Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ama kweli leo ndio nimeamini mashabiki wa Arsenal ni watu wenye roho ngumu mno. Yan jana tu usingizi haujaja kwa raha najaribu kuwaza wao waliwezaje kuyavumilia matokeo ya namna hii na bado wanajitokeza kwenye majukwaa wanajitapa eti mashabiki wa Arsenal. Khaa!!

Heshima kwenu bhana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHELSEA.png
 
Inauma balaa. Kuna watu wananitag kwenye meme za kuichamba Chelsea huko Instagram sina amani. Nikigeuka kushoto nakutana na notification JF yan ndio nakwisha kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Vile vipigo viwili vya Simba kule Congo na Egypt vilinipa funzo sana.

Matani ya mpira yakizidi ni disturbances.
 
Mi nafikiri ule utaratibu wa kuwapima wachezaji matumizi ya madawa ufanyike kwa mancity haiwezekani ile kasi ya jana nguvu bila kuchoka wakiwashindilia wenzao chelsea magoli kama yote.ila sio jambo geni mmmh
 
Maamuzi magumu yanatakiwa Chelsea
Yule mama mwenye digrii ya musiki kwanza aondolewe na wamrudi Emenalo kama mkurugenzi wa academy na usajili
 
Inauma balaa. Kuna watu wananitag kwenye meme za kuichamba Chelsea huko Instagram sina amani. Nikigeuka kushoto nakutana na notification JF yan ndio nakwisha kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa ufupi ukiwa unaishi katika nyumba ya vioo usichokoze ugomvi wa mawe............
 
Weekend ijayo na man utd...then mnakutana tena na city fainal........mkigeuka kushoto fimbo za ole sendeka,mkigeuka kulia bakora zingine za pep.......
Ndugu Ollachuga Oc ataonekana hapa na kule kwenye uzi wetu akitamba kwamba atatoka na point 3 OT siku moja kabla ya mechi.

Tusubiri azinduke maana amemwagiwa maji lakini waapi.
 
timu gani hili yaani mechi mbili goli kumi, ni nyingi sana aisee goli kumi yaani 10, kumi, 10 aaaah jamaniii 10!
ngoja nimuulize sheikh Ramadan Sobhi hii kwa kiarabu inaitwaje maana 3mzuka zinaitwa thalatha..........5,tano a.k.a mkono wanaita hamsa je six,6,kumi,10 wanaitaje kwa kule kwao?maana nasikia jamaa yupo jijini na jana ameswali msikiti wa mtoro hapo
 
Unataka tuseme nini

Sent using Jamii Forums mobile app
walau mjitingishe tu ili mtutoe hofu kuwa hamjafa,maana dunia hii imechange sana siku hizi usipomuona ndugu yako siku mbili yakupasa umtafute hata ujifanye unamsalimia tu...............

au NYOOSHA MKONO JIFANYE KAMA UNAJIKUNA
 
alafu muwe mnajikaza nyieeeeeeeee aaaah mambo gani hayo unapigwaje 6 mtungi MJIKAZE
 
sasa kama simba imepigwa 5 na MO amejitokeza na kupiga mkwala mzito ikiwemo kuwafurusha baadhi ya wachezaji nyinyi mnapigwa 6,SITA,SIX baada ya kuchukua hatua munakimbia jukwaa......kweli hiki ni kikundi cha wala ganja kikiongozwa na kocha wao SARRI kheeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom