Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Eden Hazard kwa misimu kadhaa sasa ndiye mchezaji bora wa EPL hawa wengine wanakuja na kuondoka lkn yeye yuko kwenye form
 
Hili kaburi nakuja kulifukua, nne hamzikosi hiyo Anfield sasa we subiri muone

Chelsea hii sio ile Chelsea kabla Abramovic hajafukuzwa Uingereza
Unaongea kinyume nn, kwamba liver lazima tuwakalishe nne hili wanalijua ss ni wazee wa kutibua mipango
 
Takwimu zilionyesha tulifanya vizuri..

Nyie kelele na bado mnapoteana.

Sisi Chelsea fans tunaongea baada ya Dakika tisini ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tabia ya kuongea baada ya dkk tisini sio tabia ya shabiki wa mpira wa miguu.

Inawezekana siku hizi baada ya kupoteana ndio mmeanza hii tabia ya kuongea baada ya dkk 90.

Ngoja nikafukue kaburi la mechi ya Chelsea vs Man u (2:2), tuone kama kauli yako ni sahihi.

Sent using simu mbovu
 
Takwimu zilionyesha tulifanya vizuri..

Nyie kelele na bado mnapoteana.

Sisi Chelsea fans tunaongea baada ya Dakika tisini ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tabia ya kuongea baada ya dkk tisini mmeianza lini?

Inawezekana siku hizi baada ya kupoteana ndio mmeanza hii tabia ya kuongea baada ya dkk 90.

Ngoja nikafukue kaburi la mechi ya Chelsea vs Man u (2:2), tuone kama kauli yako ni sahihi.

Sent using simu mbovu
 
Tafadhali jibu haya maswali marahisi kabisa ya kujaza

Timu mbili za EPL zitakazoaga mashindano ya UEFA wiki ijayo ni:

1.
2.
 
Chelsea bana imekamilika mtu asikudanganye
Kepa Arrizabalaga 24yo GK
Andreas Christiansen 22yo FB
Loftus Cheek 23yo MF
Callum Hudson Odoi 18yo, RW or LW6++
Ukiwaongeza na wale wa kwenye mkopo, kumbe tuna damu changa ambayo inaweza kuifanya Chelsea iwe Title contender hata bila new signings.
 
Harry Kane anaweza kuwa nje ya EPL kwa msimu mzima wa 2018/19 kwa sababu ya majeruhi aliyoyapata kwenye mechi ya robo fainali ya UEFA kati ya Spurs na Man City. Katika mechi hiyo Spurs ilishinda kwa goli moja bila kwa goli la Son lililofungwa dakika ya 78. Man city ilipoteza penalty ya dakika ya 13 kupitia kwa Aguero baada ya kipa Illoris wa Spurs kuupangua mkwaju wa Aguero wa penalty waliyopewa baada ya ufafanuzi wa VAR kwamba Dany rose aliunawa mpira kwenye eneo la penalty. Kwa matokeo haya Man city wanatakiwa kuwafunga Spurs 2-0 au ushindi wowowte wa tofauti ya goli mbili. Spurs waliwazidi kimbinu wenzao wa Manchster
Kwa majeruhi ya Kane, Spurs watakuwa wamepata pigo kubwa kwenye harakati zao za kushindania nafasi kucheza UEFA mwakani. Kwa sasa Spurs wako nafasi ya nne nyuma ya Chelsea kwa tofauti ya pointi 2 ingawa wana mchezo mmoja mkononi
 
All-time Premier League Club Stats

Timu yako iko wapi kwenye kufungwa au kufunga, kwenye kushinda au kushindwa

1067497
 
Hazard kucheza vizuri n kuwa kwenye fomu nzuri anafanya advertisement kwa Zinedine Zidane. baada ya idol wake huyo kurudi Real Madrid, huyu Hazard ataendelea kuwa kwenye form kwa sababu anataka kumuonyesha Zidane kuwa yeye anafaa kwa kusajiliwa na Real Madrid. Ataendelea kuwa kwenye good form mpaka ligi iishe, mtaona kuwa niko sawa.
Liverpool wajiendane, VVD aonyeshe umaridadi wake kwa hazard na waangalie tu wasiishie kwenye penalty.
 
Preview.

Europa League (EL) surprise package Slavia Prague knocked five-time winners Sevilla out in the previous round (6-5 on aggregate), and now face 2012/13 champions Chelsea, a side undefeated this EL campaign (W9, D1).

Unbeaten in five EL home matches this term (W3, D2), whilst keeping a clean sheet in four, Slavia can also boast superb domestic home league form this season (W11, D1, L1).

In fine goalscoring shape, the Czech league leaders have now netted four or more goals in three of their last four domestic (league/cup) home matches.

With both teams scoring during the first half in Slavia’s last three European games, it seems likely the Prague outfit will concede against Chelsea here, a team that’s won their last three EL games ‘to nil’, and has now netted in eight consecutive EL away fixtures (W6, D1, L1).

Based on Chelsea’s recent away form, this game is likely to have a winner. The ‘Blues’ haven’t drawn a competitive road trip this calendar year (W4, L5), with the majority of those games (six) seeing just one side score.

If they do win, it could come via a 2-1 scoreline – five of Chelsea’s last seven away victories (in all competitions) finished 2-1.

Players to watch:

Miroslav Stoch appeared five times for Chelsea as a teenager, and now faces his former club as Slavia’s top league scorer this season (12 goals, ten assists).
Joint-EL top scorer, Olivier Giroud (nine goals), netted a hat-trick at Dynamo Kiev in the previous round.
He’s now scored in Chelsea’s last four EL away matches.

Stat attack:

Slavia have been shown one or no yellow card in each of their last four games.
Both teams have scored in the second half in three of Slavia’s last five fixtures.
There’s been a goal scored after the 75th minute in Chelsea’s last four EL matches.

All the best!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Preview.

Europa League (EL) surprise package Slavia Prague knocked five-time winners Sevilla out in the previous round (6-5 on aggregate), and now face 2012/13 champions Chelsea, a side undefeated this EL campaign (W9, D1).

Unbeaten in five EL home matches this term (W3, D2), whilst keeping a clean sheet in four, Slavia can also boast superb domestic home league form this season (W11, D1, L1).

In fine goalscoring shape, the Czech league leaders have now netted four or more goals in three of their last four domestic (league/cup) home matches.

With both teams scoring during the first half in Slavia’s last three European games, it seems likely the Prague outfit will concede against Chelsea here, a team that’s won their last three EL games ‘to nil’, and has now netted in eight consecutive EL away fixtures (W6, D1, L1).

Based on Chelsea’s recent away form, this game is likely to have a winner. The ‘Blues’ haven’t drawn a competitive road trip this calendar year (W4, L5), with the majority of those games (six) seeing just one side score.

If they do win, it could come via a 2-1 scoreline – five of Chelsea’s last seven away victories (in all competitions) finished 2-1.

Players to watch:

Miroslav Stoch appeared five times for Chelsea as a teenager, and now faces his former club as Slavia’s top league scorer this season (12 goals, ten assists).
Joint-EL top scorer, Olivier Giroud (nine goals), netted a hat-trick at Dynamo Kiev in the previous round.
He’s now scored in Chelsea’s last four EL away matches.

Stat attack:

Slavia have been shown one or no yellow card in each of their last four games.
Both teams have scored in the second half in three of Slavia’s last five fixtures.
There’s been a goal scored after the 75th minute in Chelsea’s last four EL matches.

All the best!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakimweka Alonzo nyuma tutafungwa na hao Slavia ni wazuri na wana mbio sana ikija suala la counter attack ni kama Wolves. Kocha angemweka tu Emerson kwa sababu ni mwepesi na anarudi wakati anahitajika nyuma tofauti na Alonso anayehamia mbele na kujisahau. Pia Alonso hana concetration na ana faulu nyingi sana mpaka kwenye eneo la penalti. Nyuma wangewaweka Kepa GK, Zapacosta kulia, Rudiger kati, Christiansen kati, Emerson kushoto, kati wawepo Kante kulia, Covacic kati na Loftus Cheek kushoto,
Mbele wawepo Odoi kulia, Giroud striker na William kushoto. Substitute wawaweke alert Hazard (kama atahitajika aingie ila sio lazima), Pedro na Barkley
 
Hii ndio sababu Alonso ameshindwa kuendana na mfumo wa Sarri na bado Sarri anambeba

When used in Conte's 3-4-3 system, Alonso was always deployed as a left wing-back. This allowed the Spaniard to get forward and make a real connection with Eden Hazard on the left flank. Alonso could put his defensive responsibilities in the back of his mind because he always knew there would be a center-back covering for him.

When Sarri took over at the helm this season he switched the formation to his preferred 4-3-3. By slotting in Alonso on the left of a back four, he expected him to do much more defending while staying at the back. This turned out to be a major flaw in his game, despite some early-season success.

Over the course of the last few months, Alonso's relationship with his teammates on the pitch has dwindled immensely. He no longer produces the same fluidity with Hazard on the left flank and you can see the frustration on his face, game in and game out. There have been many instances in which he has made angry gestures to other defenders on the pitch for mistakes which were ultimately his own.

Alonso had a particularly bad game when the Blues were crushed at the hands of Manchester City on Sunday night. Although the defense as a whole was quite poor, Alonso's night can be summed up by City's first goal. The Spanish defender left Bernardo Silva wide open on the left, giving the opposing attacker too much space to put in a perfect cross. Raheem Sterling ended up with the goal on the far post, but it is impossible to overlook the positioning mishap by Alonso.

With Chelsea constantly overexposed on Alonso's side, Sarri has been forced to give Emerson Palmieri some Premier League minutes. While there hasn't been too much proof that this will solve the defensive struggles, it's gotten to the point that many supporters are on board with this decision.

The combination of the supporters' frustration and Sarri's apparent distrust of Alonso lends itself to one conclusion - if he is not going to improve his defensive abilities he needs to be sold once the summer window opens in favour of a better defensive option.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom