Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa kuna timu tano zinagombania nafasi mbili. Nafasi ya tatu na nne ziko wazi. Sio tu kuwa juu ya Arsenal , Hata Spurs

Wa 1 & 2 wanaogombania Wameshajuilikana ni Man City na Liverpool tu na so vyenginevyo.

Sema kuna timu 4 (Man United, Arsenal, Spurs na Chelsea) ndiyo zinazogomabi nafasi ya (3 & 4).

Hayo ya timu 5 nadhani ni Jealous tu ndiyo zinakufanya umueke Liverpool sawa na Chelsea aliye nafasi ya 6 kuwa wanagombania nafasi pamoja.
 
Chelsea ina game mbili au jumla ya game 11, tuna uhakika wa point sio chini ya 25 na kumaliza ligi na point 78, hao wote labda Man United ndio wanaweza fikia hapo kwa sababu ya morali yao walionayo sasa
Msimamo makini utakuwa hivi:
  1. Liverpool
  2. Man city
  3. Chelsea
  4. Man United
  5. Arsenal
  6. Spurs
 
Chelsea ina game mbili au jumla ya game 11, tuna uhakika wa point sio chini ya 25 na kumaliza ligi na point 78, hao wote labda Man United ndio wanaweza fikia hapo kwa sababu ya morali yao walionayo sasa
Msimamo makini utakuwa hivi:
  1. Liverpool
  2. Man city
  3. Chelsea
  4. Man United
  5. Arsenal
  6. Spurs

Acha utani wewe!! Umalize juu ya Arsenal na Man United?
Spurs sawa umepatia kwani hana Consistency, lakini kwa Arsenal na Man United kuwaweka hapo umekosea sana.
 
Wa 1 & 2 wanaogombania Wameshajuilikana ni Man City na Liverpool tu na so vyenginevyo.

Sema kuna timu 4 (Man United, Arsenal, Spurs na Chelsea) ndiyo zinazogomabi nafasi ya (3 & 4).

Hayo ya timu 5 nadhani ni Jealous tu ndiyo zinakufanya umueke Liverpool sawa na Chelsea aliye nafasi ya 6 kuwa wanagombania nafasi pamoja.
wee umaejuaje ni Liverpool na sio Mancity?
 
Acha utani wewe!! Umalize juu ya Arsenal na Man United?
Spurs sawa umepatia kwani hana Consistency, lakini kwa Arsenal na Man United kuwaweka hapo umekosea sana.
Wenye consistency pekee ni Man U, Arsenal no, wakianza kufungwa na vitimu vidogo ndio utajua haya maneno yangu
 
Nimerekebisha msimamo wa ligi baada ya 12 May 2019. Huu utabiri umebase kwenye points timu ian uwezo wa kupata against the remaining matches
Timu hizi nafasi zao zitaamuliwa na GD
Mancity kuchukua ubingwa tena kwa sababu ya GD against Liverpool
Spurs watazidiwa na Man United kwa GD
EPL Top 6.jpg
 
Nimerekebisha msimamo wa ligi baada ya 12 May 2019. Huu utabiri umebase kwenye points timu ian uwezo wa kupata against the remaining matches
Timu hizi nafasi zao zitaamuliwa na GD
Mancity kuchukua ubingwa tena kwa sababu ya GD against Liverpool
Spurs watazidiwa na Man United kwa GD
View attachment 1036890

Jipe moyo
 
Mwisho wa Msimu Msimamo utakuwa hivi:

1) Liverpool/Man City
2) Man city/Liverpool
3) Man United
4) Arsenal
5) Spurs
6) Chelsea


Kiongozi nafasi yako ya 6 hili halina ubishi..

Hata Ollachuga Oc anajua kuwa atamaliza nafasi ya 6.
Umeshakuwa mpiga ramli maana man city sasa anakuchanganya akili..

Mpka sasa tuna gemu kumi (point 30) za wazi kabisa ..apo tuna uwakika wa kupita na point sio chin ya 25..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom