Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wanasubir kukutana na braza K kila alhamis msimu ujao kwa Mara nyingine tena

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Uu hali gani huko uliko bwana domokaya. Taarifa zenu tunazo
Evertin 1: 0 Arsenyeto
 
Everton 1-0 Arsenal
Arsenal wana mechi 4 za ugenini na mbili za nyumbani. Hawa Arsenal ndio timu pekee kwenye top 6 yenye matokeo mabaya sana kwenye mechi za ugenini. Kazi ipo
Chelsea wana mechi 3 za ugenini na zote ngumu. dhidi ya Liver, Man u na wale mbweha wa Leicester City
Fixtures za Spurs na Man UTD ziko poa compared to us. So sasa kuna kazi kweli kweli kwenye nafasi hizi za 3 na 4
 
Uu hali gani huko uliko bwana domokaya. Taarifa zenu tunazo
Evertin 1: 0 Arsenyeto
Haijalishi, ila mwisho wa ligi hamuend popote,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Everton 1-0 Arsenal
Arsenal wana mechi 4 za ugenini na mbili za nyumbani. Hawa Arsenal ndio timu pekee kwenye top 6 yenye matokeo mabaya sana kwenye mechi za ugenini. Kazi ipo
Chelsea wana mechi 3 za ugenini na zote ngumu. dhidi ya Liver, Man u na wale mbweha wa Leicester City
Fixtures za Spurs na Man UTD ziko poa compared to us. So sasa kuna kazi kweli kweli kwenye nafasi hizi za 3 na 4
Jifariji Leo tumepoteza kutokana na kukosekana midfield sababu za majeruhi na red card, mechi zilizobaki za away nashinda zote na home zote,

Kaz kwenu ,

Mtaa wa 5 unawahusu ,manyua namba 6 kashajihakikishia

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Jifariji Leo tumepoteza kutokana na kukosekana midfield sababu za majeruhi na red card, mechi zilizobaki za away nashinda zote na home zote,

Kaz kwenu ,

Mtaa wa 5 unawahusu ,manyua namba 6 kashajihakikishia

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Haaahaaaa pyutuu
 
Jifariji Leo tumepoteza kutokana na kukosekana midfield sababu za majeruhi na red card, mechi zilizobaki za away nashinda zote na home zote,

Kaz kwenu ,

Mtaa wa 5 unawahusu ,manyua namba 6 kashajihakikishia

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Tatizo wewe husomi hata maandiko ya mistari miwili, wapi nimejifariji? nimechambua ukweli na Arsenal na Chelsea ratiba sio nzuri compared to Spurs and Man U na huo ndio ukweli. Ratiba yenu ya Arsenal sio nzuri kwa sababu nyie ni wadhaifu sana kwenye away games
 
Tukubaliane tu mwaka huu EPL inaishia patamu, ukiwaondoa Liverpool na Mancity, hizi top 6 zilizobaki ni bullshit nashanga mtu akija hapa na kuanza kujigamba kuwa timu yake bora wakati historia ya kufungwa inajionyesha wazi
 
Mwenye timu anaondoka, halafu kusajili marufuku
Screenshot_2019-04-08-08-50-18.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wewe husomi hata maandiko ya mistari miwili, wapi nimejifariji? nimechambua ukweli na Arsenal na Chelsea ratiba sio nzuri compared to Spurs and Man U na huo ndio ukweli. Ratiba yenu ya Arsenal sio nzuri kwa sababu nyie ni wadhaifu sana kwenye away games
Tatizo umekariri, mech ya Jana kwanza tulikuwa na majeruhi muhimu,sasa bila kuzingatia hizo fact unajidanganya tuna ratiba ngumu,

Kwa akil yako inakutuma arsenal atafungwa away zote ,usijue majembe pale kat yatakuwa yamerejea

Wakati wewe una liver mwenye njaa ya ubingwa, then unaenda kuparuana na manyumbu

Leo usipokaa sawa westham anakuadhibu

Sasa unajifananisha vip ratiba yako na arsenal,

Hapo tegemea arsenal kushinda game karibu zote , labda sare moja tu,

Nitakuja kufukua kaburi hapa

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Hahahahaaa hii timu msimu ujao inaelekea daraja la pili championship

Kipa kepa pazia

Hazard bye bye baba jeni
Eden Hazard would become Real Madrid's most expensive signing - but would still be cheaper than Philippe Coutinho

Fifa wamewalima ban ya miaka miwili

NATABIRI HUMU KUTAKUWA UKIWA .....

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Mnatuma tu link za hazard kusepa ..tumeni na za Sarri kutimuliwa bana..

Japo bila Hazard tunaeza leta ushindani wa kutosha kwenye ligi..

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ushindan championship

Hazard anasepa

Kepa pazia

Ban ya miaka miwili

Forward jirud

Hahaaaaaaaaaa

Huo ushindan mnauleta wapi

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Hahahahaaa hii timu msimu ujao inaelekea daraja la pili championship

Kipa kepa pazia

Hazard bye bye baba jeni
Eden Hazard would become Real Madrid's most expensive signing - but would still be cheaper than Philippe Coutinho

Fifa wamewalima ban ya miaka miwili

NATABIRI HUMU KUTAKUWA UKIWA .....

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Wakati ukiendelea kutabiri ukiwa kwetu, naona unahamia kwako. Mimi leo namfua wagonga nyundo napanda mpaka nafasi ya tatu..

Europa ya pili naitia kapuni Siku sio nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati ukiendelea kutabiri ukiwa kwetu, naona unahamia kwako. Mimi leo namfua wagonga nyundo napanda mpaka nafasi ya tatu..

Europa ya pili naitia kapuni Siku sio nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio unavyojidanganya, wewe hapo nafas ya 3 utakaa kwa muda, ila baada ya wiki mbili ,utakuwa mnagombea namba 5 na 6 wewe na manyua

Kama huamin subir nitakufukulia kaburi

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Labda ushindan championship

Hazard anasepa

Kepa pazia

Ban ya miaka miwili

Forward jirud

Hahaaaaaaaaaa

Huo ushindan mnauleta wapi

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Wewe kakikosi chako cha kuokota okota unaeza mfananisha mchezaji gani wa Chelsea na hao wako assanal?? Uache ujinga bana angalia timu kaa City anasajili wachezaji kwa paund za kutosha ..wewe unachukua vile vya paund mil 10 unategemea umfunge navyo Everton?? hahaha.. unaetegemea kucheza uefa na sakina Iwobi, Laccazete, Auba, wakati uko europa miaka kibao unaruka ruka tu..uko uefa ci utaenda kuichafua London tu?

Nakwambia ukitaka kuleta ushindani kweny ligi mwaga pesa kama Man city ..Assanal bado ni timu ya kishamba sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom