Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa mara ya kwanza natembea jukwaa hili
emoji23.png
emoji23.png


Si kwa nia mbaya!! Nasoma tu comments napitaaa
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Nimepata taarifa kuna baadhi ya Liverpool hawatokulahivyo tupike tuu kapilaobudget itatosha.
Huu msiba mkubwa sana

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.

Lakini wafiwa wametoweka msibani na kumuacha Maiti peke yake akiwa na waombolezaji na habari za kuaminika zinasema hawajuilikani walipo! kuna huyu msemaji wa familia Ollachuga Oc amepata mshtuko na yupo ICU sasa tumsubiri akipata fahamu atwambie muda wa kuzika
 
Lakini wafiwa wametoweka msibani na kumuacha Maiti peke yake akiwa na waombolezaji na habari za kuaminika zinasema hawajuilikani walipo! kuna huyu msemaji wa familia Ollachuga Oc amepata mshtuko na yupo ICU sasa tumsubiri akipata fahamu atwambie muda wa kuzika
Umesahau walichotufanyia kwenye ule msiba uliopita wa 4G?
Hashindwi kupata fahamu baada ya wiki. Maiti itatuozea ndani

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom