Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata hivyo sio January, hii move ni ya kiangazi
hapo sawa. Ila nakumbuka ile transfer ya Luka Modric alitaka aje Chelsea ila Dani Levi ni mnoko sidhani kama atamuuza Chelsea labda club nyingine
 
Japo ni shabiki mkubwa wa Chelsea lakini kwa mwenendo wa kocha Sarri nimekata tamaa kabisa..toka tutoke Sare na Everton niliona mapungufu kwa upande wa Sarri kwa mfumo anao utumia ni ngu.u sana Chelsea Kutamba.. Team inapiga pasi nyingi zisizo na Madhara kwa wapimzani na pia mipira kumfikia Streika imekua ni ngumu sana ndio maana unakuta muda mwingine Streika inabidi atoke nje ya 18 ili kuweza kugusa mpira ama na kuingia nao ndani mwenyewe lakini kupata zile pande ni ngumu sana..naona hata tungekua na Aubameyang au Kane bado wangeonekana ni Magarasa
Sarri anatakiwa kubadili mfumo wa uchezaji wa timu kwa kweli Tazama hata timu inapozidiwa kabisa yeye abadiliki anachofanya ni mabadiliko ya wachezaji tu Sub lakini kimbinu na mfumo ubaki vile vile mwisho wa siku tunaambulia sare naweza sema tunashinda kwa uwezo wa wachezaji lakini mwalimu Ovyo kabisa Bora tuwe na Rekodi ya kufukuza makocha lakini Sarri aondoke mapema tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom