GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,079
- 16,406
Nyie msimu ulivyoanza si ndio mlikua mnaongoza kwa kelele humu jukwaani, hizo kelele ziliishia wapi vile?Sisi hatuna kelele nyingi kama nyie. Kila Siku mna fanya uchambuzi, mnapanga kikosi na kupangua ..gemu zote kwa kuongea huwa munashinda. Lakini matokeo huwa tunabaki nayo sisi.
Tatizo la fans wa manure ni much know sana. Halafu waongeaji kweli kweli.
Sasa huku unakutana na fan wenye respect zao hatuna stats za kikumbavu kama za kwenu au za aasanal...
Sent using Jamii Forums mobile app
Au mnataka tufukue makaburi?
Sent using simu mbovu

