kwa muda, ila baada ya wiki mbili ,utakuwa mnagombea namba 5 na 6 wewe na manyua
Kama huamin subir nitakufukulia kaburi
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Sent using Jamii Forums mobile app