Hivi kwanini Sarri alifikiria kumpumzisha Ngolo Kante na kumuacha kikosini Jorginho? Kwako Ollachuga...Sarri fanya hivi basi
Toa Jorginho ingiza Ruben Loftus-cheek
Kanafungwaga magoli ya kingese sanaaaKipa kepa .... Hahaaa
Mkishambulia kwa nidhamu lazima mpate magoli kwa huyu kepa,
Yaan ukikutana na Chelsea wewe shambulia kwa nidhamu ,lazima utumbukize mpira nyavuni
Paun mill 71
Hahaaa ,huyu kepa tumepigwa
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Hivi kwanini Sarri alifikiria kumpumzisha Ngolo Kante na kumuacha kikosini Jorginho? Kwako Ollachuga...
Sent using Jamii Forums mobile app
karibuHaha
Nikimalizana na spurs ntarudi
Shuwainiiii cheltakooo
13SEPTEMBER
karibu
Dhuluma ya wazi kabisaaaView attachment 1059324
wacha wee 😃😃😃😃Wakati MUFC inawapiga tano mlisema Cardiff timu ndogo, leo naona chupuchupu.
wacha wee 😃😃😃😃
Hii ndio Chelsea iliyofungiwa kusajili? Msimu ujao kazi mnayo.
Na Hazard akiondoka ndio mmekwisha.
Wachambuzi wamemshutumu sana refarii wazi waziShukrani za pekee zimwendee refarii wa mchezo Craig Pawson!
Chelsea wamesaidiwa na refariiKati ya wiki niliokasirika ni hii kwa cardif kuruhusu chelsea washinde