Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Willian,luiz wakuondolewa
Luiz na Willian bado wanahitajika akina Christiansen wanamtegemea Luiz sana ili kupokea kijiti smoothly
Willian naye bado tunamhitaji hata kama sio kwa fulltime. Wachezaji wa kuwaondoa ni hawa ambao wameshazeeka na creativity zero
 
Dah! Muda unaenda kasi kweli!! Huu uzi umekuwa wa watu wenye kutia huruma kweli.
 
Sijui Chelsea kuna nini? wachezaji hawana morale, makossa ya kijingajinga yanatokea kila mara, almost kwa wachezaji wote hawastahili kuichezea Chelsea ya kushindania makombe ukiwaacha 5/6 players tu
I would just go for
  1. Kante
  2. Hazard
  3. Kepa
  4. Rudiger
  5. Willian
  6. Luiz
The rest wauzwe
Luiz na Willian bado wanahitajika akina Christiansen wanamtegemea Luiz sana ili kupokea kijiti smoothly
Willian naye bado tunamhitaji hata kama sio kwa fulltime. Wachezaji wa kuwaondoa ni hawa ambao wameshazeeka na creativity zero

Siku zote hushindwa kufahamu baadhi ya watu hili kandanda wanatizama vipi.

Luiz ndio weakest link kwenye defense Bado mnamuona anafaa duh!
 
Siku zote hushindwa kufahamu baadhi ya watu hili kandanda wanatizama vipi.

Luiz ndio weakest link kwenye defense Bado mnamuona anafaa duh!
Maneno yako ni makali sana na hayarefelect ukweli wowote. Hata kamka Luiz anakuwa na bad form kwenye baadhi ya games lakini akiwa kwenye good form mnanyamaza. Ni kweli anazeeka na katika umri huo on and off ya form is expected. Hata John Terry alikuwa hivi hivi na Vincent Company wa Man city yuko hivi hivi. Baadhi ya games wanampa na baadhi wanamuacha. Kocha ndie anatakiwa kujua kwamba ni wapi wamuweke na wapi wampunzishe. Hazina kama ile huwezi itupa hivi hivi tu unless una chuki binafsi
 
NOW THAT WE ALL KNOW REVISION IS NOT A SIN, LET'S DO SOME SMALL DEBRIEFING ON CASE NUMBER 6

Welcome to Duta's LIVE game coverage

*Manchester City vs Chelsea*

*Manchester City*
31 Ederson (Goalkeeper)
2 Kyle Walker (Defender)
5 John Stones (Defender)
14 Aymeric Laporte (Defender)
35 Oleksandr Zinchenko (Defender)
8 İlkay Gündoğan (Midfielder)
25 Fernandinho (Midfielder)
17 Kevin De Bruyne (Midfielder)
20 Bernardo Silva (Midfielder)
10 Sergio Agüero (Forward)
7 Raheem Sterling (Forward)

*Chelsea*
1 Kepa Arrizabalaga (Goalkeeper)
28 César Azpilicueta (Defender)
2 Antonio Rüdiger (Defender)
30 David Luiz (Defender)
3 Marcos Alonso (Defender)
7 N'Golo Kanté (Midfielder)
5 Jorginho (Midfielder)
8 Ross Barkley (Midfielder)
11 Pedro (Forward)
9 Gonzalo Higuaín (Forward)
10 Eden Hazard (Forward)

*Manchester City vs Chelsea*
Score: 0 - 0
Min: 1

First half begins!!

*Manchester City vs Chelsea*
Score: 1 - 0
Min: 4

Goal!!
Manchester City

*Manchester City vs Chelsea*
Score: 2 - 0
Min: 13

Goal!!
Manchester city

*Manchester City vs Chelsea*

Possession *55% - 45%*
Shots on goal *2 - 0*
Offsides *0 - 1*
Fouls *2 - 2*
Red cards *0 - 0*
*Manchester City vs Chelsea*
Score: 3 - 0
Min: 19

Goal!!
Manchester City
*Manchester City vs Chelsea*
Score: 3 - 0
Min: 19

Goal!!
Manchester City

*Manchester City vs Chelsea*
Score: 4 - 0
Min: 25

*Manchester City vs Chelsea*
Score: 4 - 0
Min: 45+2

Half time!!
*Manchester City vs Chelsea*

Possession *51% - 49%*
Shots on goal *4 - 3*
Saves *3 - 0*
Corner kicks *0 - 2*
Offsides *1 - 1*
Fouls *5 - 9*
Red cards *0 - 0*

Second half begins!!

*Manchester City vs Chelsea*
Score: 4 - 0
Min: 25

Substitution!!
Mateo KovačićRoss Barkley
Chelsea

*Manchester City vs Chelsea*
Score: 5 - 0
Min: 56

Goal!!
Manchester City
*Manchester City vs Chelsea*
Score: 5 - 0
Min: 56

Yellow to Jorginho
Chelsea

Goal!!
Manchester City
*Manchester City vs Chelsea*
Score: 6 - 0
Min: 80

Full time : Manchester City vs Chelsea*
Score: 6 - 0

HWƐ THEY WANT TO FORGET . I'LL REMIND THEM SAAAAAAA
 
Maneno yako ni makali sana na hayarefelect ukweli wowote. Hata kamka Luiz anakuwa na bad form kwenye baadhi ya games lakini akiwa kwenye good form mnanyamaza. Ni kweli anazeeka na katika umri huo on and off ya form is expected. Hata John Terry alikuwa hivi hivi na Vincent Company wa Man city yuko hivi hivi. Baadhi ya games wanampa na baadhi wanamuacha. Kocha ndie anatakiwa kujua kwamba ni wapi wamuweke na wapi wampunzishe. Hazina kama ile huwezi itupa hivi hivi tu unless una chuki binafsi

Hayo ndio matatizo ya mashabiki wa Premier League. Luiz ni bomu, Conte alishamfyeka kabisa kikosini, Sarri kamrejesha kwa vile anaa uwezo wa kuchezea mpira tu kwaiyo anafiti kwenye mfumo wake lakini defending bado jamaa ni horrible. Ndio nyie mnaoamnini Chelsea ina kikosi kizuri ila makocha ndio wabovu. Watendelea kuhesabu makocha kila mwaka kwa wachezaji hao.
 
Hizo 6-0 bila mliwafunga wakiwa masikini maana by the time Sheikh Mansour alikuwa bado hajainunua manchester City

Kama ubavu upo mzirudishe kocha akiwa huyu huyu Pep Guardiola
Mkuu kwani saivi Chelsea iko vizuri?

Ni mchezaji gani wa Chelsea anaeza pata namba man city kwa sasa? Usiseme Kante, Hazard...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ndio matatizo ya mashabiki wa Premier League. Luiz ni bomu, Conte alishamfyeka kabisa kikosini, Sarri kamrejesha kwa vile anaa uwezo wa kuchezea mpira tu kwaiyo anafiti kwenye mfumo wake lakini defending bado jamaa ni horrible. Ndio nyie mnaoamnini Chelsea ina kikosi kizuri ila makocha ndio wabovu. Watendelea kuhesabu makocha kila mwaka kwa wachezaji hao.
Wewe una chuki binafsi kwa Luiz, Diego Costa, Conte alimtema naye alikuwa mbovu. Conte alimtema Luiz kwa sababu ya kutofuata maelekezo yake the same to Diego Costa, hii ya kwako ya game mbovu ni chuki binafsi
 
Nilitegemea Luiz atakuwa leader mzuri uwanjani lakin yupo kimya. Luiz hawezi kubeba uongozi wa J.Terry. Azpilicueta nae bado sana. Timu ina wachezaji wakubwa lakn hawana ile uwezo la leadership kama tukiwa tumefungwa au hali ni mbaya.
 
Sarri sasa hv anazingua kutompa nafasi Hudson Odoi na kuwapa wazee nafasi (Willian na Pedro) hata game ya Jana kacheza kidogo.

Odoi sitamlaumu akiondoka hata kidogo.

Alonso, Barkley na Willian ni wabovuuuuuu

Emerson, Christensen, Loftus Cheek na Odoi wanatakiwa kupewa nafasi
 
Wewe una chuki binafsi kwa Luiz, Diego Costa, Conte alimtema naye alikuwa mbovu. Conte alimtema Luiz kwa sababu ya kutofuata maelekezo yake the same to Diego Costa, hii ya kwako ya game mbovu ni chuki binafsi

Mkuu sikuwezeni mimi, kuendelea na Beki Luiz Chelsea wataendelea kula vipigo hata walete kocha yoyote unaemfahamu weye.

Luiz angelikua anauwezo kwa kweli PSG wasingelimuacha kabisa. Aliwagungisha sana jamaa.
 
Sarri sasa hv anazingua kutompa nafasi Hudson Odoi na kuwapa wazee nafasi (Willian na Pedro) hata game ya Jana kacheza kidogo.

Odoi sitamlaumu akiondoka hata kidogo.

Alonso, Barkley na Willian ni wabovuuuuuu

Emerson, Christensen, Loftus Cheek na Odoi wanatakiwa kupewa nafasi

Mkuu Loftus na Odoi wahawezi ipeleka pahali chelsea, Hata kama watakuepo kwenye timu ni kwa ajili ya Bench na sio tegemeo. Ila ni kweli Willian, Pedro, Barkley ukiwajumuisha na Girud na Luiz ni vimeo vilochoka kabisa na wanaikost sana timu.
 
Maneno yako ni makali sana na hayarefelect ukweli wowote. Hata kamka Luiz anakuwa na bad form kwenye baadhi ya games lakini akiwa kwenye good form mnanyamaza. Ni kweli anazeeka na katika umri huo on and off ya form is expected. Hata John Terry alikuwa hivi hivi na Vincent Company wa Man city yuko hivi hivi. Baadhi ya games wanampa na baadhi wanamuacha. Kocha ndie anatakiwa kujua kwamba ni wapi wamuweke na wapi wampunzishe. Hazina kama ile huwezi itupa hivi hivi tu unless una chuki binafsi

Mkuu huyo Kampany hatumiki tena huko City anachovwa tu, Huku Luiz akiwa bado tegemea kwenye timu. Matatizo yaanzia hapo, Huwezi mtegemea beki kama Luiz na hasa alivo saivi kwenye timu halafu ukafanya vizuri.
 
Mkuu huyo Kampany hatumiki tena huko City anachovwa tu, Huku Luiz akiwa bado tegemea kwenye timu. Matatizo yaanzia hapo, Huwezi mtegemea beki kama Luiz na hasa alivo saivi kwenye timu halafu ukafanya vizuri.
Vincent Kompany kaachwa tu juzijuzi tena kwa sababu ya injury aliyopata wakati Mancity walipocheza na Liverpool January 3. Hii ya kwamba hatumiki tena ni ya kwako mkuu, Luiz sikusema awe tegemeo la timu lakini kumuacha tu ni uamuzi mbaya, akina Andreas wana vitu vingi vya kujifunza kutoka kwake. Kama uongozi ukiweza kumpata strategic relplacement ni sawa ila naogopa kuwa wanaweza kumleta mbovu Zaidi na ikawa ni afadhali kumjenga Christiansen achukue nafasi yake. Willian bado ana uwezo mkubwa kama winga kutengeneza nafasi, kumuachia aende labda auzwe kwa chenji yenye kuweza kuwanunua winga bora Zaidi, Pedro kashachoka kwa kweli. Ila in short ubovu wa kiuujumla wa timu ndio unaoleta kunyoosheana vidole. General form ya timu ingekuwa nzuri tusingekuwa leo tunawataja akina Luiz, Willian nk. Pale kwenye msingi ndio inatakiwa kujengwa, pale ikibomoka nyumba yote mbovu. Che inamhitaji CMF, LMF na RMF wazuri Zaidi ya Jourginho na Kovacic. Na pia kocha na Benji lake la ufundi wanachangia kwa timu kukosa morale, mentality ndogo na individual mistakes nyingi kana kwamba hawaudhurii mazoezi. Pia kocha kuwa conservative kwa mfumo mmoja madhara yake ni pale mfumo usipowork ndio haya. Mimi generally namlaumu kocha kwa mentality yake finyu kwenye mifumo na tactics za kuleta matokeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom