


the bluuuuuuztimu sio creative usitafute sababu im cfc fan31 Jan 2018 Chelsea 0:3 AFC Bournemouth
30 Jan 2019 AFC Bournemouth 4:0 Chelsea.
FA wasipobadili mambo kuna mtu atapigwa mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Kweli Chelsea tukikutana na timu yenye kasi Kante akipanda juu kusaidia mashambulizi then mpira tukapoteza Gafla ikipigwa Ndefu yule JORGINHO mzito awezi kuperfom vzr ile.namba ivyo tunafungwa kizembe zembe tu fumuza ilo.limocha yaani muda woote linachora Chora kikaratasi cha uwanjaniIts true maana watu wanapig kelele kante sio position yake
Pia kusajiki Higuan badala ya Pitek mwenye miaka 23 jana kawafungia goli 2 AC Milan
Chelsea tunafeli wapi??
Maana pitek alikuwa na mkataba wa hela ndogo ..35 mio USd
Tukaenda kununua Higuan ambaye hana future ndani ya club
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasema hivi tatizo sio wachezaji Wachezaji anao wa kutosha una viungo kamaTeam yetu inakatisha tamaa kuangalia nilisema inahitaji wachezaji wengi sio higuain, kuanzia beki, midfield watatu nafasi anayocheza kante, kovasic, joginho,pia winga wa kulia kiufupi hata kocha anahitajika, lakini hata mkurugenzi wa ufundi, tunachoweza kushinda nafasi ya sita kushuka chini