Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwan ligi imeisha ,

Subir baada ya mechi 3 , utaniambia labda ukamfunge man u OT,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Amfunge nani sasa? Yan Cheltako amfunge Man u kwake? Uwe unatafuta mechi za kuegemea
 
At least hawa wachezaji waliokuwa wanapewa muda mdogo wa dk 10-30 au wengine na saa nyingine hawapewi kabisa ndio waliohusika na magoli yote matatu
Cheek anapewaga dk30 kafunga na kuassist
Odoi hakuwahi kupewa muda kaasist goli la Giroud
Giroud alikuwa saa nyingine anapewa 30 au 20 mins au saa nyingine hapewi kabisa kafunga moja

Sarri ajifunze kuwa akiacha ubishi anaweza kuwa kocha mzuri
Sasa awe anampa Odoi full appearance kwenye starting XI
Awe anawasub Aspi, Jorgninho kwa sababu ndio bado wako kwenye low form na wanachoka haraka
I hope hii hii timu itacheza na Westham on Monday
Siku Sarri akijishusha akamtoa Jorghino na 6 na kumpanga no 8. Kante akacheza 6.

Atapata matokeo zaidi ya hapo. Sema akishavuta sigara Basi anajua yupo Napoli Itali



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magoli ya Hazard na Loftus Cheek dhidi ya Brighton yamefanana sana kwa maeneo matatu
  1. Hazard kafunga baada ya assists ya Loftus na Loftus kafunga baada ya assist ya Hazard
  2. Loftus kafunga kutokea eneo ambalo Hazard naye alifungia
  3. Loftus alitumbukiza mpira kwenye eneo la goli ambalo Hazard naye alitumbukiza
Ushirikiano huu utaipeleka Chelsea mbali hadi hata top 4
 
Chelsea haitaji kusajili wala kuombaomba ban ilegezwe, hawa walioko kwenye mkpo wanatosha kutuvusha angalau mpaka adhabu iishe
  1. Reece James (19yo) palying at Wigan as the right back - form = best level
  2. Tiemoue Bakayoko (24yo)playing at AC Milan as a midfielder - form = best, struggles under Conte but Sarri style may fit him in
  3. Tammy Abraham (21yo) playing at Aston Villa as a striker scoring 22 goals - form = best
  4. Christian Pulisic (20yo) - playing at Borussia Dortmund as a winger; form = best
  5. Kurt Happy Zouma (24yo) - playing at Everton as a Center Back, form =best
  6. Baba Rahman (24yo) playing at Reims (Ligue 1) as a left back
  7. Michy Batshuayi (25yo) playing at Crystal Palace as a striker
  8. Robert Kenedy (23yo) playing at Newcastle United as a winger
 
Chelsea haitaji kusajili wala kuombaomba ban ilegezwe, hawa walioko kwenye mkpo wanatosha kutuvusha angalau mpaka adhabu iishe
  1. Reece James (19yo) palying at Wigan as the right back - form = best level
  2. Tiemoue Bakayoko (24yo)playing at AC Milan as a midfielder - form = best, struggles under Conte but Sarri style may fit him in
  3. Tammy Abraham (21yo) playing at Aston Villa as a striker scoring 22 goals - form = best
  4. Christian Pulisic (20yo) - playing at Borussia Dortmund as a winger; form = best
  5. Kurt Happy Zouma (24yo) - playing at Everton as a Center Back, form =best
  6. Baba Rahman (24yo) playing at Reims (Ligue 1) as a left back
  7. Michy Batshuayi (25yo) playing at Crystal Palace as a striker
  8. Robert Kenedy (23yo) playing at Newcastle United as a winger
Na Morata yuko ATM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea wanataka kumsaini kinda wa miaka 15 ambaye ana quality kama za Ronaldo,

Chelsea set to sign next Cristiano Ronaldo as father reveals when transfer will happen
CHELSEA have agreed a deal to sign Swedish youngster Edwin Andersson - a player that has been dubbed the next Cristiano Ronaldo.
By MATT PENN
 
Chelsea haitaji kusajili wala kuombaomba ban ilegezwe, hawa walioko kwenye mkpo wanatosha kutuvusha angalau mpaka adhabu iishe
  1. Reece James (19yo) palying at Wigan as the right back - form = best level
  2. Tiemoue Bakayoko (24yo)playing at AC Milan as a midfielder - form = best, struggles under Conte but Sarri style may fit him in
  3. Tammy Abraham (21yo) playing at Aston Villa as a striker scoring 22 goals - form = best
  4. Christian Pulisic (20yo) - playing at Borussia Dortmund as a winger; form = best
  5. Kurt Happy Zouma (24yo) - playing at Everton as a Center Back, form =best
  6. Baba Rahman (24yo) playing at Reims (Ligue 1) as a left back
  7. Michy Batshuayi (25yo) playing at Crystal Palace as a striker
  8. Robert Kenedy (23yo) playing at Newcastle United as a winger

Hii ban iwe fundisho na tunaweza kutusua bila hata ya kufanya usajili. Hapo wa kurudishwa ni Pulisic, Tammy, Zouma pamoja na Reece J aje achukue nafasi ya Azpi.

Mpira wa Kenedy hautafaa kwa Sarriball, Bakayoko anafaa sana now kaimprove ila tuna middles wa kutosha pale aendelee kubaki huko kuimprove zaidi. Batshuayi sasa inatosha timu iamue moja aidha imuuze au impe mkataba na kurudi darajani moja kwa moja, yawezekana yuko underperformance kwa sababu hayupo sehemu anayopenda au hapati anachotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game ijayo ya Liverpool vs Chelsea itakuwa hatari. Chelsea tusipokuwa makini, tutapata taabu sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom