Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tatizo la Sarri analazimisha tairi ya lori kwenye Noah na tairi ya Noah kwenye lori na bado anategemea gari litembee, Chelsea haijawahi kupata a fool coach kama huyu
Alosso amekuwa akifanya silly mistakes za kujirudia na bado anampanga tu
Jourginho kaishiwa pumzi na bado anambeba
Kwa maoni yangu hawa wachezaji wawili ndio mizigo na wamewasababishia wengine wachoke uwanjani.
Goli la kwanza Alonso anamuacha Sterling peke yake fool Alonso
 
Tatizo la Sarri analazimisha tairi ya lori kwenye Noah na tairi ya Noah kwenye lori na bado anategemea gari litembee, Chelsea haijawahi kupata a fool coach kama huyu
Alosso amekuwa akifanya silly mistakes za kujirudia na bado anampanga tu
Jourginho kaishiwa pumzi na bado anambeba
Kwa maoni yangu hawa wachezaji wawili ndio mizigo na wamewasababishia wengine wachoke uwanjani.
Goli la kwanza Alonso anamuacha Sterling peke yake fool Alonso
Sariball ni upuuzi kabisa inatia kichefuchefu kukubali fransiscech fabregas aondoke na kumuacha jorginho hakuna wa kuingunganisha timu upande wa juu yaani dah alonso nae kachoka
 
kupitia wewe nimejifunza kitu,hata ukiwa katika ugomvi epuka sana kufuata wale wanaojifanya wanaongea sanaaaaaaaa maana wao ndio wa kwanza kukimbia kikishanuka na wanakuwaga na mbio kwelikweli...........sasa leo wale mabingwa wa kuchonga hapa jamvini wamekuacha wewe peke yako hahahahahahahaha hakuna nyanda za juu kusini wala chalii ya chuga
mpira mchezo wa makosa, tumeshapigwa basi hata ukimbie huwezi badili matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata kufungwa 2-0, 3-1 au 1-0 unaweza kujitetea. Ila hii 6-0 mtu unasema nini halafu kuna watu wanakwambia umekimbia jukwaa. Jamani mnataka tufanyaje?.

Aseee inauma vibaya mno.

Sent using Jamii Forums mobile app

Eti "jamani mlitaka tufanyaje"
Nimecheka

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Inauma balaa. Kuna watu wananitag kwenye meme za kuichamba Chelsea huko Instagram sina amani. Nikigeuka kushoto nakutana na notification JF yan ndio nakwisha kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahahhahahhahahahahahhahahahahahahahahhahahahahahhahahahahahhahahaa.
Pole mkuu, mashabiki huwa tunaumia zaidi ya wachezaji.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Na ndipo walipata huo mwanya wa kufunga hizo goli

Mlipigwa bana

Kupigwa ni kupigwa sababu Red card ni sheria ya mpira, ingekuwa referee alitoa mapenati sawa ndio maana inatakiwa timu kukanyana yasitokee majanga kama hayo, kadi zote mbili njano na nyekundu ni adhabu kwa timu na mchezaji kwa wakati mmoja
 
Natafuta uzi wa chelsea nimepotea kuna mtu namtafuta anaitwa ollachuga


cityzen chairman am here
 
Chelsea - Man City thoughts:

- Alonso should go back to Bolton
- Luiz isn’t a good defender
- Rüdiger good attitude, crap game
- Azpi got embarrassed
- Jorginho & Kanté didn’t defend
- Barkley still lost
- Pedro is too old
- Sarri is most responsible today
- Shameful

Beki yenu yote mbovu kasoro Azpi na Rudiger
 
Mlipigwa bana

Kupigwa ni kupigwa sababu Red card ni sheria ya mpira, ingekuwa referee alitoa mapenati sawa ndio maana inatakiwa timu kukanyana yasitokee majanga kama hayo, kadi zote mbili njano na nyekundu ni adhabu kwa timu na mchezaji kwa wakati mmoja
Nyie 6 mlikuwa pungufu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom