Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Callum Hudson-Odoi's transfer request rejected by Chelsea
The youngster accepted to stay at Chelsea to the end of the season

Chelsea will have to prove in the next 4 months that they need CHO service by giving him more time to play EPL matches
Kama Ni kweli. Itakuwa pouwa Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo ni shabiki mkubwa wa Chelsea lakini kwa mwenendo wa kocha Sarri nimekata tamaa kabisa..toka tutoke Sare na Everton niliona mapungufu kwa upande wa Sarri kwa mfumo anao utumia ni ngu.u sana Chelsea Kutamba.. Team inapiga pasi nyingi zisizo na Madhara kwa wapimzani na pia mipira kumfikia Streika imekua ni ngumu sana ndio maana unakuta muda mwingine Streika inabidi atoke nje ya 18 ili kuweza kugusa mpira ama na kuingia nao ndani mwenyewe lakini kupata zile pande ni ngumu sana..naona hata tungekua na Aubameyang au Kane bado wangeonekana ni Magarasa
Sarri anatakiwa kubadili mfumo wa uchezaji wa timu kwa kweli Tazama hata timu inapozidiwa kabisa yeye abadiliki anachofanya ni mabadiliko ya wachezaji tu Sub lakini kimbinu na mfumo ubaki vile vile mwisho wa siku tunaambulia sare naweza sema tunashinda kwa uwezo wa wachezaji lakini mwalimu Ovyo kabisa Bora tuwe na Rekodi ya kufukuza makocha lakini Sarri aondoke mapema tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe kweli ni Chelsea na unaangalia mpira utakuwa umegundua mfumo sio tatizo Bali namna ya kumalizia pale mbele



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe kweli ni Chelsea na unaangalia mpira utakuwa umegundua mfumo sio tatizo Bali namna ya kumalizia pale mbele



Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio mbele peke yake, pia kuna shida ya Jorginho akicheza mechi nyingi anakuwa wa hovyo sana, tukimpata replacement ya Fab wa level yake au juu Zaidi Chelsea inaweza sasa kurelax. Yaani timu tuna akina Pedro, Willian, Hazard na sasa Odoi ma Higuaín halafu tuendelee kuamini kuwa tatizo liko mbele wakati watoa huduma hawapo, aliyekuwa anajitahidi ni Luiz pekee. Enzi tunachukua ubingwa wakati wa MOU na Conte, Fab alikuwa kwenye top form yake alikuwa akifanya dangerous passing na ikatuwezesha kutwaa ubingwa. Sasa Fab hayuko tena yupo Jorgninho?? Tungempata parades au hata Eriksen ingesaidia sana timu kukamilika kutoka nyuma hadi mbele
 
Naona munajifariji ingawa ukweli munaujua kuwa tunakujq kuwafungisha virago ...maana kiukweli hamna mpila wa kutufunga maybe mupate sare hapo kwenu lakini hata mukipata sare haitasaidia maana marudiano bado tutawafunga...inatqo
kiwa mukubaliane na ukweli nyie sasa HV hata Watford hawawaogopi...mumekuwa kama joka la kibisa...Muna wakati ngumu sana...maana kama arsenal tu wanawapiga cap ...sijajua idadi ya magoli na beki zenu nyanya ! So beware!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mara ya mwisho umemfunga chelsea darajani ilkua mwka gan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malmo (A) - 14th Feb
Man United (H) - 17th/18th Feb
Malmo (H) - 21st Feb
Man City (LC Final) - 24th Feb
Tottenham (H) - 27th Feb

Now that is one hard end to February 👀
 
Naona munajifariji ingawa ukweli munaujua kuwa tunakujq kuwafungisha virago ...maana kiukweli hamna mpila wa kutufunga maybe mupate sare hapo kwenu lakini hata mukipata sare haitasaidia maana marudiano bado tutawafunga...inatqo
kiwa mukubaliane na ukweli nyie sasa HV hata Watford hawawaogopi...mumekuwa kama joka la kibisa...Muna wakati ngumu sana...maana kama arsenal tu wanawapiga cap ...sijajua idadi ya magoli na beki zenu nyanya ! So beware!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka jana pamoja na Chelsea yetu mbovu tuliwanyuka fainali mkamaliza tupu na wachezaji merely walewale ambao leo mnaowaringia. Ni kocha tu ndie kabadilika
 
Sarri on injuries: "I don't know exactly at the moment because yesterday the players from the last match had recovery training only. Nothing serious" #CFC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom