Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kumbukizi:

Tarehe 5/12/2018 - Wolves waliichapa Chelsea wakiwa darajani goli 2-1
Wafungaji wakiwa ni Jimenez na Jota,

Leo tarehe 10/03/2019 .
Chelsea anapapaswa tena, na safri hii mfungaji akiwa Jimenez kwa assist ya Jota..



Wazee wa Sariball mna nini na hawa vijana. Mbona wanajipigia tu? Yani kama mtalaka vile wanavyo wapapasa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbukizi:

Tarehe 5/12/2018 - Wolves waliichapa Chelsea wakiwa darajani goli 2-1
Wafungaji wakiwa ni Jimenez na Jota,

Leo tarehe 10/03/2019 .
Chelsea anapapaswa tena, na safri hii mfungaji akiwa Jimenez kwa assist ya Jota..



Wazee wa Sariball mna nini na hawa vijana. Mbona wanajipigia tu? Yani kama mtalaka vile wanavyo wapapasa


Sent using Jamii Forums mobile app
Mmechomoka kwenye tundu la sindano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgomo wa wachezaji kumkataa Sari ndio unai cost timu. Tungeshinda mechi ya leo na kiporo kijacho tungekuwa wa 3 kwenye msimamo wa ligi hata Spurs tungemshusha.

Wachezaji wa Chelsea wanakera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani amesema wachezaji wamegoma? Unapaswa kujua kuwa ni vigumu kucheza Alhamisi Europa alafu ucheze J2 EPL

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom