DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
kupitia wewe nimejifunza kitu,hata ukiwa katika ugomvi epuka sana kufuata wale wanaojifanya wanaongea sanaaaaaaaa maana wao ndio wa kwanza kukimbia kikishanuka na wanakuwaga na mbio kwelikweli...........sasa leo wale mabingwa wa kuchonga hapa jamvini wamekuacha wewe peke yako hahahahahahahaha hakuna nyanda za juu kusini wala chalii ya chuganipo hapa naoumba tuu
Sent using Jamii Forums mobile app

