Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Kocha hausiki kwenye usajili. Yy anatoa maoni basi. Then bodi ndo inaamua. Hata Conte alikuwa anasema hvyo. Mourinho ndo alipewaga madaraka makubwa
Kwa nini Sarri anapenda kutumia hayo maneno ya "I don't know, I don't have power, It was not my decision, etc" linapokuja swala la transfer, contract extension na trades?
Naona kama ni style ya kukwepa lawama au kitu kama kulalamika indirectly.