OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
HahahhahahahahahahahahaaaaaKama anakukera m- ignore kama huwezi usitusumbue
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahhahahahahahahahahaaaaaKama anakukera m- ignore kama huwezi usitusumbue
Hizo zote tutapita bila kupigwa. Apo labda liver atatukazia draw.Mm gari lishakata breki,sifungwi mpaka ligi inaisha
Wewe hata ukishinda Leo huna madhara
Hapo mbele una liver ,una manyua, una Leicester una westham
Lazima ulambwe kama point 9,
Kwa hiyo hata ukishinda Leo huna madhara
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Kweli yaani Alonso amekuwa slow Sana aseeMchawi mkubwa alikuwa ni Alonso ndie alikuwa anapwaya na kuinajisi timu nzima
Uwepo pia wa vijana kuliko wazee umeisaidia Chelsea kupata magoli. Tukiendelea hivi nafasi ya 3 au 4 ni ya kwetu mapaka mei
sarri haumjui atakuja na watu wake Wale Wale na tutafungwa kipindi cha pili kama kawaida pedro atakosa kosa, william atakosakosa tutawekwa cha piliAt least hawa wachezaji waliokuwa wanapewa muda mdogo wa dk 10-30 au wengine na saa nyingine hawapewi kabisa ndio waliohusika na magoli yote matatu
Cheek anapewaga dk30 kafunga na kuassist
Odoi hakuwahi kupewa muda kaasist goli la Giroud
Giroud alikuwa saa nyingine anapewa 30 au 20 mins au saa nyingine hapewi kabisa kafunga moja
Sarri ajifunze kuwa akiacha ubvishi anaweza kuwa kocha mzuri
Sasa awe anampa Odoi full debut
Awe anawasub Aspi, Jorgninho kwa sababu ndio bado wako kwenye low form na wanachoka haraka
I hope hii hii timu itacheza na Westham on Monday
Mchawi mkubwa alikuwa ni Alonso ndie alikuwa anapwaya na kuinajisi timu nzima
Uwepo pia wa vijana kuliko wazee umeisaidia Chelsea kupata magoli. Tukiendelea hivi nafasi ya 3 au 4 ni ya kwetu mapaka mei
Vipi umekimbia kimya kimyae, bila shaka sasa hivi unakatikia mwichi.Nawatakia matokeo mema Brighton
Sare au kuwafunga chelshit itapendeza sana
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Yan unavyo hangaika mpaka nakuonea huruma. Aya umefaidika nini.?Chumba namba 6 mnataka kukikimbia kirahisi hivi
Hebu second half Brighton mje mfanye comeback
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Namba 6 inakuhusu ,au fixture yako huijui vzr?Yan unavyo hangaika mpaka nakuonea huruma. Aya umefaidika nini.?
Leo ni 3-0 hesabu clean sheet kaforomondo wewe!!
Sent using Jamii Forums mobile app
We Pampula acha kukariri maisha. Hiyo fiture mbele yangu unavyoichukulia wewe siyo kama ninavyo ichukulia mimi.Namba 6 inakuhusu ,au fixture yako huijui vzr?
Kenge ww
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Huyo hastahili huruma. Muache apate alichokitakaJamani Thibout courtis ni wakuonea huruma madrid
Nadhan anakula dhambi ya usalit sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa..Vipi umekimbia kimya kimyae, bila shaka sasa hivi unakatikia mwichi.
Wewe bwege kweli, Cardiff anakutoa kamasi, hao wengine hata sare hupatiWe Pampula acha kukariri maisha. Hiyo fiture mbele yangu unavyoichukulia wewe siyo kama ninavyo ichukulia mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app