Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila hao wanaosimamia michuano ya FA Cup wana mpango wa timu ndogo kuchukua kombe nini, mara Man U na Arsenal poor Arsenal wameaga, mara tena Man U na Chelsea, poor Man United wameaga, itabaki Chelsea na Brentford finale
 
labda Man United ya Shekilango
Ila hao wanaosimaia FA Cup wana mpango wa timu ndogo kuchukua kombe nini, mara Man U na Arsenal poor Arsenal wameaga, mara tena Man U na Chelsea, poor Man United wameaga, itabaki Chelsea na Brentford finale
 
📅 16th Feb:
Chelsea vs. Man Utd
 

Attachments

  • IMG-20190128-WA0044.jpg
    IMG-20190128-WA0044.jpg
    27.5 KB · Views: 30
Tutamfukuza sari mwaka huuaana tukimalizana nae FA then ana kuja OT ndio Tunamzika kabisa...maana hawa mbuzi na arsenal tu walikula cap sasa wakikutana na vijana hatari sijui itakuwa ngapi! Lengo letu siyo baya ni kumtimua Sari hapo darajani !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo Man u tunawatoa mapema kabisa
Naona munajifariji ingawa ukweli munaujua kuwa tunakujq kuwafungisha virago ...maana kiukweli hamna mpila wa kutufunga maybe mupate sare hapo kwenu lakini hata mukipata sare haitasaidia maana marudiano bado tutawafunga...inatqo
kiwa mukubaliane na ukweli nyie sasa HV hata Watford hawawaogopi...mumekuwa kama joka la kibisa...Muna wakati ngumu sana...maana kama arsenal tu wanawapiga cap ...sijajua idadi ya magoli na beki zenu nyanya ! So beware!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona munajifariji ingawa ukweli munaujua kuwa tunakujq kuwafungisha virago ...maana kiukweli hamna mpila wa kutufunga maybe mupate sare hapo kwenu lakini hata mukipata sare haitasaidia maana marudiano bado tutawafunga...inatqo
kiwa mukubaliane na ukweli nyie sasa HV hata Watford hawawaogopi...mumekuwa kama joka la kibisa...Muna wakati ngumu sana...maana kama arsenal tu wanawapiga cap ...sijajua idadi ya magoli na beki zenu nyanya ! So beware!

Sent using Jamii Forums mobile app
Give me a break unaongea au unakariri. Ebu ongea sasa achana na ngonjera hizo zilipendwa
 
Guardiola challenges City to imitate Barca, Bayern and Juve league dominance
 
Siku mbili zimebaki
Hakuna replacement ya Fab
Jorginho anaweza kufiua uwanjani


Rumors: Christian Eriksen to Chelsea
 
Callum Hudson-Odoi's transfer request rejected by Chelsea
The youngster accepted to stay at Chelsea to the end of the season

Chelsea will have to prove in the next 4 months that they need CHO service by giving him more time to play EPL matches
 
Mmefungwa had na aseno ndo mtawaweza man u?
Kwa hiyo Man city wamefungwa hadi na Crystal Palace ndio hawatawaweza? haa haa, inachekesha . Mpira ungekuwa unaamuliwa na ndoto za mchana kama zako kusingekuwa na haja ya mechi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom