Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndio maana hata hapa huwezi kuwaona mashabiki wa Chelsea wakishangilia.
Watoto wamenyimwa tuta la wazi halafu bado haikutosha wakafungwa goli la kuotea.

Hii timu msimu ujao itamaliza nafasi ya 10 kama ikijitahidi sana.
Malizia hivi, alisikika mlevi mmoja wa mataputapu na chang'aa.

Acheni kuwa miungu watu nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba huu ushindi sikuufurahia kwa sababu
  1. Chelsea walicheza vibaya kama kawaida yao, no motivation, wameganda tu uwanjani, Higuaín ndie alikuwa akikimbiakimbia uwanja mzima, asingeingia Hazard na Lofta tungelala tu kwa mgonjwa Cardiff
  2. Goli la kusawazisha ni wazi Aspi aliotea, hilo halina ubishi
Kuhusu penalty walionyimwa Cardiff ni sawa na ile walionyimwa Chelsea kwa hiyo kama refa kachemsha ni kwa pande zote mbili. Cardiff ni timu ndogo sana na ya hovyo, ingekuwa ni timu hizi zilizo nafasi ya 10 kwenda juu hakika tungefungwa magoli mengi labda uchezaji uwe umebadilika

Chelsea mbovu ni impression ya Kocha mbovu katika historia ya Chelsea tangu miaka ya 2000, wangemfukuza tu kocha msaidizi abaki na timu hadi mwisho wa msimu. Chelsea haina future kwa Sarri
 
Yesterday song at Cardiff City Stadium
Chelsea fans: ‘We want Sarri out’. F*** Sarri-ball’,
Cardiff fans: ‘We want Sarri in’.
 
Sarri anachotaka ni mkataba wake uvunjwe ili aondoke na kibunda cha hela kama MOU na Conte

‘They were probably unhappy for the result,’ said Sarri. ‘I can understand, I can understand very well. I am getting used to this.’
 
Chelsea will soon struggle to sell tickets if Sarri and F***Sarriball will continue through the next season
 
Sarri comment on Callum Hudson-Odoi is STUPID
Jamie Carragher has blasted Chelsea manager Maurizio Sarri for admitting he only watched 20 minutes of Callum Hudson-Odoi’s full England debut against Montenegro.

Jamaa anadai huyo kocha ni wa ajabu, anaangalia dk 20 mechi ambayo kijana mdogo wa miaka 18 tu anaichezea timu yake ya Taifa na angeangali mechi yote angepata fursa ya kumfahamu Zaidi nguvu yake na udhaifu wake kwa mapaan Zaidi. Badala yake anaenda kuangalia mechi za wazee wa miaka 27, 28, 29, 30, 31 badala ya kuwekeza nguvu kwa kijana mdogo kama Odoi!!
 
Sarri comment on Callum Hudson-Odoi is STUPID
Jamie Carragher has blasted Chelsea manager Maurizio Sarri for admitting he only watched 20 minutes of Callum Hudson-Odoi’s full England debut against Montenegro.

Jamaa anadai huyo kocha ni wa ajabu, anaangalia dk 20 mechi ambayo kijana mdogo wa miaka 18 tu anaichezea timu yake ya Taifa na angeangali mechi yote angepata fursa ya kumfahamu Zaidi nguvu yake na udhaifu wake kwa mapaan Zaidi. Badala yake anaenda kuangalia mechi za wazee wa miaka 27, 28, 29, 30, 31 badala ya kuwekeza nguvu kwa kijana mdogo kama Odoi!!
Mkuu Lembu mimi nilishasema kwa Sarri hatuendi popote. Hakuna future ninayoiona kea huyu kocha hasa kwa Chelsea yetu hii.

Kwanza kabla hata hatujaongelea quality ya wachezaji wetu, Sarri mwenyewe hana motivation kwa wachezaji kwa hiyo hata ikitokea mchezaji akiharibu hata kidogo hakuna sehemu atapata backup kuweza kurudisha kiwango chake mfano halisi ni Alonso.

Ukija kwa wachezaji wenyewe nilushasema kwa sasa tumekosa nguvu katika usajili. Angalia wachezaji wanaokuja, wanaokuwa wanahusishwa kujiunga na Chelsea lakini mwisho wa siku kinachokuja kutokea ni utumbo tu. Mtu kama Pedro, Cahill, Luiz walitakiwa wawe wameshaonyeshwa mlango wa kutokea lakini mpaka leo Pedro anaanza while CHO yuko bench. Kova anaanza while Kante yuko bench, huyu kocha kuna kitu anatafuta.

Hata hii bodi siyo kama ile tuluyoizoea. Wanatuharibia utamaduni wa Chelsea. Zamani ilikua ukisikia mchezaji anawaniwa na Chelsea, Man U, sijui Arsenal lazima ziogope wanajua huyu mchezaji keshaenda Chelsea kama itashindikana basi ni ilikua ni mara chache sana.

Sasa hivi tunaishi kwa neema za mungu hadi Arsenal anatushinda kwenye soko la usajili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan ingeletwa VAR tu epl, hujuma za waz kabsa kuididimiza cardif kua lazima washuke daraja.....mnafanya mipango inazidi kua migumu hapa
 
Kepa pazia

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kuna mtu anasema kepa sio pazia kwa kigezo cha clean sheets

Nimecheka sana

Nasema HUYU KEPA TUMEPIGWA

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Yan ingeletwa VAR tu epl, hujuma za waz kabsa kuididimiza cardif kua lazima washuke daraja.....mnafanya mipango inazidi kua migumu hapa
Arsène: “When I die and meet God, and before choosing between Hell and Paradise, I will ask him where all the refs are.”

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Japo nimefurahi hawa mashetani kukung'utwa ila matokeo hayatainufaisha Chelsea ya Sarri. I hope tutabahatisha tena ushindi kwa Brighton kesho na kuchupa nafasi ya tano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom