Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha yuko sahihi. Bado Odoi hajafika top. He needs to improve hata yeye hilo analikubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
CHO kuimprove ina maana apate game time ya kutosha, aaminiwe, yan kocha anatakiwa amfanye dogo ajisikie ni wa muhimu kwa sasa na kwa baadaye. Hiyo itampa motivation dogo akaze zaidi kuisadia timu.

Sasa kwa kauli aliyoongea kocha unadhani dogo anajiskiaje.? Inamkata morale kupambania kipaji chake. Hawezi kujiona ni muhimu ikiwa magoli anafunga, assist anatoa halafu mwisho wa siku kocha anakuja kuongea vitu kama hivyo.

Huyu Sarri ajiangalie anapokua kwenye press.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ndy Happy Birthday yenu. Mwaka wa 115 utautafuta kwa machozi
20190310_130425_rmscr-1.jpeg
 
Leo chelsea akishinda anakuwa nafasi ya nne ila cha ajabu leo hii hii ataondoka, apende asipende. Yaani akishinda man u basi chelsea hana chake kwenye hiyo nafasi, akifungwa man u bado chelsea hana chake. Man u aki droo bado chelsea anaondoka tu. Naombeni mniambie ni kwann?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom